Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

Sophia (Urvashi Sharma)  binti anayeendesha maisha yake Goa
Gonga94 ยท Stories

Sophia (Urvashi Sharma) binti anayeendesha maisha yake Goa

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Sophia (Urvashi Sharma) binti anayeendesha maisha yake Goa alifuatiliwa na kushambuliwa na mbakaji aliyeitwa Rakesh. Baadaye anaamua kuhamisha makazi yake Dubai anapanga nyumba ya tajiri aliyeitwa Karan Oberoi (Bobby Deol). Miezi sita baadaye Karan anafikisha ombi la kutaka kumuoa na binti analikubali.

Muda mfupi kabla ya ndoa Sophia anakutana na mwigizaji anayejitafuta anayeitwa Vikram 'Vicky' Malhotra (Akshay Khanna) anavutiwa naye sana ila anaamua kuendelea na mpango wake wa ndoa. ila alikuja kubadilika akiwa madhabauni alipoamua kumkataa Karan na kumdhalilisha vibaya kisha akaenda zake kwa Vicky. Jambo lile lilipelekea Karan kuumia na kuchukua uamuzi wa kujiua.

Sophia alipokuja kujua alijuta sana na alijiona wazi yeye ndiyo chanzo cha kifo chake. Baadaye inakuja kujulikana Vicky ndiyo chanzo, Alipewa nafasi na mwongoza filamu aliyeitwa Rohit Shroff, akitakiwa kuigiza filamu ya kuhusu maisha yake. Akatakiwa aingie kwenye maisha ya Sophia. Binti aliwaka sana na kumwambia ampigie huyo Rohit aje hapo muda huo, naye akatii na kumpigia kumwita. Bwana wee Rohit anawasili hapo na inajulikana kumbe yule Karan ni Rohit na hakufa.

Inakuja kujulikana kumbe Karan au Rohit alitaka kupiga pesa akaamua kutengeneza filamh kuhusu maisha ya Sophia na akamwajiri Vicky aingie kwenye maisha yake wawe wapenzi. Baadaye akaja kuunda tukio feki la kifo chake likiwa ni sehemu ya filamu na si kweli.

Kibaya zaidi Sophia kuna siku alipewa karatasi asaini akajua nu mambo yao ya ndoa, kumbe alisainishwa mkataba wa filamh hawezi kushtaki kwani kuna saini yake. Humo ndani walipoishi aliwafungia kamera, karekodi kila kitu wakibanjuka. Akawatishia watulie kama hawataki video zao zivuje mitandaoni wawe mastaa wa filamu ya ngono. Wakaishia kuwa wapole waache filamu itoke.

Miezi mitatu baadaye filamu ikazinduliwa, Karan alipanga siku hiyo ya uzinduzi kuwepo na tukio bandia la yeye kupigwa risasi kuongeza mvuto zaidi. Basi watu wawili katika kundi la utayarishaji wakaamua kuwajaza upepo Vicky na Sophia wasikubali aliwatumia. Wakachukua bastola zilizoandaliwa kwa ajili ya tukio wakamtungua Karan.

Kumbe bunduki zina risasi halisi si bandia Karan akaumizwa vibaya na baadaye alijeruhiwa vibaya akapelekwa hospitali. Janga lote likawa kwa watayarishaji tukio lile, huku Vicky akiachiwa kuonekana hana kosa lolote. Akaenda hospitali alipopelekwa Karana akamkuta Sophia ambaye alimpa habari ya kufariki Karan.

Kumbe aliyebadilisha zile bastola kusudi ni Sophia na mpango waliufanya na Karan, ushahidi ukawaangukia wale ambao walichochoea wakafungwa. Sophia akachukua mali za Karan, Vicky akawa mwigizaji maarufu kwani hiyo filamu iliweka rekodi yake sokoni..

Ni NAQAAB yaani KINYAGO, Bobby alipoamua kufanya mchezo mchafu maisha ya watu. Matokeo filamu iliuza na hakunufaika na chochote.

#Mambosreview
Tangazo - Kazi ya jela ilinifanya niwe malaya full story ni Tamu balaaah
Kazi ya jela ilinifanya niwe malaya full story ni Tamu balaaah
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Sophia (Urvashi Sharma) binti anayeendesha maisha yake Goa

Sophia (Urvashi Sharma) binti anayeendesha maisha yake Goa alifuatiliwa na kushambuliwa na mbakaji aliyeitwa Rakesh. Baadaye anaamua kuhamisha makazi yake Dubai anapanga nyumba ya tajiri aliyeitwa Karan Oberoi (Bobby Deol). Miezi sita baadaye Karan anafikisha ombi la kutaka kumuoa na binti analikubali.

Muda mfupi kabla ya ndoa Sophia anakutana na mwigizaji anayejitafuta anayeitwa Vikram 'Vicky' Malhotra (Akshay Khanna) anavutiwa naye sana ila anaamua kuendelea na mpango wake wa ndoa. ila alikuja kubadilika akiwa madhabauni alipoamua kumkataa Karan na kumdhalilisha vibaya kisha akaenda zake kwa Vicky. Jambo lile lilipelekea Karan kuumia na kuchukua uamuzi wa kujiua. ...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sophia-urvashi-sharma-binti-anayeendesha-maisha-yake-goa

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sophia-urvashi-sharma-binti-anayeendesha-maisha-yake-goa
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest