Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
Gonga94 Β· Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"We unataka kunius?"

Nikamuuliza "Kwani unamaanisha nini?"

"Hivi chakula gani kile ulichopika? Unataka tule tufe? Una akili kweli wewe?'

Nikajibu kwa upole, "Lakini nilijaribu kadri ya uwezo wangu. Ukweli... Sijui kupika"

Elton akashangaa "nini? We hujui kupika? Msichana mzima. kama wewe? Kazi yako ni kutapeli watu na

kuongea ovyo, lakini hata chakula rahisi hujui kupika? Kwanza uliniharibia nguo zangu, pili ukaharibu kahawa yangu, tatu ukaharibu chakula chetu, then umenivunjia wine yangu ya bel Unadhani nitaendelea kuvumilia mpaka lini?"

Alipiga meza kwa hasira kidogo akaendelea

kusema, "Mimi nimechoka. Nitakurudisha selo. Sitaki tena kukulipia hilo deni lako. Mkataba wote tuliokuwa nao, umeisha, Leo nakurudisha kituo cha polisi

Weeeh Niliposikia hivyo nusu nizimie

Nikagundua nimeharibu kweli. Nikaanza kumuomba msamaha, nikipiga magoti kabisa, lakini hakuongea kitu. Alichukua furiguo za gari, akamchukua Elijah wakatoka wote wawili

Walikwenda kula nje kwa sababu chakula nilichopika hakifai kuliwa. Walifika kwenye mgahawa mmoja, wakaagiza chakula. Elton bado alikuwa na hasira hakutulia kabisa. Elijah akamuuliza

"Bro, sasa niambie ukweli. Kuna nini kati yako na yule demu?"

Elton akaanza kumueleza kila kitu kuanzia siku tulivyokutana mpaka yote yaliyotokea. Alipomaliza, Elijah alianza kucheka vibaya mpaka Elton akammaindi

"unacheka? Hii si kitu ya kucheka"

"Yaani bro, demu alikuambia una kibamia eeh! Aiseee amekua na ujasiri wa kukwambia hivyo? Kawaida watu wote wanakuogopa

"Muulize nilichomfanya! Nilimikuna mpaka akaomba majiΕ‚ Yani kila nikimuona lle kauli yake. ya kusema nina kibamia inanicheza kichwani.

Lengo langu ni kumyoosha mpaka anyooke lla kwa sasa nimechoka, bora nimrudishe nilipomtos

"Aaah bro, achana nayo bwana. Msamehe tu Unaona kabisa hajui hata mambo ya kawaida kama kupika. Sidhani kama anajua chochote yulee

"Kama hajui kupika nifanyeje? Unataka mimi nile nje kila siku? Hapana. Wakati mwingine nataka chakula cha nyumbani alilalamika Elton

"Basi urnfundishe"

Elton akacheka kidogo, "Sina muda wa kufundisha mtu. Kila siku niko kazini. Nikirudi

nyumbani nataka nipate chakula nishibe niende. kulala. Ndo sababu nyingine iliyo fanya nimchukue kama house girl"

"Acha uongo bwana. Hukumchukua kwa ajili ya kazi ya nyumbani peke yake. Ulitaka kumkomoa tu kwa maneno allyokuambia"

Elton akakubali, "Ndio, nilitaka kumlipiza kisasi -na nimeshafanya hivyo

"Basi kama umemlipizia, mpe nafasi nyingine. Na mimi nadhani huyo demu siyo tapeli. Angalia

mavazi yake, yanaonekana ya bel. Pia vile anavyoongea, ana sauti ya mtu aliyelelewa vizuri. Sidhani kama anatoka familia duni

"Usidanganywe na sura yake. Wanaigiza mpaka

unaamini Kama kweli anatoka familia nzuri, unadhani kwanini walimuacha selo bila kumtoa?

Alisema hana mtu wa kumlipia dhamana, ndiyo nikamsaidia. Bro usiruhusu akuingie kichwani

Elijah akasema "Sawa bro"

Wakati huo huo waiter akawaletea chakula. Wakala na kubaki huko hadi jioni.

Upande wangu mimi, nilikuwa nangoja warudi Nilihitaji kumuomba Elton asinirudishe selo. Nyumba yake ilikuwa bora mara elfu kuliko selo yenye mbu, sakafu chafu na harufu mbaya. Sikutaka kurudi kabisa.

Niliendelea kusubiri, hadi usiku wa manane niliposikia honi ya gari. Mlinzi akafungua geti,

Elton akaingia na gari lake. Kabla hata hajashuka nilikuwa kwenye mlango, nikapiga magoti, nikiomba msamaha. Lakini hakusema kitu, Alishuka kimya kimya, akaingia ndani

Elijah akaniangalia akasema kwa upole, "Haupaswi kupiga magoti. Hujafanya kubwa mbona

"Lazima nimwombe msamaha asinirudishe kituo cha polisi

Elijah akatabasamu kidogo, "Sidhani kama atakurudisha. We jitahidi tu kufanya mambo

vizuri Usijali

"Najaribu lakini kila nikifanya kitu naishia kuharibu tu. Na pia Sijui mambo mengi

"Usijali, nitakusaidia. Cha muhimu sasa, nenda ulale. Kesho anza upya"

"Asante sana"

"Ginah

Akauliza "Jina lako nani maana Elton anakuita tapeli?"

"Mimi ni Elijah. So Tutaonana kesho, byeee" Akaingia zake ndani na Nilirudi kwenye store nikalala Kabla sijalala, nikaweka alarm asubuhi niamke mapema.

Asubuhi sasa Nikaamka nikaaanza kusafisha nyumba. Wakati niko jikoni nikianza kuandaa kahawa ya Elton, Elijah alikuja

"Good morning Gina

Nikajibu "morning Elijah"

"Unapika nini?"

"Ninatengeneza black coffee ya Elton. Hawezi kuanza siku bila kunywa kahawa

"Lakini unajua kuipika vizuri?"

Nikashusha macho nikasema "Hapana, sijui"

"Sawa, siyo vibaya. Nitakufundisha

Nikashangaa, "Kweli?"

"Ndio"

Kwell Akanifundisha hatua kwa hatua. Nikafuata maelekezo yake. Mwishoni kahawa ikatoka bomba sanal Nilifurahi mpaka nikatamani kulla

"Sasa chukua hil kahawa, mpelekee Elton. Hapo

ndipo njia pekee ya kumuomba msamaha. Labda atakusamehe okay?" Alinammbia

Nikasema "Sawa"

Nikapeleka kahawa mezani nikisubiri Elton aje

kunywa. Baada ya mda Elton akaja, akaiona kahawa lakini hakuonyesha kama ana nia ya kunywa. Nikamwambia kwa upole

"Nimetengeneza kahawa yako"

"Naiona. Umeweka sukari tena? Au umeweka sumu ili ikolee vizuri??"

"Hapana, leo nimejitahidi kweli. Please jaribu

Elton alinyamaza kwa muda, akaangalia kile kikombe, akakinyanyua, akanywa kidogo. nikaona macho yake yamebadilikal Kahawal ilikuwa perfect kabisa

Akanitazama kisha akasema "Good job" Kisha akaondoka zake.

Kwa mara ya kwanza tangu tumefahamiana, Elton aliniambia neno zuri. Nilifurahi vibaya mno mpaka nika blush wapendwa

Je nini kitaendelea?

Nakuja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira



"We unataka kunius?"

Nikamuuliza "Kwani unamaanisha nini?"

"Hivi chakula gani kile ulichopika? Unataka tule tufe? Una akili kweli wewe?'

Nikajibu kwa upole, "Lakini nilijaribu kadri ya uwezo wangu. Ukweli... Sijui kupika"

Elton akashangaa "nini? We hujui kupika? Msichana mzima. kama wewe? Kazi yako ni kutapeli watu na

kuongea ovyo, lakini hata chakula rahisi hujui kupika? Kwanza uliniharibia nguo zangu, pili ukaharibu kahawa yangu, tatu ukaharibu chakula chetu, then umenivunjia wine yangu ya bel Unadhani nitaendelea kuvumilia mpaka lini?"

Alipiga meza kwa hasira kidogo akaendelea

kusema, "Mimi nimechoka. Nitakurudisha selo. Sitaki tena kukulipia hilo deni lako. Mkataba wote tuliokuwa nao, umeisha, Leo nakurudisha kituo cha polisi

Weeeh Niliposikia hivyo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-chapter-9-elton-alikuja-jikoni-pale-nilipokuwa-nimekaa-akanikamata-mkono-wang

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending πŸ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba-chapter
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

395
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

254
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

173
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

105
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

8

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.92K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.88K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe β€œBoss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu β€œsitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema β€œkamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice β€œkusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏑. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani β€œniondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest