Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

   MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 09....10        Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba msamaha mfululizo lakini kilio
Gonga94 · Stories

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 09....10 Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba msamaha mfululizo lakini kilio

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
changu kilikuwa Kama ni sauti za chiliku kwenye masikio ya hamad, hamad hakuweza ata kunihurumia zaidi alinitumia alivyotaka.

Nilijua Kuamka siku nyingine kabisa nikiwa kitandani mtupu kabisa, mwilini nilikuwa Nina maumivu makali sana lakini pia nilikuwa. Na uchovu wa kutosha kutoka na kipigo lakini pia na kazi nzito ya usiku kucha.

Muda huo huo akaingia Hamadi akiwa na trey aliloweka kifungua kinywa.

Nikijikaza na kunyanyuka lakini hamad akawai na kufunga mlango na kuniuliza..

“Unataka kwenda wapi ??”

“ ni muda wa kuwaandaa watoto wangu aendee shule “

Hamad akaniangalia kwa muda kisha akaniuliza.

“Hivi ukiniangalia unaniona Kama baba mjinga sana si ndio ? Ukiniangalia unaniona Kama Mimi siwezi kuwaandaa watoto wangu ? “

“Sijamaanisha hivyo hamad, ata hivyo ni asubuhi sasa siwezi kuendelea kubaki kwenye chumba chako wewe na Khadija”

Hamad akanishika shingo yangu kwa nguvu na kuniambia.

“Sema mume wangu “


Kwa sauti ya tabu sana nikasema.

“Mume wangu “

Hamad akanisukuma kwa nguvu sana nikaanguka chini kama Mzigo Walahi 🥹 Ila huyu mwanaume ni zaidi ya shetani Walahi, Kiukweli siwezi ata kumsamehe.

“Takataka wewe eti hamad mimi ni mume wako Sawa, Tena Shukuru Mungu licha ya umasikini wako na ukoo wako mzima still nimekuoa na kukupatia watoto wazuri ma handsome wa kwenda “

“Please mume wangu Niache nikawaandae watoto “

“Kwa taarifa fupi tu Saa hizi ni Saa 6 kasoro Binti Sawa, watoto wako shule kitambo sana, Mwenyewe unazani sana hizi ni Saa 12 Sijui”


Eeeh macho yalinitoka Kama Fundi Saa aliyepoteza nati Walahi, Yaani siku ya kwanza kazini ambapo natakiwa kufika Saa 12 asubuhi hatimaye Saa 6 mchana inanikuta nikiwa Nyumbani.

“Nifungilie mume wangu “


Hamad akaniangalia na kwa utulivu kabisa uku akivuta vuta mashavu yangu akazungumza.

Kuanzia sasa maisha yako ni umu Ndani, Yaani wewe na Mimi, Mimi na wewe, hao wehu wako waliokuwa wqkikipatia jeuri uko nje watakutafuta kwa Tochi”


Aaaah hamad hakuwa akitania ata kidogo Yaani alihakikisha Kuwa anafanya maisha yangu yanakusa ya tabu sana.


******

Week Mbili ziliisha nikiwa Sigatoka Ndani ya chumba iko jamani 🥹😫 kilikuwa ni mtu wa kukaa sehemu moja, Ndani ya siku zote hizo sikuwai kuona watoto wangu Wala kusikia sauti zao, lakini pia si kujua ata simu yangu iko wapi labda ingenisaidia kwa Namna moja au nyingine.

“Hamad imetosha sasa nataka kutoka nje utanifungia umu Ndani mpaka lini labda ??”

Nilimwambia hamad na muda huo ndio kwanza alikuwa akijiandaa kwenda kazini.

Hamad aliniangalia kwa muda kisha akajibu.

“Yaani wewe kutoka umu Ndani mpaka akili yako ikukae Sawa na ujue Kuwa Mimi ni mume wako na sio hamad, mpaka ujue Kuwa nastahili heshima”

“Nipe taraka yangu hamad nimechoka “

Wlaahi niliamua tu kuomba taraka yangu maana nilianza kukiona kifo changu kabisa, Yaani hamad hakuwa na huruma na Mimi ata kidogo, imagine unafungiwa Ndani Kama hivyo halafu kila siku ni Mli mmoja tu.

Kiukweli nilianza kuchoka mwili na ata AFYA yangu ilianza kudolola.

“Ooooh kuhusu taraka nimeghaili siwezi kulipia taraka “

“Hamad please Naomba taraka yangu me siwezi Tena nimeshindwa “

Nikianza kulia uku nikiwa nimepiga goti na kushikilia miguu yake maana mambo sio mambo kabisa kwa upande wangu.

Hamad alichoka sana na kwa kejeli ya hali ya juu akazungumza.

“Eeeeh shujaa imekuwaje Tena hautapambana kwaajili ya watoto wako ? Wewe si ulisema uwezi kutoka uku kwaajili ya watoto zako nini kimekubadilisha sasa “


Ni kweli naitaji sana kuondoka na watoto zangu lakini siwezi kuendelea naweza nikafa kabisa nikiwa Ndani ya hii Nyumba halafu watoto wangu wakabaki na baba tu hivyo ni bora nikatoka nje halafu nikajua napambanaje kwaajili ya watoto wangu.

“Watoto baki nao wewe ni baba yao najua utawalinda na kuwalea vizuri sana “

Nilijibu kwa utulivu wa hali ya juu ungawaje moyo ulikuwa ukiniuma sana.

“Sawa “

Alijibu hamad kisha akaendelea na shughuli yake ya kujiandaa, hamad alijiandaa alipomaliza akaondoka na kunifungia Tena Ndani.

Siku hii Bwana sikutulia kabisa niliangaika uku na uku kwaajili ya kunisaidia lakini nilishindwa kabisa ukizingatia mwili wangu ulikuwa dhaifu sana.

*******

Majila ya sana 3 usiku gafla mlango wa chumbani kwangu ukafunguliwa na hamad ndio kwanza alikuwa amerudi.

“Kuanzia sasa wewe ni mbwa Huru “
Alizungumza hamad.

Kwanza Nikamuangalia na kwa hasira nikamuuliza.

“Mbwa ??”


“Yaaaaah mbwa unataka uwe Nani ? Nimekufuga vya kutosha na sasa unaweza kwenda, Ila sharti langu ni moja tu Kaa mbali na watoto wangu Shamsa “

Nyieeeej macho yalinitoka Walahi, Ila huyu Jake Bwana ataki kabisa nitokea hapa Nyumbani kwake ni vile tu ajui kuishi na watu maana kila siku anakuja na kikwazo kipya.

“Kingine wewe bado ni mke wangu sitakupa taraka ata ata Mara moja, na ole wako nikuone na wanaume wengine uko nje “


Nilibaki nikitoa macho tu, Kiukweli hamad alijipanga kunikomoa tu hakuna kitu kingine kwake, kwakuwa nilikuwa nikiitaji kutokaa nje nikajikuta nikikubali tu.

Baada ya muda mfupi baadae nilikuwa tayali Nipo nje, nikisema nje Namaanisha nje kweli 😂🙌 Yaani getini kabisa na mabegi yangu, Yaani hamad alinifukuza kabisa na kila kitu changu isipokuwa watoto wangu.

Ila maisha ya Kuwa mama wa Nyumbani yaliniharibia kila kitu, just imagine Sina ata Mia mbovu mfukoni, najua watu watanishaangaa watauliza inamaana haukuwa ukisave katika Pesa ya matumizi ya kila siku, iko hivi hamad ni Yule mwanaume ambaye anaenda sokoni Mwenyewe akupi ata shillingi 50 😁🙌.

Nikaweka begi langu chini na kuanza kutoa vitu uku na uku nikitafuta siku yangu, Mungu Mwema jamani niliweza kuipata simu yangu na ilikuwa na chaji kidogo sana,

Kama kawaida mwaya msaada wangu wa kwanza ni Neha Yaani Sina mtu mwingine zaidi ya Neha, nikampigia na kwa sauti ya kilio Nikamuomba aje Nyumbani kwangu.

Nyieeeeeh bado nitaendelea kusema Kuwa Neha ni zaidi ya Rafiki kwangu, imagine hakujali Kuwa ni usiku sana baada ya muda yeye na mume wake waliwasili pale Nyumbani na kunikuta nikiwa nimejikunyata getini nikijililia Mwenyewe kwani nilikuwa na maumivu makali sana.

“Huyu mume wako anashida ya akili au ? “

Mume wa Neha aliniuliza maana ni mwanaume mwenzie lakini amuelewi kabisa.

Neha akamuangalia mume wake kisha kwa utulivu akajibu.

“Babe relax ni muda wa kumsaidia Shamsa kwanza “

Bado kWa pamoja tukapanda kwenye gari na safari ya kuondoka ikaanza.

Aaaah Walahi kuja watu wanaishi Bwana, hii Nyumba anayoishi Neha ni hatari jamani kwani Pesa wanato wapi hawa watu.

“Karibu snaa Shamsa “

Neha alinikaribisha.

Moja kwa moja nikapelekwa kwenye chumba cha wageni na kukabiziwa kila kitu muhimu na wakaniacha nipumzike.

*******

Hatimaye asubuhi ilishika nafasi nikiwa Sijapata ata leke la usingizi usiku kucha.

Basi nikaoga pale na kutoka nje ili niweze kuwasaidia kazi Mbili Tatu.

“Wewe Tena Mbona umewai kuamka ??”

Neha aliniuliza.

Muda huo yeye na mume wake walikuwa wakifanya usafi wa Nyumba Yao, Walahi nilijikuta nikianza kuwaonea Wivu Walahi kubwa watu wamepata wenza wao.

Nikiwa bado nawaangalia na kutabasamu peke yangu gafla Hodi ilisikika mlangoni na muda huo huo akaingia Khadija, Yaani mke mwenzangu.

JE KUNA UHUSIANO GANI KATI YA HADIJA NA NEHA ? TUKUTANE SEHEMU IJAYO….

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 09....10 Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba msamaha mfululizo lakini kilio

changu kilikuwa Kama ni sauti za chiliku kwenye masikio ya hamad, hamad hakuweza ata kunihurumia zaidi alinitumia alivyotaka.

Nilijua Kuamka siku nyingine kabisa nikiwa kitandani mtupu kabisa, mwilini nilikuwa Nina maumivu makali sana lakini pia nilikuwa. Na uchovu wa kutosha kutoka na kipigo lakini pia na kazi nzito ya usiku kucha.

Muda huo huo akaingia Hamadi akiwa na trey aliloweka kifungua kinywa.

Nikijikaza na kunyanyuka lakini hamad akawai na kufunga mlango na kuniuliza..

“Unataka kwenda wapi ??”

“ ni muda wa kuwaandaa watoto wangu aendee shule “

Hamad akaniangalia kwa muda kisha akaniuliza.

“Hivi ukiniangalia unaniona Kama baba mjinga sana si ndio...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya-09-10-nyie-nilianza-kulia-kama-mtoto-mdogo-na-kuomba-m

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 15 🔥      Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 15 🔥 Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 13        KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 13 KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 14       “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 14 “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 12         Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 12 Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

524
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

505
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

438
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

330
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

310
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

304
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

150
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

44
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

39
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️

32

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.17K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest