Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo : Penzi La Jesca  Sehemu Ya : Kwanza (1)  IMEANDIKWA NA  ENOCH LIBERATUS  Alikuwepo jamaa mmoja ambaye kwa jina aliitwa Mr Abby jamaa huyo alikuwa na mpenzi
Gonga94 · Stories

Chombezo : Penzi La Jesca Sehemu Ya : Kwanza (1) IMEANDIKWA NA ENOCH LIBERATUS Alikuwepo jamaa mmoja ambaye kwa jina aliitwa Mr Abby jamaa huyo alikuwa na mpenzi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
wake ambaye alimpenda sana jina lake aliitwa Jesca,mapenzi yao yaliweza kudumu kwa muda mrefu toka walipo kuwa wakisoma shule ya sekondari, wapenzi hao walikuwa wakiishi katika jiji la Arusha ,wote walikuwa wakisoma sekondari na walipo hitimu tu Elimu yao ya sekondari, Mungu si Athumani wote walifanikiwa kufaulu masomo yao na kuwaruhusu kuendelea hatua nyingine ya elimu.

Mr Abby alifanikiwa kwenda chuo moja kwa moja alienda kusoma chuo cha Ualimu kilichokuwa kinapatikana Mwanza ila kwa upande wa Jesca yeye alifanikiwa kwenda kidato cha tano nakumalizia kidato cha sita mkoani Tabora,baada ya kumaliza kidato cha sita alifanikiwa kwenda chuo kikuu kinachoitwa UDSM kilichopo Jijini Dar es salaam

Ingawa walikuwa mbalimbali ila walizidi kupendana na kuwasiliana mara kwa mara pale walipo weza kupata muda, Baada ya miaka mitatu Mr Abby aliweza kuhitimu masomo yake ya chuo kwasababu alikuwa amesomea diploma ya ualimu, Baada ya miezi Saba mbele Mr Abby alifanikiwa kuajiliwa katika shule ya serikali iliyokuwa ikipatikana jiji la mwanza ,huku kwa upande wa Jesca yeye alikuwa bado akiendelea na masomo yake.

Jesca alikuwa mwanamke mzuri sana ambaye alikuwa na kila sifa zenye kumvutia mwanaume ambaye siyo rijali,Jesca mungu alimjalia sura nzuri na ngozi yake ilikuwa yenye rangi nyeupe na yakuvutia amabayo ilikuwa kivutio kikubwa sana kwa wanaume wengi, pia Jesca alikuwa na umbo maata shepu namba 8 na macho mazuri ya kulembua , kila mwanaume aliyemtazama alivutiwa nae kutokana na uzuri aliokuwa nao kwani avae dela au gauni nyuma palitoa umbo la kutetemeka kama mtu aliyepigwa shoti.

Mizizi ya mapenzi kati Jesca na Mr Abby iliendelea kukuwa zaidi bila kujali umbali waliokuwa nao , mapenzi yao yalikuwa mazuri sana tena kwakuwa Mr Abby alikuwa amesha mtambulisha mchumba wake kwa wazazi wake vivyo hivyo kwa upande wa Jesca alikuwa amekwisha mtambulisha mpenzi wake huyo kwa wazazi wake,huku wote wakiweza kuahidiana ahadi kemu kemu kuwa wangeweza kufunga ndoa baada ya Jesca kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu .

Jesca aliendelea kufanya vizuri katika masomo yake hatimae alifika mwaka wa mwisho wa masomo yake ikiwa ni mwaka wa tatu akiwa hapo chuoni,katika kipindi chote Jesca alipokuwa hapo chuoni aliweza kusumbuliwa na vijana wengi wakiwemo walimu na wanachuo wenzake ila hakuna aliyefanikiwa kulipata penzi la Jesca wanaume wengi walimtamani kimapenzi, na baadhi yao walidiliki kumlazimisha Jesca ila aweze kuwakubalia kwa kuweza kuwa nao katika mahusiano huku wengine wakimuahidi kuwa wangeweza kumuhudumia na kumpa kila kitu atakachokitata huku wengine wakidiliki kumlazimisha Jesca Kufanya mapenzi hata kabla hawajakubaliwa.

Wanaume wote walio msumbua Jesca hakuna mwanaume hata mmoja aliyepata bahati ya kuwa na Jesca katika mahusiano ya kimapenzi kila Mwanaume aliyemfata Jesca ,Jesca hakuwa mtu wa kuuficha ukweli alikuwa akiwaambia kuwa anampenzi wake tayari na anampenda sana,hivyo hawezi kumsaliti kwa kutoka kimapenzi na mwanaume mwingine kwakuwa alikuwa na upendo wa dhati kwa Mr Abby.

Ilikuwa ni mwanzo mwa mwaka ikiwa ni mwezi wa pili mwaka 2018 , kwa Jesca kuwepo hapo chuoni ,mwaka huo ulikuwa ni mwaka ulioambatana na misukosuko na majaribu mengi kwa upande wa Jesca ,Mkuu wa chuo aliyeitwa Amoni Saimon aliweza kumleta mwalimu mpya katika chuo hicho ambapo aliweza kumtambulisha mwalimu huyo mbele ya wanachuo wote ili waweze kumfahamu,wanachuo wote waliitwa ili kuweza kumpokea mwalimu huyo

Mkuu wa chuo Amoni Saimon aliweza kumkaribisha mwalimu huyo mgeni ili aweze kujitambulisha mbele ya wanachuo wote ,mwalimu huyo alisimama na kuanza kujitambulisha kwanza aliwasalimia kisha akasema""Mimi naitwa Mwalimu John Charles,ninatokea Singida ila ninaishi hapa Dar es salaam nitakuwa pamoja na nyie kwa muda wote nitakao kuwa hapa, wanachuo wote walimpigia makofi kama ishara ya kumkaribisha .

Mwalimu Charles alikuwa mrefu na mwenye mwili wa wastani,kwa kumuangalia tu alionekana mtu aliyekuwa akijipenda sana,siku alikuwa amevalia,T-shirt,suruali aina ya kadeti na raba nyeupe,mwalimu huyo alikuwa mzuri kweli kwa sura,kwa kumuangalia alionekana bado kijana mdogo sana kutokana na jinsi alivyokuwa akijipenda na mwili aliokuwa nao wa wastani,baada ya Mwalimu John Charles kujitambulisha aliwashukuru kwa ukaribisho wao kisha wanachuo wote wakawa wametawanyika kuendelea na majukumu yao.

Ujio wa mwalimu John Charles katika chuo hicho ndio ulikuwa mwanzo na chanzo cha Jesca kuishi maisha magumu kwasababu mwalimu John alikuwa akimsumbua sana ,kwakuwa baada ya kufika hapo chuoni alitokea kumpenda sana mtoto mzuri Jesca, hivyo alijaribu kutumia kila mbinu ili kuweza kumteka kimapenzi mtoto mzuri Jesca, bila kujali ni mara ngapi amemfata Jesca kumtongoza na kukataliwa ila kwakuwa Mwalimu John alikuwa ameshadata kwa Jesca hakuwa tayari kumkosa.

Jesca alijitahidi kumwambia ukweli kuwa yeye ana mpenzi wake ambaye anampenda sana kupita kiasi na hawezi kumsaliti ila kwa maneno Jesca aliyokuwa akimwambia Mwalimu John,hayakuweza kusaidia kitu na hayakuweza kumzuia Mwalimu John kuendelea kumfuatilia.

Usikose kabisa sehemu inayofuata, mambo yanazidi kuwa moto

Jamani twende chapu , LIKE 150 nipost nyingine kali zaidi ✨

Kila LIKE yenu ❤️ ndio nguvu ya kuendelea kuweka content bora zaidi kwa ajili yenu!

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo : Penzi La Jesca Sehemu Ya : Kwanza (1) IMEANDIKWA NA ENOCH LIBERATUS Alikuwepo jamaa mmoja ambaye kwa jina aliitwa Mr Abby jamaa huyo alikuwa na mpenzi

wake ambaye alimpenda sana jina lake aliitwa Jesca,mapenzi yao yaliweza kudumu kwa muda mrefu toka walipo kuwa wakisoma shule ya sekondari, wapenzi hao walikuwa wakiishi katika jiji la Arusha ,wote walikuwa wakisoma sekondari na walipo hitimu tu Elimu yao ya sekondari, Mungu si Athumani wote walifanikiwa kufaulu masomo yao na kuwaruhusu kuendelea hatua nyingine ya elimu.

Mr Abby alifanikiwa kwenda chuo moja kwa moja alienda kusoma chuo cha Ualimu kilichokuwa kinapatikana Mwanza ila kwa upande wa Jesca yeye alifanikiwa kwenda kidato cha tano nakumalizia kidato cha sita mkoani Tabora,baada ya kumaliza kidato cha sita alifanikiwa kwenda chuo kikuu kinachoitwa UDSM...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-penzi-la-jesca-sehemu-ya-kwanza-1-imeandikwa-na-enoch-liberatus-alikuwepo-jamaa-mmoja-ambay

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-penzi-la-jesca-sehemu-ya-kwanza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

770
MY WANGU❤️ sehemu ya 103

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

708
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

610
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

500
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

459
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

439
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

397
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

180
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

160
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

138

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior Post Mpya
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿 Post Mpya
𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya😣😣 hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi😒😒 au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest