Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 17
Gonga94 ยท Stories

USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ENDELEA.......

Basi Mfalme alitoa amri Mtabiri Mkuu atolewe gerezani mara baada ya harusi yetu kukamilika.

Sikuelewa kama nimefanya jambo jema au nimeharibu maana watu walikuwa wakinong'ona.
Nilikuwa na uwezo wa kuomba watu wa ukoo wangu wapatiwe dhahabu lakini sikutaka kufanya hivyo kwa sababu Mtabiri Mkuu aliingia matatizoni kwa sababu yangu. Kama si yeye kunichagua nilipokuwa gerezani sidhani kama leo hii ningekuwa Ikulu.

Hakuna jambo lisilo na mwisho hatimaye harusi yetu ilimalizika.

Watu wa ukoo wangu walimshukuru Mfalme kwa kumpatia zawadi ya pombe.

Yeye pia aliwashukuru kwa kuwapatia vipande vya dhahabu kila mmoja.

Kwa kuwa sherehe ilikuwa imemalizika hawakukaa waliondoka.

Usiku wangu na wa Mfalme ulikuwa ni wa kipekee....pombe iliwekwa mezani kisha tukaanza kulewa kidogo kidogo.

"Ulijifikiria nini kumpatia farasi wako jina langu hii inaniuma sana " Nilijikuta ni kikumbuka matendo yake ya zamani.

"Naomba unisamehe, usiliweke jambo hili kichwani...."

"Nisiliweke vipi kichwani! tayari lipo kichwani unavyosema nisiliweke kichwani unanichanganya "

Basi Mfalme alinibembeleza kwa kuninyandua, mmmh Mimi huyu nilisahau hasira zangu.

Kulivyo pambazuka asubuhi ilikuwa ni siku nyingine, Mfalme alirudi malangoni kwake.

Baadhi ya Mawaziri walikuja kunipongeza kwa kuwa mke wa pili wa Mfalme.

Malkia Ada alikuja pia, iliwalazimu Mawaziri wote waondoke.

"Ulikuwa na haja gani ya kuomba Mtabiri Mkuu atolewe gerezani?...wewe na ukoo wako ni masikini kabisa wa kutupwa kwanini usingeomba mtajirishwe na si kuhangaika na mtu mwenye anaweza kuletewa taarifa na miungu"

"Nisamehe kwa uchaguzi niliofanya, lakini watu wa ukoo wangu wamezoea umasikini ukilinganisha na Mtabiri Mkuu hajazoea maisha ya mateso na ndio maana niliona ni sahihi kwangu Mimi kufanya huo uchaguzi"

"Nguruwe pori wewe, kwanini usiseme tu ukweli kuwa una jambo lako na Mtabiri Mkuu. Nyie wawili kuna kitu mnataka kufanya sitaruhusu hilo jambo litokee "

"Jambo lipi tena mkwe?"

"Mkwee hapana usiniite mkwe nasikia kizungu zungu " Malkia Ada ana mambo aisee.

Nilijikuta ni kikosa cha kusema, alinisomea maneno mengi ya kuchosha akili yangu kisha akaondoka.

Sijakaa sawa Malkia Shamsa aliingia, harufu ya marashi yake ilinivuruga, nilijikuta ni kitapika ๐Ÿคฎ..

"Kutapika mbele yangu, hebu mlete Daktari ampime kabla sijafanya maamuzi magumu" Malkia Shamsa aliongea.

Daktari alikuja akanifanyia vipimo.... badala ya kunipa majibu Mimi alimgeukia Malkia Shamsa.

"Hongera mke mwenza ni mjamzito " Daktari aliongea akionekana kufurahi......

ITAENDELEA......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 17


ENDELEA.......

Basi Mfalme alitoa amri Mtabiri Mkuu atolewe gerezani mara baada ya harusi yetu kukamilika.

Sikuelewa kama nimefanya jambo jema au nimeharibu maana watu walikuwa wakinong'ona.
Nilikuwa na uwezo wa kuomba watu wa ukoo wangu wapatiwe dhahabu lakini sikutaka kufanya hivyo kwa sababu Mtabiri Mkuu aliingia matatizoni kwa sababu yangu. Kama si yeye kunichagua nilipokuwa gerezani sidhani kama leo hii ningekuwa Ikulu.

Hakuna jambo lisilo na mwisho hatimaye harusi yetu ilimalizika.

Watu wa ukoo wangu walimshukuru Mfalme kwa kumpatia zawadi ya pombe.

Yeye pia aliwashukuru kwa kuwapatia vipande vya dhahabu kila mmoja.

Kwa kuwa sherehe ilikuwa imemalizika hawakukaa waliondoka.

Usiku wangu na wa Mfalme ulikuwa ni wa kipekee....pombe...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/usiku-mmoja-tu-alidata-sehemu-ya-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi usiku-mmoja-tu-alidata-sehemu-ya
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 14
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 14
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 13
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 13
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 16
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 16
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 15
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 15
USIKU MMOJA TU ALIDATA    SEHEMU YA 19
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 19
USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 18
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 18
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 11
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 11
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 12
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 12
 USIKU MMOJA TU ALIDATA   SEHEMU YA 20
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 20
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 9
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 9
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 10
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 10
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 7
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 7
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 8
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 8
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 6
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 6
USIKU MMOJA TU ALIDATA  SEHEMU YA 11
USIKU MMOJA TU ALIDATA SEHEMU YA 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103

769
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102

642
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 65๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

518
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55

516
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53

413
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

376
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

357
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

176
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

174
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

118

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.69K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.42K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.31K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 ๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก๐ŸŸก Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ทโค๏ธโ€๐Ÿฉน Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ทโค๏ธโ€๐Ÿฉน Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

โ€œThe CBF stands in solidarity with Vinรญcius Jรบnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior Post Mpya
๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinรญcius Jรบnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. โš ๏ธ๐Ÿšซ Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! โ€ผ๏ธ VINI AKATAA KUCHEZA!! ๐Ÿ˜คโŒ

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa ๐Ÿ˜‚ Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ  ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ Post Mpya
๐†๐€๐‹๐€๐“๐€๐’๐€๐‘๐€๐˜ ๐Œ๐€๐Š๐„ ๐ˆ๐“ ๐…๐ˆ๐•๐„! โค๏ธ๐Ÿ’›๐Ÿ–๐Ÿผ ๐–๐‡๐€๐“ ๐€ ๐†๐€๐Œ๐„! ๐Ÿฟ
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest