Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🔞 Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima, vurugu za kifamilia, na hisia nzito. Inafaa kwa wasomaji waliotimia miaka 18+. Tafadhali soma kwa tahadhari. 🔞 Hadithi ya Watu Wazima : Zawadi Sehemu ya 7
Gonga94 · Stories

🔞 Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima, vurugu za kifamilia, na hisia nzito. Inafaa kwa wasomaji waliotimia miaka 18+. Tafadhali soma kwa tahadhari. 🔞 Hadithi ya Watu Wazima : Zawadi Sehemu ya 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Simulizi za john
0789 824 178 ,
1000
Nikasema, “Mama, hakuna chochote, baba alikuwa anaangalia vidonda tu.” Akasema, “Unasemaje? Baba? Baba gani? Babako yule? Unamudu ili unibadilishe uishi kwenye ghorofa hii, si ndiyo? Unaona ninafaidi, unataka kuwa mke mwenza, si ndiyo? Ulimuonyesha nini huko chini?” Nikasema, “Mama, mbona unaniambia maneno ambayo sielewi? Unanionea!” Akasema, “Nani anakunea?” Alinishika, akanibamiza ukutani, akasema, “Nitakuua!” Nilipasuka kichwani kisogoni, damu zikamwagika. Mama hakustuka, akaendelea kunipiga, kisha akasema, “Toka kwangu, toka!” Akanisukuma nje huku navuja damu, nalia, bila kusema nisamehe—nilishaamua kuondoka, bora nikafie mbali.
Nikimkumbuka mama na bibi yangu, nilitamani kurudi, lakini baba yangu ni mkatili, ataniua. Nje ya nyumba kuna kibaraza chenye ngazi, akanisukuma, nikabiringika kama mzigo, nikatua chini. Masai aliona, akaja akikimbia, lakini mama aliniokota, akaanza kunipiga tena, akisema, “Ondoka kwangu, mshenzi!” Nikaskia sauti, “Mama Zawadi, mshenzi wewe, mwache mtoto wa watu!” Alikuwa Baba Zawadi. Masai alinishika, nikiwa navuja damu puani na mdomoni, bila nguvu. Baba akasema, “Masai, kampakie kwenye gari haraka! Na wewe, mwanamke mkatili, nikirudi nisikukute—una roho mbaya kama paka!”
Masai alinibeba, nikatolewa nje ya geti kwenye gari la baba. Baba alipanda, akasema, “Masai, hakikisha nikirudi simkuti yule mwanamke, nitamuua!” Aliwasha gari. Nakohoa damu, baba akaogopa, akasema, “Zawadi, nakupeleka hospitali, sawa?” Sikuweza kusema. Alipita kwa polisi, akachukua karatasi, tukafika hospitali. Alinibeba, akipiga kelele, “Nesi, daktari, nisaidieni mtoto huyu!” Walinipokea, nikawekwa kwenye kitanda cha emergensi. Nilitibiwa, lakini sikusikia maumivu, kama sielewi kinachoendelea. Nilipopewa dawa, nikapitiwa na usingizi.
Niliamka niko kitandani, bila nguo, nimefunikwa shuka. Nikajiona niko hospitali, chumbani chenye vitanda vinne, lakini hakuna mtu. Nilianza kukumbuka yaliyonipata, machozi yakanitoka. Nesi akaja, akasema, “Muda wa dawa, binti mzuri, umeamka?” Nikasema, “Ndiyo.” Akasema, “Unajisikiaje?” Nikasema, “Nafuu.” Akasema, “Kakako anakuja, yupo njiani.” Nikashangaa, “Kakangu gani?” Nikauliza, “Kaka?” Akasema, “Yule aliyekuleta, kwani sio kakako? Si babako, bado mdogo.” Nikajua ni Baba Zawadi. Nikakaa kimya. Alinipa dawa, nikanywa, drip liliisha, akaweka lingine, akatoka.
Nikiwa na mawazo, “Mama akirudi, itakuwaje? Bora nitoroke.” Nilitamani kumtafuta Neema, lakini sikuwa na mawasiliano naye. Nikapanga kutoroka nikipata nafasi. Nikiwa nimelala, Baba Zawadi akaniita, “Zawadi!” Nikaitika, “Abee,” nikafumbua macho. Akasema, “Unajisikiaje?” Nikasema, “Naendelea vizuri.” Akasema, “Pole sana.” Nikasema, “Asante, baba.” Akasema, “Nimekuletea nguo uvae, ile ilichafuka, ilitupwa.” Nikasema, “Baba, asante, lakini nitaifua.” Niliongea nalia.
Baba alinishika, akasema, “Zawadi, naomba unisamehe kwa yaliokufanyia mke wangu. Alikufanyia kitu cha kinyama. Nitafanya kila kitu kwa ajili yako, nitakupa chochote unachotaka. Nina watoto, nawaza kama sipo, wataishije? Nisamehe, nitakulea kama mwanangu.” Nikasema, “Baba, naogopa, siwezi kurudi, yule mama ataniua.” Akasema, “Hayupo, hatorudi kabisa kwangu. Uwe na amani, nitakusaidia, nitatafuta msichana wa kazi, sawa? Naomba unipe muda.” Nikasema, “Mmmh, nifanyaje? Nimepigwa hadi nakohoa damu, safari hii ataniua. Je, ni kweli hatorudi?” Nikawaza, “Nikubali au iwaje?” Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🔞 Onyo: Hadithi hii ina maudhui ya watu wazima, vurugu za kifamilia, na hisia nzito. Inafaa kwa wasomaji waliotimia miaka 18+. Tafadhali soma kwa tahadhari. 🔞 Hadithi ya Watu Wazima : Zawadi Sehemu ya 7


Simulizi za john
0789 824 178 ,
1000
Nikasema, “Mama, hakuna chochote, baba alikuwa anaangalia vidonda tu.” Akasema, “Unasemaje? Baba? Baba gani? Babako yule? Unamudu ili unibadilishe uishi kwenye ghorofa hii, si ndiyo? Unaona ninafaidi, unataka kuwa mke mwenza, si ndiyo? Ulimuonyesha nini huko chini?” Nikasema, “Mama, mbona unaniambia maneno ambayo sielewi? Unanionea!” Akasema, “Nani anakunea?” Alinishika, akanibamiza ukutani, akasema, “Nitakuua!” Nilipasuka kichwani kisogoni, damu zikamwagika. Mama hakustuka, akaendelea kunipiga, kisha akasema, “Toka kwangu, toka!” Akanisukuma nje huku navuja damu, nalia, bila kusema nisamehe—nilishaamua kuondoka, bora nikafie mbali.
Nikimkumbuka mama na bibi yangu, nilitamani kurudi, lakini baba yangu ni mkatili, ataniua. Nje ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/onyo-hadithi-hii-ina-maudhui-ya-watu-wazima-vurugu-za-kifamilia-na-hisia-nzito-inafaa-kwa-wasomaji-w

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi onyo-hadithi-hii-ina-maudhui-ya-watu-wazima-vurugu-za-kifamilia-na-hisia-nzito-inafaa-kwa-wasomaji-w
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

1.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

711
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

655
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

504
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

499
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

416
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

297
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

251
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

112
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

91

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest