Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina nae ndo alikuwa anaingia darasani kwa bahati mbaya wale walimu wakamuona na kumsimamisha kabla hata hajaingia darasan ,
" Sasa mwalimu huyu si yule yule "
Aliongea mwalimu mmoja baada ya kumwangalia Celina ,
"Sio yule jamani naombeni mniamini huyu amekuja sasa hivi ,"
Yule mwalimu alijitetea lakini walimu wenzake wakampinga ,
Ikabidi walimu warudi tu ofisin huku wengine wakilaumu kuwa wamepoteza muda kwa vitu vya kijinga ,
Celina nae akaingia darasani huku akiwaza itakuwa Celena amekuja huku shule na akaingia darasani bila watu kujua ,alijiuliza sana kwanini wanapishana na huyo Celena ,

Celena nae alifika mpaka shuleni kwao akizani atamuona Celina maana alijua atakuwa amekimbilia huku , lakini hakumuona ,
'"eti mercy umemuona msichana amefanana na mimi hapa shuleni ,"?
Celena alimuuliza mwanafunzi mmoja wanaokaa dawati moja ,
" Kwahiyo sasa hivi ndo umeamua uongee ,yaani tokea asubuhi umekaa kimya unajifanya uko bize na masomo ,"
Yule mwanafunzi aitwae Mercy alimjibu Celena ,
" Mi asubuhi sikuwepo jamani "
Celena aliongea kwa msisitizo,
"We hebu acha mambo yako ,hukuwepo wakati umenipa pensel na ukanicholea mchoro wa geography , hebu achana na mimi kwanza unanichosha "
Aliongea yule mwanafunz na kuondoka zake,
Celena aliingia darasan nakujiinamia akaanza kulia , maana alikuwa anamtaka huyo mtoto waliefanana ili amuone na kwanini wafanane ,?

Mwalimu aliingia darasani akamuona Celena analia na akamuuliza kwann unalia ,lakin Celena hakujibu aliendelea kulia tu,

"Celena hebu njoo ofisini ,,""
Yule mwalimu alimwita Celena ofisini , Celena akanyanyuka na kwenda ofisin huku akiwa bado analia ,
Celena aliulizwa na walimu wote huku wanam bembeleza aseme kinachomliza lakini Celena hakusema kitu ,ikabidi walimu wampigie Mr Benson barozi ,aje maana ile hali ya Celina kulia wakapata wasi wasi ,
Mr Benson alikuwa kazini ikabidi ampigie mkewe ampe maelezo aende shule kuna shida kwa mtoto wao, japo mama yake Celena alikuwa anaumwa na ni ndio alikuwa anatoka anatoka hospitali lakini alipoambiwa mtoto wao anatatizo aliwasha gari fasta nakwenda shuleni ,
Alipofika aliingia ofisini huku akiwa na wasi wasi na mtoto wake ,
"Mwanangu unanini ,,"?
Mama celena alimuuliza Celena ,

Sasa kipindi mama Celena anamuuliza Celena bila kujua kinachomliza Celena,
,mwalimu mmoja alikuwa anasahihisha madaftari na daftari la Celina lilikuwepo maana kabla hajaondoka kurudi kule kwenye shule yake aliandika na akakusanya daftar ,
Sasa katikati ya daftari akakuta picha ,
Picha hiyo Celina aliiba kule kwa kina Celena ,

"Na hii picha ni yanani,,""
Mwalimu aliuliza huku akiiangalia vzr ,
" Hebu nione ""!
Mama Celena aliongea huku akinyoosha mkono na mwalimu akampa ile picha,
Mama celena kuiona tu ile picha moyo ukafanya PAAAH,,,!
,"" CELINA,," mama Celena alijisemea kimoyomoyo,
" Hii picha mi si nilishazichanaga ,,"
Mama Celena aliwaza huku akiishika vzr ile picha ,
Mama Celina alikumbuka mbali sana ,
Alikumbuka maisha yake ya zamani sana kipindi yupo kijijini alikuja mama mmoja anatafuta mfanyakazi wa ndani ,
Yeye akapata bahati hiyo ,akaja kufanya kazi kwenye bonge la jumba la barozi Mr Benson ,
Kipindi hicho alikuwa bado mshamba mshamba ,
Kipindi hicho anaitwa Maria ,
Maria alikuwa mchapakazi haswa kiasi kwamba mpaka mke wa barozi alimpenda ,Maria aliishi ndani ya jumba hilo sio tu mfanyakazi bali alikuwa kama ndugu ,
Kama unavyojua wanaume huwa dhaifu sana kwa wanawake , Mr Benson au barozi akatamani kutembea na Maria yaani mfanyakazi wake wa ndani ,
Mke wa Mr Benson alikuwa mpole sana na alimfanya Maria kama mdogo wake ,alimpa chochote anachohitaji bila kujua mumewe tayari ameshaanza kumtamani mfanyakazi huyo yaani Maria ,
Mahusiano ya Maria na Mr Benson yalikuwa ya Siri sana na mke wa Mr Benson hakujua chochote ,
Penzi likanoga Maria akaanza dharau kwa mke wa Mr Benson ,

"Mama Celena vipi mbona umeduwaa ,,"??
Mwalimu alimshtua mama Celena kutoka kwenye yale mawazo ,
"" Aah hapana ni mawazo tu unajua bado naumwa , " alizuga mama Celena ,
Nahili daftari mbona Kama sio la Celena, maana limeandikwa Celina Mathias, "
Aliongea mwalimu huku akilikagua vzr lile daftari,
" Hebu nilione "
Aliongea mama yake Celena huku akilikagua , daftari Hilo japo lilikuwa rafu rafu lakin mwandiko wake ulikuwa hauna utofauti na Celena , mama Celena akashangaa ,
" Hebu Celena Lete daftari lako , " alisema mwalimu ,
Celena akatoa , lilikuwa daftari safi lakin mwandiko wake unafanana na daftari lile la mwanzo ,
" Mmh sasa hili daftari la nani ,"?
Mwalimu aliwaza ,
Mama Celena yeye hakuwa na mawazo ya madaftri yeye aliwaza tu Je ile picha ya MKE wa Mr Benson imefikaje pale kwenye daftari,

Picha aliyoishika mama Celena ni picha ya mke wa Mr Benson ,na Celina aliiba kule kwa kina Celena ili apate uhakika Je ile picha ni ya mama yake kweli ,"? Maana yule kwenye ile picha kafanana kabisa na mama yake japo mama yake kwa sasa ni kichaa , na kama ni yeye Je ile picha imefikaje kule kwenye lile jumba la kina Celena , na kama niyeye basi mama yake hakuzaliwa kichaa ukichaa aliupata ukubwani , sasa ilikuwaje akapata ukichaa hapo ndo pagumu ,

Inamaana mke wa kwanza wa Mr Benson ni yule kichaa ,ambae aliemukotayule mtoto Celina ,na ndo anaitwa Celina ,na kutokana na ukichaa wake akawa anamuita mtoto aliemuokota jina lakwake yaani Celina, Kama hujaelewa rudi kasome kipande Cha pili ,

Na Mr Benson alipompata mtoto akamwita Celena,yaani jina linalofanana na la mkewe wa kwanza ,ambae ndo yule mama kichaa, na ukumbuke mama Celena hajui Kama mtoto wake alinunuliwa na mumewe kule hospital, ye anajua huyo Celena ni mwanawe kabisa wa kumzaa , na hajui Kama wapo mapacha,

Sasa imekuwaje mke wa Mr Benson amekuwa kichaa,,?? Hapo ndipo story inapoanza ,

Story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu, 0655772653 njoo whtsap, kumbuka ukinunua story hii unapata na story ya PANYA buree,,,

Itaendelea
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

679
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

289
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

288
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

241
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

135
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

49
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

20

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest