Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
20 Nov 2025
297 views
VYOTE NDANI GONGA94
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Lia kwa nguvu hadi hasira zako zotee ziishe, afuu uutoe uamuzi wakoo"
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
alisema Khalid huku ananigusa gusa mgongoni taratibu aseee yale maneno yalinifanya nilie kwa sauti ya juu kubwaa nilipiga kelele mno kuna muda hadi nikawa nampiga piga kifuani, kwa sababu nilikuwa nalia kwa uchungu hata kam napenda kuliaa hii siku nililia sana, nilikuwa mwekundu kutokana na rangi ya ngozi yangu na sio kingine kabisa nililia mno jamani hiil siku nilijuaaa nitaumwa baada yapo nililia hadi mwisho sauti ikakauka nikaanza kutoka machozi tu bila sauti ya kilio hii ilimaanisha na mud wote huooo sauti ambayo nilikuwa naisikia pembeni yangu ni ya Lecturer akinitaka nilie mpaka machungu yaishe yotee nililia mpaka nikapitiwa na usingizi, nashtuka nipo kwenye kitandaa kuangalia mbele namuona Khalid,
"Hapa nipo wapi?" Niliuliza kwa mshangaoo maana sikutarajiaa kujikuta kwenye chumba wakati Mara ya mwisho nilikuwa garden nikaona niulizee maana huyu atanizoea usijali tupo chuo bado na hii ni office yangu mimi sisheil office na mtu yoyoyte hapa kuwa huru, najua umeamka na maamuzi sahihi na fasaha yasio na maumivu kwasababu naamini machungu na hasira vishaisha naelewa haya kunywa maji ule uniambie sasa binti wa kiarabu nilimtizama tu lecturer nikanywa maji ila sikula nilikuwa sijisikii kula kabisaa nikanywa tu maji nikasema. inatosha " sawa unaweza kusema uamuzi wako kwa sasa nipo tayri kukusikiliza na kam nina weza nitakusapoti" alisema Khalid akinambiaa mimi
"Nataka kuacha chuo, nikafanye kazi huo ndio uamuzi wa mwisho sina mwingine kuhusu mimi binafsi na familia yangu, natakiwa kufanya kazi pia ili kukidhi mahitaji yangu na familia yangu" niliongeaa ila kwa utaratibu kwasababu mimi sio muongeaji kihivyoo alinitizama kwa muda "kazi gani?" Aliuliza khalid nilimtizama yoyote mimi nafanya ila iwe ni kazi tu mimi nafanha nilimjibu akanitizama akatabasam
"Shika hii kadi jumatatu ijayo ufike kwenye hii hospitali unaeza ukaenda kufanya kazi kama pre worker ambae unafanya kazi na kujifunza hapo hapo utatumiaa hyo elimu yako ya mwaka wa pili upo tayari kwa hilo? Na utakuwa unalipwa mshahara pia Aliuliza khalid yaani nilitamani nimkumbatie kwa jinsi nilivyokuwa na furaha jamani nilijihisii wa kipekee sasa yaani me nikajua zile scandal za malecturer kwamba huwa wanawatumiaa wanachuoo tu afu hawawasaidii chochote zaidi ya kuwafaulisha kwenye mtihani kwenye hili jamani alinisaidia sana na nilimuona ni mtu wa maana sana kwenye maisha yang maana huu msaada alionipatia ni mkubwa,akanambiaa atafatiliaa kila kitu hapa chuo yeye ataweka sawa, moyoni mwangu nilifurahi mnoo yaani, nilijiona mwenye bahati sasa na sio mwenye mikosi kam watu walivyosema sikuwahi kuwa na furaha kiasi hiki kwakweli jamani nilimtizamaa kwa furaha kubwa nilimjibu tu asante huku natabasam alinambiaa naweza kumpa kampani mpaka muda wake wa kazi utakapoisha anipeleke nyumbani, hii siku ndio siku ambayo nilipiga nae story nae nyingi sana nikagunduaa mimi ni mchngamfu nikiwa na furaha maan hii siku nilijichetua sana haijawahi kutokea mimi kujichetua kiasi hiki kwakweli, ila kwenye yote hayo sikuumuliza chochote kuhusu maisha yake binafsi siunajua tena maisha ya sisi wadada wa chuo always tupo kimaslahi ila tulibadilishana namba za simu tuu, ila alinitumiaa pia kam 500k kwenye simu afu akanambia ni ya matumizi yangu madogo madogo nilibaki namshangaa Jamni yaani 500k ya matumizi yangu madogo madogo hapana hii kiboko,
Muda ulifika akanipeleka nyumbani, kwa gari. lake, mdogo wangu saa ngapi hajamuona akaja akaanza kujichekesha chekesha kama vile kachizi mpaka nikawa namshangaa maan mhhh alichangamkiwa pia akapewa pesa tena 80k wakat juzi tu katoka kupewa 100k jamni huyu hapana sa tuliagana na yeye akaondoka zake
Iteendelea.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA* Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka
mbali na frank, nikajikuta nilishindwa ata kumkumbatia na kwa sauti ya utulivu nikazungumza. "Unaniumiza" Frank akaniac...
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Lia kwa nguvu hadi hasira zako zotee ziishe, afuu uutoe uamuzi wakoo"
alisema Khalid huku ananigusa gusa mgongoni taratibu aseee yale maneno yalinifanya nilie kwa sauti ya juu kubwaa nilipiga kelele mno kuna muda hadi nikawa nampiga piga kifuani, kwa sababu nilikuwa nalia kwa uchungu hata kam napenda kuliaa hii siku nililia sana, nilikuwa mwekundu kutokana na rangi ya ngozi yangu na sio kingine kabisa nililia mno jamani hiil siku nilijuaaa nitaumwa baada yapo nililia hadi mwisho sauti ikakauka nikaanza kutoka machozi tu bila sauti ya kilio hii ilimaanisha na mud wote huooo sauti ambayo nilikuwa naisikia pembeni yangu ni ya Lecturer akinitaka nilie mpaka machungu yaishe yotee nililia mpaka nikapitiwa na...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-moja-lia-kwa-nguvu-hadi-hasira-zako-zotee-ziishe-afu