Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JUA: NYOTA INAYOTUPA UHAI HUKU IKISUBIRI KUTUSAMBARATISHA
Gonga94 · Stories

JUA: NYOTA INAYOTUPA UHAI HUKU IKISUBIRI KUTUSAMBARATISHA

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nyota iliyo karibu sana na Dunia, haiko mbali sana, si kwenye galaksi nyingine, bali hapa hapa nyumbani, katikati ya mfumo wetu wa Jua. Adui wetu ndo mlinzi wetu.

Hii nyota imekuwa ikifanya kazi ya kusambaza uwezekano wa kuwepo na maisha Duniani kimya kimya kwa zaidi ya miaka milioni 4.5, bila kupumzika hata sekunde moja. Yenyewe inakadiriwa kuwepo kwa miaka billion 4.6

Kwa macho yetu, Jua huonekana kama duara la kawaida la mwanga. Tunaliamkia kila asubuhi, na kuliona likizama jioni nyuma ya milima, kana kwamba ni sehemu ya ratiba ya kawaida ya maisha.

Lakini ukweli ni kwamba, kile tunachokiona ni moja ya mashine za asili za nishati ya nyuklia zilizopo ulimwenguni. Hachana na Chernobyl, hiki kinu cha kufua umeme cha angani kina umene wa kuwasha sayari zaidi ya 9 na watoto wao wote.

Kisayansi, Jua ni nyota ya daraja la kati. Ndani yake, katikati kabisa, kuna joto la takribani nyuzi joto milioni 15 za Celsius. Katika joto hilo, atom za Hydrogen zinabanwa na nguvu ya gravity mpaka zinachanganyika na kuunda Helium.

Mchakato huo unaofahamika kama "Nuclear Fusion" ndio chanzo cha mwanga, joto, na uhai wote duniani.
Kuungana kwa viindi vya atoms za Hydrogen kuunda Helium kunazalisha nguvu kubwa sana ya mionzi na mionzi hii husafiri kwenye anga tupu mpaka kutufikia huku Duniani.

Lakini hapa kuna jambo lingine la kushangaza. Mwanga tunaouona ukitoka kwenye Jua unakuwa sio wa wakati huo, bali unakuwa ni mwanga wa muda kidogo uliopita.

Iko hivi....
Mwanga pamoja na mionzi yote husafiri kwa mwendokasi wa kilomita Laki tatu kwa sekunde moja (300,000km/s).
Chukulia kutoka Dar mpaka Bukoba, kwenda na kurudi mara 200 ndani ya sekunde moja.!

Jua lipo kilomita Milioni 150 ukitokea duniani, kwa huo umbali mwanga ukitoka kwenye Jua unatakiwa kusafiri kwa dakika 8 njiani ili kufika huku.

Kiuhalisia ni kwamba, unachukua muda wa takribani dakika 8 na sekunde 20 kusafiri kutoka kwenye Jua hadi unafika duniani. Ina maana kwamba kila unapolitazama Jua, unaona taswira ya zamani, unaangalia kile kilichotokea kwenye Jua dakika 8 zilizopita.

Kwa mfano tu, kama Jua lingeweza kuzimika ghafla, Dunia ingeendelea kuwa na mwanga kwa dakika 8 bila kujua hatari inayokuja. Mimea ingeendelea kufanya photosynthesis. Ndege zingekuwa angani.

Watoto wangekuwa wakicheza. Shughuli za kila siku zingekuwa zinaendela kwa sababu mwanga bado upo njiani unakuja, hatujui kama nyuma kuna giza linafuata, mara ghafla tunakumbwa na Giza.

Fikiria hilo kwa sekunde chache. Hilo linatufundisha jambo moja la kina sana:
Maisha yetu yote yanategemea nyota ambayo hatuioni kwa wakati halisi. Yaani dakika 8 zilizopita Jua limeunda nguvu ambayo inanifanya niishi sasa hivi.

Jua pia hupoteza uzito wake kila sekunde– takribani tani milioni 4 za uzito hubadilika kuwa nguvu na nishati safi ya mionzi na mwanga. Hata hivyo, ni kubwa kiasi kwamba upotevu huo hauonekani.

Jua lina uzito mkubwa sana, akiba ya kutosha kuendelea kuwaka kwa zaidi ya miaka bilioni 5 ijayo.

Lakini pamoja na utulivu wake, Jua lina tabia nyingine isiyozungumziwa sana, na hii ndo hatari sana, rafiki wetu wa kutupambania kupata maisha anapogeuka kuwa muuwaji wetu.

Jua hutoa milipuko kama huku Duniani tunayoona kama Volcano, kwenye Jua volcano huitwa "Solar Flare" utofauti wa Volcano na Solar Flare ni kwamba huku kwenye volcano mlipuko huanzia kwenye kiini (core) ya gimba, wakati kwenye Flare za Jua mlipuko huwa tu kwenye ganda la juu linaitwa "Chromosphere"

Huu mlipuko huzalisha ujiuji wa moto (hot plasma) na huweza kuruka hadi kutoka kwenye angahewa ya Jua na kuruka juu nje ya Jua hiki kitendo huitwa "Coronal Mass Ejections"

Ni kitendo cha maada za moto kutoka kwenye Corona ya Jua na kupaa mbali zaidi na wakati wa kufanya hivyo husukuma hewa ya moto kutoka kwenye Jua (Solar Wind) kuelekea Sayari za karibu.

Upepo huo mkali wa mionzi na joto kali huweza hadi kufika duniani na kuathiri ukanda wa umeme na sumaku wa Dunia, hii itaathiri mawasiliano, satelaiti, na mifumo ya umeme duniani.

Kwenye makala niliyoandika tarehe 24 mwezi May, 2023 niliwahi kuelezea hizi Solar Flare, Solar Wind na Solar Storm zinavyoathiri mawasiliano ya satellite na internet Duniani na hiyo siku Dunia nzima ilikuwa haina mtandao.

Nakumbuka Jamii Forum 'waliiba' ile makala wakaiweka kwenye platforms zao, kutumia Expert Member kwemoj ya majukwaa yao, nikawa nazozana nao.!

Sio hiyo tu, pia hizi Solar Wind ndo huwa zinasababisha Aurora kwenye North au South Polar Lights, joto la vimbunga hivi kutoka kwenye Jua husababisha "Heat wave" hasa kwenye nchi za Kaskazini na Kusini.

Heat wave ni kitendo cha joto kuongezeka ghafla ndani ya mda mfupi na kuathiri mazingira, jambo ambalo huwa linasababisha moto wa nyika mara kwa mara kwenye misitu ya Marekani, Canada na Urusi, hata India nayo iliwahi kukumbwa na heat wave. Wafatiliaji wa account hii wanajua nishaeleza sana.

Hilo ndo Jua, urafiki wake na Dunia unatupatia mazingira ya kutupa maisha, lakini mara kadhaa lazima tulionje joto la jiwe hilo laini linalolipuka.

Inasadikika baada ya miaka milioni 5 Jua litamaliza akiba yake ya maada za kuunda joto, yaani Hydrogen atoms zitakuwa zimeisha na msawazo wa Helium utakuwa mkubwa sana na italazimisha Jua kulipuka na kusambaratika.

Mlipuko huo huitwa Supernova, kitendo cha Nyota kupasuka baada ya kumaliza akiba yote ya atoms za Hydrogen za kufanya Fusion kuunda joto na mionzi.

Supernova zimesharekodiwa kadhaa kutumia telescope na kutupa ushahidi wa kinachohofiwa kutokea, na kweli kitatokea na hapo itakuwa mwisho wa mfumo wa Jua maana sayari zote zitasambaratishwa na ambazo hazijasambaratika zitapotelea mbali huko kwenye anga.

Enjoy Jua likiwa bado lipo, na kabla halijachanganyikwa kuachia uji wa moto unaohatarisha maisha ya Sayari zote za angani kwenye mfumo huu.

Mimi ni mdadavuaji wako wa Sayansi ngumu kwa lugha rahisi, niite Cekam Cekam's na sasa hivi nimeanza kuunda Video za ma-Alien zitakuwa zinakuja wakati wa mapumziko.
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JUA: NYOTA INAYOTUPA UHAI HUKU IKISUBIRI KUTUSAMBARATISHA



Nyota iliyo karibu sana na Dunia, haiko mbali sana, si kwenye galaksi nyingine, bali hapa hapa nyumbani, katikati ya mfumo wetu wa Jua. Adui wetu ndo mlinzi wetu.

Hii nyota imekuwa ikifanya kazi ya kusambaza uwezekano wa kuwepo na maisha Duniani kimya kimya kwa zaidi ya miaka milioni 4.5, bila kupumzika hata sekunde moja. Yenyewe inakadiriwa kuwepo kwa miaka billion 4.6

Kwa macho yetu, Jua huonekana kama duara la kawaida la mwanga. Tunaliamkia kila asubuhi, na kuliona likizama jioni nyuma ya milima, kana kwamba ni sehemu ya ratiba ya kawaida ya maisha.

Lakini ukweli ni kwamba, kile tunachokiona ni moja ya mashine...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jua-nyota-inayotupa-uhai-huku-ikisubiri-kutusambaratisha

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jua-nyota-inayotupa-uhai-huku-ikisubiri-kutusambaratisha
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

559
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

442
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

400
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

377
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

344
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

202
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

157
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

106
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest