Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPENDA NDEFU 13
Gonga94 · Stories

MPENDA NDEFU 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MPENDA NDEFU 13 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Niliwakuta Joyce na Vanesa wakiwa uchi kabisa tena wamelaliana.
"Mmmmh hawajasagana kweli hawa!?" nilijiuliza na sikutaka kuwasumbua zaidi kufanya kilichonipeleka chumbani.
Nilijiandaa na baada ya kumaliza nilitoka chumbani na kupitia upande wa sebleni na kumkuta Sarah au binti mdogo wa kazi akichakalika na kazi ya kudeki.
"Shikamoo dada!"
"Marahaba mdogo wangu, pole na kazi!"
"Ahsante!"
Nilitoka mpaka nje nikimuacha Sarah akiendelea kudeki.

Kwakuwa kulikuwa na kaumbali basi ilibidi nichukue usafiri na kwenda mpaka sehemu anayoishi dada, nilifika na kukutana na ugomvi uliokuwa ukiendelea kati ya dada na shemeji na baadhi ya watu walikuwepo akiwemo John pamoja na Amina waliokuwa wamesimama pembeni, siku hiyo nilielewa ni wapi John anapoenda kulala karibu kila siku na nilikuwa na uhakika huwa analala kwenye chumba cha Amina

Ugomvi uliokuwepo ni dada kumtimua shemeji yaani hakutaka aendelee kuishi kwenye chumba chake na nilishangaa zaidi pale shemeji aliposema kuwa Eliza usiku uliopita alilala na mwanaume chumbani, Niliamua kuwa upande wa dada na sio upande wa shemeji na kwa hasira shemeji alichukua vitu vyake na kuondoka na watu walitawanyika baada ya ugomvi kumalizika.

Mimi, dada pamoja na Amina tuliingia ndani lakini John aliamua kuondoka.
"Dada ivi kimetokea nini kwanza na mwanaume yupi ulikuwa naye jana!"
Hakutaka kuniambia mwanaume aliyekuwa naye usiku uliopita zaidi ya kuniambia tu amemchoka shemeji ndiyo maana kamtimua.
Jinsi walivyokuwa wakiangalia na Amina nilianza kupatwa na wasiwasi kidogo, niliamini kuna kitu wanachonificha na hawataki kuniambia.
Basi tuliongea mengi na siku hiyo niliamua kushinda na Amina kwenye kibanda changu cha matunda alichokuwa akikisimamia kwa mda.
Eliza yeye alienda kwenye kazi yake anayoifanya siku zote.

Mida ya saa 1 jioni nilimuaga Amina na kugeuza kwa ajili ya kurudi ninapoishi lakini nilipigwa na butwaa kwa mbali nilipomuona Juma akiwa pamoja na dada yangu Eliza.
"Jamani huyo si Juma au naona vibaya!"
Yaani kama kulikuwa na mtu pembeni yangu niliyekuwa naongea naye wakati nilikuwa mwenyewe tu!, nilitaka kusogea mpaka wao walipo ila moyo ulisita na kuamua kuwafatilia ili nione mwisho wao ni upi.
Kingine kilichonifanya niamue kuwafatilia ni baada ya kukumbuka siku aliyoniambia Eliza kuwa anatamani kumpa utelezi Juma ili aone ukubwa wa mtalimbo wake ukoje, nilihisi huwenda wapo kwenye kampeni ya kugawiana utamu.

Nilianza kuwafata taratibu pasipo wao kuniona na macho yalinitoka baada ya kuwaona wakiingia wote ndani ya chumba cha dada na kabra hawajafunga mlango nilikimbia na kuusukuma mlango na kuingia ndani.
"Happy!"
"Dada!? mbona upo na mpenzi wangu!"
Wote waliniangalia baada ya kuwafuma na Eliza alikuwa ni mwenye aibu.
"Ngoja tu nikwambie ukweli mdogo wangu ila samahani na usinifikirie vibaya!, Kiukweli kabisa mimi jana nilifanya mapenzi na Juma na ndiyo maana nilimfukuza shemeji yako, nimevutiwa na huyu mwanaume Happy naomba uniachie mdogo wangu tafadhali!"
Nilijua kilichomvutia ni ukubwa wa mtalimbo tu wa Juma na ufundi wake kitandani na sio kingine.

Niligeuka na kuondoka zangu bira kuongea kitu chochote yaani nguvu zote ziliisha baada ya dada kumchukua Juma, licha ya kuwa mda mwingi niliutumia kusagana na Mke wa Boss ila Juma alikuwa na nafasi yake, joto la mwanaume sio sawa na joto la mwanamke na mboo ya mwanaume sio sawa na mboo bandia, niliumia kiufupi kwa kitendo cha Eliza kunichukulia Juma.

Nilifika home huku nikiwa sina raha kabisa na karibu kila mtu alijua sipo sawa hasa Mke wa Boss aliyeniita pembeni na kuanza kuniuliza kipi kilichokuwa kikinisumbua.
"Mimi nipo sawa tu baby!"
"Sijazoea kukuona hivyo kwanza leo hujashinda hapa nyumbani, najua lazima kuna kitu umekutana nacho huko kilichokuumiza!"
Aliendelea kunisisitizia nimwambie ukweli na mwisho nilijikuta nikifunguka kila kitu kwake kwa kumwambia kile kilichonikuta.
"Pole sana baby, mimi ndiyo maana huwa napenda tusagane tu sisi kwa sisi hawa wanaume ni pasua kichwa hawa!"
"Lakini mimi sitaki kuishi haya maisha ya kusagana tu nataka niwe na mwanaume wa kutengeneza naye maisha na familia!"
"Ila vipi kama ukimpata wa kuwa anakutuliza tu kihisia utatulia hapa hapa nyumbani au!?"
Mawazo yalikuwa mbali na mimi sikusikia vizuri kile alichoniuliza ila nilitikisa kichwa tu nikimkubalia.
"Basi sawa ngoja nitaangalia namna ya kukusaidia, najua unapenda mipini ya wanaume na mimi napenda huduma yako sitaki uende mbali na mimi kabisa Happy maana Rebeca ameshahama hayupo tena, sina mwanamke mwingine wa kufanya naye zaidi yako!"
Yaani nilikuwa ni mtu wa kukubali tu kile alichokuwa akikisema Mke wa Boss.

Ila kiukweli kuna watu mbigu wataisikia tu, sijui kama Mke wa Boss alikuwa timamu kwenye kichwa chake, nasema haya kutokana na maamuzi aliyoamua kuyafanya yaliyoniacha mdomo wazi na kubaki kwenye mshangao mkubwa usiku huo, baada ya wote kumaliza kula dinner ya usiku Vanesa na Joyce walichukuana na kupelekana chumbani tena wakiwa na haraka kweli, licha ya kuwa nilikuwa na mawazo yangu ila nilikumbuka asubuhi nilivyowakuta wamelaliana, moja kwa moja nilipata jibu kuwa lazima nao wameanza kusuguana wakate upwiru wao.

Mimi niliingia kwenye chumba cha Boss kwa ajili ya kulala maana nilikuwa nimeshazoea na kukichukulia kama chumba changu tu, nikiwa chumbani nilishangaa kumuona Mke wa Boss akiingia na mwanaume chumbani na kuufunga mlango.......ITAENDELEA.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPENDA NDEFU 13

MPENDA NDEFU 13 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Niliwakuta Joyce na Vanesa wakiwa uchi kabisa tena wamelaliana.
"Mmmmh hawajasagana kweli hawa!?" nilijiuliza na sikutaka kuwasumbua zaidi kufanya kilichonipeleka chumbani.
Nilijiandaa na baada ya kumaliza nilitoka chumbani na kupitia upande wa sebleni na kumkuta Sarah au binti mdogo wa kazi akichakalika na kazi ya kudeki.
"Shikamoo dada!"
"Marahaba mdogo wangu, pole na kazi!"
"Ahsante!"
Nilitoka mpaka nje nikimuacha Sarah akiendelea kudeki.

Kwakuwa kulikuwa na kaumbali basi ilibidi nichukue usafiri na kwenda mpaka sehemu anayoishi dada, nilifika na kukutana na ugomvi uliokuwa ukiendelea kati ya dada na shemeji na baadhi ya watu walikuwepo akiwemo John pamoja na Amina waliokuwa wamesimama pembeni, siku hiyo nilielewa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpenda-ndefu-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpenda-ndefu
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 06
MPENDA NDEFU 06
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 21
MPENDA NDEFU 21
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 12
MPENDA NDEFU 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.53K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.58K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.36K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.27K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.2K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.14K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.14K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.05K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest