Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Siri Ya Mvuvi Na Bahari  akaniambia kwamba ukimuona Riziki mwambie awahi hospitali kuja kumuona mama yake...  Inaendelea... Sehemu Ya 06
Gonga94 Β· Stories

Siri Ya Mvuvi Na Bahari akaniambia kwamba ukimuona Riziki mwambie awahi hospitali kuja kumuona mama yake... Inaendelea... Sehemu Ya 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Sasa nikaona hapa mambo yatakuwa magumu kama zitapita siku tatu Riziki hajaonekana inamaana kwamba kesi itaniangukia, siku inayofuata yule ndugu yake na Riziki alikuja mpaka nyumbani kwetu, nikamwambia Riziki aliondoka na Goma yule kiongozi wetu wa kazi na walienda kununua nyavu mjini kwahiyo bado hawajarudi lakini wakirudi nitamwambia na atakuja huko nyumbani, ikabidi nimdanganye namna hiyo, yule ndugu wa Riziki alipoondoka mama akaniulia kwani Riziki mara ya mwisho ulimuacha wapi? nikamwambia mama kwamba Riziki waliondoka na mkubwa wetu wa kazi kwenda kununua nyavu kwahiyo bado hawajarudi, mama akaniambia wewe sema nyavu maana nasikia huko baharini watu wanazidi kupotea,

Badae nikaenda kule ambapo huwa tunapaki ule mtumbwi nilifika na kuanza kuuangalia hadi nikawa najiuliza hivi huu mtumbwi una nini hasa maana inaonekana kama vile ni mtumbwi wa zamani harafu unagombaniwa na watu,harafu bado watu wanapotea kupitia ule mtumbwi, nikawa sina majibu, lakini nikakumbuka Salha aliniambia kwamba nikikosa kile ninachokitafuta, nimtafute yeye ili anipe msaada,

Nikawa nimeelekea kule ambapo mara nyingi huwa nakutana na Salha, nilipofika nikawa nimekutana,nae nikamwambia kuna marafiki zangu wametoweka ghafla na sijui wapo wapi Salha akaniambia kama unataka nikusaidie basi ni lazima twende kwetu ukajitambulishe, harafu tukitoka huko nitakupeleka walipo marafiki zako, nikawaza huu mbona kama vile ni mtego,harafu inakuwa vipi Salha ajue kule walipo wenzangu harafu kingine, wakati huo nilikuwa tayari nimeshajitambulisha nyumbani kwao na kina Latifa, harafu Salha nae anasema nikajitambulishe kwao. nikamuuliza Salha kwani nyumbani kwenu ni wapi, Salha akaniambia sio mbali sana wala sio karibu sana lakini twende utaenda kupajuwa ukifika,

Nikawaza au Salha ni jini maana simwelewi kabisa, lakini nikaona acha nikajitambulishe ili niwaokoe wenzangu, tukaondoka na Salha lakini cha ajabu tukaenda kuchukuwa ule mtumbwi ambao uliwapoteza Riziki na Goma, mimi nikamwambia Salha tuchukuwe mtumbwi mwingine, Salha akasema hapana huu ndio mtumbwi mzuri. kweli tukapanda kisha tukaelekea katikati ya kina kirefu cha maji lakini wakati tunazidi kwenda ghafla nilianza kuona tunaingia ndani ya mji tukiwa baharini, lakini tunavyozidi kwenda nilianza kuona majumba mazuri magari ya kifahari treni za umeme, ule mji wa ndani ya bahari ulikuwa ni mji mzuri ambao una kila kitu, lakini ile bahari ilikuwa imeunganikana hadi na bahari ya huko chini, wakati tunazidi kwenda ule mtumbwi wetu ulianza kubadirika rangi na kuwa na mwonekano wa rangi ya dhahabu,lakini pia ulikuwa ukijiendesha wenyewe, tulienda hadi sehemu ambayo wamepaki mitumbwi na boti, Salha akaniambia usiwe na hofu huku ndio kwetu, barabara zao zilikuwa ni zakisasa zaidi ambazo kwa dunia yetu ya kawaida bado hatujazifikia sababu zina mwonekano tofauti sana,

Tuliingia kwenye jumba moja kubwa na lakifahari, lilikuwa kama jengo la kifalme kisha Salha akanishika mkono hadi mule ndani, ndani ya lile jumba la kifahari walikuwemo watu wengi na wasichana wazuri kuliko hata Salha, nilianza kushangaa lakini sielewi napelekwa wapi, tukafika hadi kwa viongozi wa lile jumba, Salha akaniambia hawa ndio wazazi wangu, nikawasalimia, wakaitikia vizuri tu, wakati bado nimeduwaa nikisubiri kinachofuata, alisogea mtu mmoja na kuja kunikata katika paji langu la uso damu ikatoka yule mtu alipangusa damu yangu na kuilamba kisha akaipikicha katika mikono yake, alipoipikicha akawaambia wale viongozi wa lile eneo kwamba ndio ni yeye, lakini mimi nikawa sielewi ni yeye kivipi,

Badae yule mzazi wa Salha ambaye ndio kiongozi mkubwa wa pale, alisimama na kusema (tumepata mgeni mpya naamini tutafurahia uwepo wake) mimi nikawa nashangaa mgeni kivipi maana nikakaribishwa kwa heshima kubwa, yule kiongozi wao akasema kwamba huyu ndio mchumba wa binti yangu, watu wote waliokuwepo pale walishangilia kwa furaha, Salha akaniambia usishangae ndio umeshatambulishwa hivyo. badae nikachukuliwa na kupelekwa kwenda kuogeshwa, wale walionichukuwa walikuwa ni wasichana wote,waliponifikisha sehemu ya kuogea walianza kunivulisha nguo zangu zote huku Salha akiwa amesimama pembeni ananiangalia, nikawaambia niacheni nitavua na kuoga mwenyewe, Salha akaniambia usiogope hivi ndivyo wanavyopokelewa wageni, Dah! sikuwa na chakufanya,

Nikaogeshwa na kuvalishwa nguo zingine tofauti na zile nilizokuwa nimevaa, baada hapo tulikaa meza moja na Salha pamoja na wazazi wake, tukala baada ya kumaliza kula Salha akanichukua na kuniingiza kwenye chumba kimoja kikubwa na hakina kitu chochote, Salha akaniambia kwanini una nguvu na hutaki kuzitumia nikamuuliza nguvu kivipi, Salha alinyoosha mkono wake kisha akatoa kitu chenye mwanga mkali na kina mfano wa pete, Salha akaniambia usiogope, alishika kidole cha mkono wangu wa kulia kisha akanivalisha ile pete katika kidole changu cha mwisho,kile kidogo kuliko vyote, ile pete ilianaza kuingia ndani ya kidole changu, lakini kwa maumivu makali, ile pete ilianaza kuzunguka kwenye kidole changu, maumivu yalikuwa ni makali, ile pete ilizunguka ndani ya mwili wangu wote tena kwa maumivu makali sana, nilikuwa napiga kelele lakini Salha yupo kimya, baada ya muda maumivu yakaisha na ile pete, ilitoka kwenye kidole changu na kuanguka chini, Salha alionekana kushangaa,

Salha alitoka na kwenda kuwaita wazazi wake, wazazi wake wakaja kwenye kile chumba na kukuta ile pete bado ipo chini...

Itaendelea...✍🏻

~Daudi~
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Siri Ya Mvuvi Na Bahari akaniambia kwamba ukimuona Riziki mwambie awahi hospitali kuja kumuona mama yake... Inaendelea... Sehemu Ya 06



Sasa nikaona hapa mambo yatakuwa magumu kama zitapita siku tatu Riziki hajaonekana inamaana kwamba kesi itaniangukia, siku inayofuata yule ndugu yake na Riziki alikuja mpaka nyumbani kwetu, nikamwambia Riziki aliondoka na Goma yule kiongozi wetu wa kazi na walienda kununua nyavu mjini kwahiyo bado hawajarudi lakini wakirudi nitamwambia na atakuja huko nyumbani, ikabidi nimdanganye namna hiyo, yule ndugu wa Riziki alipoondoka mama akaniulia kwani Riziki mara ya mwisho ulimuacha wapi? nikamwambia mama kwamba Riziki waliondoka na mkubwa wetu wa kazi kwenda kununua nyavu kwahiyo bado hawajarudi, mama akaniambia wewe sema nyavu maana nasikia huko baharini watu wanazidi kupotea,

Badae nikaenda...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/siri-ya-mvuvi-na-bahari-akaniambia-kwamba-ukimuona-riziki-mwambie-awahi-hospitali-kuja-kumuona-mama-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi siri-ya-mvuvi-na-bahari-akaniambia-kwamba-ukimuona-riziki-mwambie-awahi-hospitali-kuja-kumuona-mama-
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

542
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

477
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

438
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

356
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

166
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

150
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

86
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

86
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

76

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest