Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
27 Sep 2025
19 views
VYOTE NDANI GONGA94
Marcello Allende aliitwa kwa majaribi katika mashindano ya Durban International Cup.o na Arsenal mwaka 2016, ambapo alicheza na kikosi cha Under-19 cha Arsenal
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Baadaye, alipata fursa ya majaribio zaidi, na Aprili 2017 kulikuwa na ripoti kwamba Arsenal walivutiwa na kijana, lakini changamoto ikawa kwenye suala la kumpa mkataba.
Kumbuka kuna sheria za FIFA ambazo haziruhusu mchezaji wa kimataifa mwenye umri chini ya miaka 18 kupewa mkataba wa kitaalam (professional contract)
Mwaka 2022, Kwa Billion 7 na Million 900, Mamelodi Sundowns FC walimpata Marcello Allende akitokea Montevideo City Torque ya Uruguay ๐บ๐พ.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Chombezo : Penzi La Jesca Sehemu Ya : Kwanza (1) IMEANDIKWA NA ENOCH LIBERATUS Alikuwepo jamaa mmoja ambaye kwa jina aliitwa Mr Abby jamaa huyo alikuwa na mpenzi
wake ambaye alimpenda sana jina lake aliitwa Jesca,mapenzi yao yaliweza kudumu kwa muda mrefu toka walipo kuwa wakisoma...
๐น๐ฟ SIKU YA KIHISTORIA KWA TANZANIA Miaka minane baada ya kushinda medali ya shaba katika Mashindano ya Dunia ya 2017 jijini London, Alphonse Simbu
ameifikisha Tanzania katika hatua ya kimataifa kushinda taji la Dunia la Marathon la 2025 jijini Tokyo. Katika mojawapo...
๐ฃ๏ธ Sadio Manรฉ: "Nakumbuka siku ya kwanza nilipowasili Ufaransa kwa majaribio na kusaini na Metz. Siku iliyofuata, nilimpigia simu mama yangu na kusema:
"Halo mama, niko Ufaransa." Alisema: "Nini, Ufaransa gani?" Hakuweza kuamini. Nilijibu: "Ufaransa, huku Ulaya." Alijibu...
Marcello Allende aliitwa kwa majaribi katika mashindano ya Durban International Cup.o na Arsenal mwaka 2016, ambapo alicheza na kikosi cha Under-19 cha Arsenal
Baadaye, alipata fursa ya majaribio zaidi, na Aprili 2017 kulikuwa na ripoti kwamba Arsenal walivutiwa na kijana, lakini changamoto ikawa kwenye suala la kumpa mkataba.
Kumbuka kuna sheria za FIFA ambazo haziruhusu mchezaji wa kimataifa mwenye umri chini ya miaka 18 kupewa mkataba wa kitaalam (professional contract)
Mwaka 2022, Kwa Billion 7 na Million 900, Mamelodi Sundowns FC walimpata Marcello Allende akitokea Montevideo City Torque ya Uruguay ๐บ๐พ.
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/marcello-allende-aliitwa-kwa-majaribi-katika-mashindano-ya-durban-international-cup-o-na-arsenal-mwa
Maoni