Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI  SEHEMU YA 1
Gonga94 · Stories

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

"Sasa hivi unataka kusema kuwa kazi umepata pale eti?" nilimuliza shoga yangu nikiwa amshangao kidogo😳.

"Love, kwani huelewi au? Nimepata kazi ya kutengeneza juice bana, tena kwanza nawe ungekuja kujaribu bahati yako huenda utapata," Sada aliniambia.

Jamani, naitwa Loveness, naishi na rafiki yangu ambaye tulitoka wote kijijini na kuja mjini kutafuta maisha... Sikuwa na ndugu huko kijijini maana niliambiwaga tu kama niliokotwa na mama yake Sada.

Baada ya sote ku-fail shule, tuliamua kuja mjini... Mi nilijishughulisha na kazi ya kupika vitumbua, lakini Sada alikuwa kama anadharau hivi, hakutaka kufanya kazi hiyo.

Alitafuta kazi na bahati nzuri alipata kwenye hotel moja kubwa hapo mjini... Nikaona tu bora nitatafuta na mimi nijaribu bahati yangu.

Asubuhi alijiandaa na kuondoka huku akiwa na furaha sana... Na mimi kama kawaida yangu nilipika vitumbua na kuanza kutembeza mtaa kwa mtaa.

(Loveness! Loveness!) niligeuka kutazama nani ananiita... Alikuwa ni jirani yetu Fredy.

"Aaah, yani wewe ukishakuwaga na ndoo yako ya vitumbua, masikio sijui unaachaga wapi!" alisema Fredy akiwa ananitazama.

"😁 Hamna bana, nivile nilikuwa busy na kuwaza... Ehein, unasemaje?" nilisema na kutabasamu.

"Hamna hata, niliona unaelekea nyumbani nikasema tuongozane," Fredy alisema kisha tukaanza kuondoka huku tukipiga story moja mbili tatu hivi...

Niliwasili nyumbani, nikaanza kuoga kwanza kisha nikawasha jiko nianze kukalangiza dagaa nipike na ugali, mchana upite...

Baada ya shughuli hiyo, nililala zangu... Nikiwa hapo, nilisikia mtu akibisha nikamruhusu...

Aliingia binti mmoja hivi, alikuwa mdogo wake Fredy... " Asante mwaya! Naona umejilaza," alisema binti huyo akiwa anakaa kitandani.

"Ndio... Lakini Kasie, hivi unawaza nini kuvaa mavazi kama hayo?" nilimuuliza maana kavaa nguo fupi sana...

"Ushaanza sasa! Hivi we ndio unatarajiwa na kaka kuwa wifi yangu kweli? Utanimaliza sasa! Kuna joto wifi," alisema Kasie hadi nikashtuka😳...

"Hein, uwifi huo wa toka lini? Wifi yako ni Sada sio mimi," nilisema nikiwa serious sana...

"Eh sawa, ila mi huyo Sada hata simjui, na anajipendekeza kwa kaka tu," Kasie alisema kisha akaondoka...

Msomaji, Fredy ananipendaga tu sana... Ila mimi hata sinaga mawazo nae... Lakini sasa Sada anampendaga sana Fredy... Na Sada anajua kabisa kuwa Fredy ananitakaga ila mi simtaki...

Mida ya jioni nikiwa namalizia kupika ugali, Sada aliingia akiwa kachangamka sana... Akaingia ndani akavua nguo, akavaa kanga zake mbili kisha akanikuta kibarazani...

"Ehee, kulikoni bi dada na heka heka hizo?" nilimuuliza hivo...

"Khaaa we mtoto wewe! Leo ninafuraha hadi basi💃... Kuna nini?" nilimuuliza nikiwa natabasamu pia🙂...

Boss leo kaja na tumemuona jamani khaaaa... Ni mzuri, handsome, halafu ni mzungu," Sada aliongea kwa uchu...

"Umalaya utakuponza kipenzi mmh," nilisema kwasababu nishamzoea...

"Haya sawa basi! Ila kesho kunatakiwa mfanyakazi, naomba uwahi weye iyo nafasi," alisema Sada akiwa kauvuta mdomo...

"Aah, lakini Sada! Si maandazi haya napika na napate pesa," nilisema kama sitaki hiyo kazi...

"Usinitibue maana nimeshamwambia msimamizi kama unakuja wewe," Sada alisema na kuingia ndani...

Tulilala usiku huo... Asubuhi alihakikisha haniachi, kipengele ni kwenye nguo sasa... Mi nguo zangu ni ma gauni tu, tena marefu ya stara jamani... Hasa ma dera nimejaza...

Ila Sada yeye baada ya kufika mjini, mshahara wake wa 1 alinunua nguo za kila aina yani... Nikachukuwa dera langu moja zuri kweri nikatupia...

Tukaanza kuondoka... Tulitumia daladala kufika hapo... Hotel ilikuwa kubwa sana... Wafanya kazi walipendeza sana...

Sada aliniacha kwenye kiti hapo akisema anaenda kuvaa uniform pia amtaarifu mkuu wao kuwa nimefika...

Nikiwa pale nashangashangaa sasa ghafla ehee... " Hey! Who are you?" ilikuwa ni sauti iliyonifanya ninyanyue macho yangu kumtazama...

Alikuwa msichana wa kizungu akiwa na chai mkononi... Nikiwa namtazama, alinimwagia chai ile na kufoka...

"I am talking to you! Unajua mi ninani eeh?" alisema mdada huyo...

Nilinyanyuka kwa hasira sasa 😠... " Kwa hiyo hata ukiwa mtoto wa raisi hujafunzwa jinsi ya kuongea na watu? Nilitaka nishangae usipo mwaga hiyo chai, na ulivyoshiba ukahisi tu uvivu kupeleka jikoni ukaona bora unimwagie! Kingereza nakijua sana ila sikitumii kunyanyasa watu," nilikuwa nikisema kwa hasira sana...

"Love, ebu acha basi!" hapo watu walikuwa wamejaa na Sada alikuwa akijaribu kunizuia...

"Stop! What's going on here?" hiyo ni nyingine sauti ilitokea juu kwenye ngazi... Sote tuligeuka kutazama huku sasa Sada akitetemeka kwa uoga sana😥...

To be continued ......💥

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 1


"Sasa hivi unataka kusema kuwa kazi umepata pale eti?" nilimuliza shoga yangu nikiwa amshangao kidogo😳.

"Love, kwani huelewi au? Nimepata kazi ya kutengeneza juice bana, tena kwanza nawe ungekuja kujaribu bahati yako huenda utapata," Sada aliniambia.

Jamani, naitwa Loveness, naishi na rafiki yangu ambaye tulitoka wote kijijini na kuja mjini kutafuta maisha... Sikuwa na ndugu huko kijijini maana niliambiwaga tu kama niliokotwa na mama yake Sada.

Baada ya sote ku-fail shule, tuliamua kuja mjini... Mi nilijishughulisha na kazi ya kupika vitumbua, lakini Sada alikuwa kama anadharau hivi, hakutaka kufanya kazi hiyo.

Alitafuta kazi na bahati nzuri alipata kwenye hotel moja kubwa hapo mjini... Nikaona...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-sehemu-ya-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-sehemu-ya
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI   SEHEMU YA 4
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 4
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI   SEHEMU YA 5
MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI SEHEMU YA 5
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

985
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

761
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

401
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

352
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

302
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

190
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20

169
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

82
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

39

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.64K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.37K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.8K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.87K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.79K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest