Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
Gonga94 · Stories

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


19

Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni.
Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia kupika niliongea huku nikijiuma uma je kama akiniuliza ameenda wapi ? Nitajibu nini .
Oh Sawa nilijua yupo ice cream 🍨 hii hapa basi utakula wewe...
Nilichukua ile ice cream 🍨 nikamshukuru 🙏 alivyotoka tu nikaanza kuila kama mwendaazimu na ilivyokuwa tamu 😋.

Nilimaliza kula nikatoka hadi sebuleni nilimkuta amekaa kwenye sofa anachezea PC sijui anaandika mambo ya kazini kwao mimi sijui.
Kaka nimemaliza ngoja mimi niende usiku 🌃 umeshaingia...
Mbona unaondoka bila ya kula, na umesema huna hali ngumu nenda kapakue chakula 🥗 🍲 ule ndio uondoke sawa...
Sawa kaka nilimjibu nikaenda jikoni kupakua chakula nilipakua kidogo tu kuona haya 😌 nikala haraka haraka nikasafisha chombo nilicholia nikatoka jikoni.
Kaka asante 🙏 nashukuru sana nimeshiba mimi naenda.
Ngoja aliingiza mkono mfukoni akatoa wallet yake akanipatia elfu kumi, hiyo ya nauli usiku 🌃 mwema kuwa makini...
Asante 🙏 niliondoka nikaanza safari ya kurudi ghetto usiku kama mnavyojua foleni inakuwa inapungua nilifika ubungo mawasiliano mapema tu nikafikia kulala 😴 na hivi nilichoka sana. Asubuhi 🌅 na mapema niliamka nikajiandaa nikaenda zangu chuo nilikaa kidogo Glad naye akawa amekuja.
Jana nilikuuza sikurudi vipi kaka hajakuuliza nimeenda wapi 🤔.
Nashukuru hata hajaniuliza maana sijui ningemjibu nini nilikula nikaondoka, Sawa wewe jitahidi kufanya kazi vizuri kaka yangu hana shida yule kwanza ana upendo 💕 na kila mtu nampenda sana Glavin wangu his my best friend sio kaka tu..
Sijawahi kuona watu wamefuatana wakapendana nyie wa ajabu sana 😂 na uzungu unachangia natamani kama na mimi ningekuwa na ndugu wa kunipenda..
Usijali Nelly I'm here for you now ni mabest friends ila nakuona kama ndugu kwangu ukiwa na shida yoyote usisite kuniambia nina uwezo nacho nitakusaidia..
Asante 🙏 sana Glad lecture huyo kaa vizuri, maana alikuwa amekaa juu ya meza.
Glad alikaa vizuri tukaanza kipindi hadi mida ya saa saba mchana tulikuwa tushamaliza kusoma...
Nilichukua mkoba wangu nikamfuata Glad, mimi naenda bunju kwa kaka yako nikafanye usafi ili niwahi kurudi nyumbani 🏡 mapema..

Sawa kuna mahali naenda ningekuwa sina inshu ningekupeleka, usijali Glad nauli ninayo. Haya sawa niliondoka nikaelekea nyumbani 🏡 kwa kaka yake na Glad, hata jina nilikuwa simfahamu kumbe ni Glavin jina zuri limekaa kisomi tuachane na hayo tuendelee na story yetu 😅.
Nilifika getini niligonga mlinzi alikuja kunifungulia kwa kuwa alipewa maagizo kuwa nitaenda akanipatia funguo.
Niliingia ndani nikaanz

Itaendeleaaaaaaa

ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO
SEHEMU YA 20

Nilikaa kama dakika tano ndipo ujumbe ukarudi kwenye simu yangu. Yah nipikie chakula cha jana kilikuwa kitamu sana angalia humo kwenye friji kuna kuku pika na wali.. Niliishia kutabasamu nilivyosoma hiyo meseji nikaenda jikoni nikaanza kupika...
Mara nikasikia mlango unafunguliwa nikajua labda ni kaka Glavin karudi tu mapema..
Kumbe sio yeye alikuwa ni mdada tena sura sio ngeni nilishawahi kumuona chuoni tena ofisini alikuwa anaongea na lecture...
Enhee wewe nani tena mbona sura sio ngeni? Yule dada aliniuliza.... Mimi sikumshangaa sana kwa kuwa Glad alishanipa taarifa zake kuwa kaka Glavin ana mpenzi anasoma..
Mimi ni mfanyakazi nilimjibu huku naendelea kumuandaa kuku... Mfanyakazi kivipi wewe sio mwanachuo tena unasoma na Glad...
Ndio nasoma nae ni rafiki yangu nilimjibu... Mhh sawa kama umekuja kufanya kazi kweli jitahidi ufanye kilichokuleta sijui unanielewa..... Yule dada aliongea
Sawa nimekuelewa nilimjibu. Aliniangalia akanipandisha akanishusha akaondoka zake .
Moyoni nikasema ondoa wivu dada mimi nina shida ya hela hapa nina mambo kibao yananisubiri mbele... Nilipika nilivyomaliza nikafunika vizuri nikapakua nikala kisha nikaondoka nikamuacha bibie yupo sebuleni anaangalia movie
.
Nilifika nyumbani nikaenda kuoga nikajilalia zangu maana kama kula nishakula kilichobaki ni kulala tu.
Asubuhi nilienda zangu chuo, nikamkuta Glad tayari amefika. Shoga mh jana yalinikuta mambo mwenzio si amenikuta mpenzi wake na kaka Glavin mdada ana nyodo hatari.
Kwani ulikuwa hujui hapo kashaisi unatembea na mpenzi wake yeye hata kufagia tu hawezi kanajidai slay queen mimi na yeye hata haziivagi sana anatakaga aniendeshe kama gari bovu hiyo nafasi siwezi kumpa kabisa .
Utafanyaje sasa ndio wifi
yako tena inabidi tu
ukubaliane na hali..
Mh ngoja tuonehawa ndio wanafanya mawifi tuonekane ni watu wabaya kumbe hata.
Haya rafiki yangu ngoja mimi niende kuna mahali napitia Glad aliniaga akaondoka zake nikiwa nimekaa nikasikia naitwa nyuma... Mwisho wa season one usikose season 2 ipo tayarii nichangie tupate Leo 0768304821 omary luambano 🙏

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20



19

Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni.
Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia kupika niliongea huku nikijiuma uma je kama akiniuliza ameenda wapi ? Nitajibu nini .
Oh Sawa nilijua yupo ice cream 🍨 hii hapa basi utakula wewe...
Nilichukua ile ice cream 🍨 nikamshukuru 🙏 alivyotoka tu nikaanza kuila kama mwendaazimu na ilivyokuwa tamu 😋.

Nilimaliza kula nikatoka hadi sebuleni nilimkuta amekaa kwenye sofa anachezea PC sijui anaandika mambo ya kazini kwao mimi sijui.
Kaka nimemaliza ngoja mimi niende usiku 🌃 umeshaingia...
Mbona unaondoka bila ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ila-boss-anajua-kupeleka-moto-mwisho-season-1-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ila-boss-anajua-kupeleka-moto-mwisho-season
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

432
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

41
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest