Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina nae ndo alikuwa anaingia darasani kwa bahati mbaya wale walimu wakamuona na kumsimamisha kabla hata hajaingia darasan ,
" Sasa mwalimu huyu si yule yule "
Aliongea mwalimu mmoja baada ya kumwangalia Celina ,
"Sio yule jamani naombeni mniamini huyu amekuja sasa hivi ,"
Yule mwalimu alijitetea lakini walimu wenzake wakampinga ,
Ikabidi walimu warudi tu ofisin huku wengine wakilaumu kuwa wamepoteza muda kwa vitu vya kijinga ,
Celina nae akaingia darasani huku akiwaza itakuwa Celena amekuja huku shule na akaingia darasani bila watu kujua ,alijiuliza sana kwanini wanapishana na huyo Celena ,

Celena nae alifika mpaka shuleni kwao akizani atamuona Celina maana alijua atakuwa amekimbilia huku , lakini hakumuona ,
'"eti mercy umemuona msichana amefanana na mimi hapa shuleni ,"?
Celena alimuuliza mwanafunzi mmoja wanaokaa dawati moja ,
" Kwahiyo sasa hivi ndo umeamua uongee ,yaani tokea asubuhi umekaa kimya unajifanya uko bize na masomo ,"
Yule mwanafunzi aitwae Mercy alimjibu Celena ,
" Mi asubuhi sikuwepo jamani "
Celena aliongea kwa msisitizo,
"We hebu acha mambo yako ,hukuwepo wakati umenipa pensel na ukanicholea mchoro wa geography , hebu achana na mimi kwanza unanichosha "
Aliongea yule mwanafunz na kuondoka zake,
Celena aliingia darasan nakujiinamia akaanza kulia , maana alikuwa anamtaka huyo mtoto waliefanana ili amuone na kwanini wafanane ,?

Mwalimu aliingia darasani akamuona Celena analia na akamuuliza kwann unalia ,lakin Celena hakujibu aliendelea kulia tu,

"Celena hebu njoo ofisini ,,""
Yule mwalimu alimwita Celena ofisini , Celena akanyanyuka na kwenda ofisin huku akiwa bado analia ,
Celena aliulizwa na walimu wote huku wanam bembeleza aseme kinachomliza lakini Celena hakusema kitu ,ikabidi walimu wampigie Mr Benson barozi ,aje maana ile hali ya Celina kulia wakapata wasi wasi ,
Mr Benson alikuwa kazini ikabidi ampigie mkewe ampe maelezo aende shule kuna shida kwa mtoto wao, japo mama yake Celena alikuwa anaumwa na ni ndio alikuwa anatoka anatoka hospitali lakini alipoambiwa mtoto wao anatatizo aliwasha gari fasta nakwenda shuleni ,
Alipofika aliingia ofisini huku akiwa na wasi wasi na mtoto wake ,
"Mwanangu unanini ,,"?
Mama celena alimuuliza Celena ,

Sasa kipindi mama Celena anamuuliza Celena bila kujua kinachomliza Celena,
,mwalimu mmoja alikuwa anasahihisha madaftari na daftari la Celina lilikuwepo maana kabla hajaondoka kurudi kule kwenye shule yake aliandika na akakusanya daftar ,
Sasa katikati ya daftari akakuta picha ,
Picha hiyo Celina aliiba kule kwa kina Celena ,

"Na hii picha ni yanani,,""
Mwalimu aliuliza huku akiiangalia vzr ,
" Hebu nione ""!
Mama Celena aliongea huku akinyoosha mkono na mwalimu akampa ile picha,
Mama celena kuiona tu ile picha moyo ukafanya PAAAH,,,!
,"" CELINA,," mama Celena alijisemea kimoyomoyo,
" Hii picha mi si nilishazichanaga ,,"
Mama Celena aliwaza huku akiishika vzr ile picha ,
Mama Celina alikumbuka mbali sana ,
Alikumbuka maisha yake ya zamani sana kipindi yupo kijijini alikuja mama mmoja anatafuta mfanyakazi wa ndani ,
Yeye akapata bahati hiyo ,akaja kufanya kazi kwenye bonge la jumba la barozi Mr Benson ,
Kipindi hicho alikuwa bado mshamba mshamba ,
Kipindi hicho anaitwa Maria ,
Maria alikuwa mchapakazi haswa kiasi kwamba mpaka mke wa barozi alimpenda ,Maria aliishi ndani ya jumba hilo sio tu mfanyakazi bali alikuwa kama ndugu ,
Kama unavyojua wanaume huwa dhaifu sana kwa wanawake , Mr Benson au barozi akatamani kutembea na Maria yaani mfanyakazi wake wa ndani ,
Mke wa Mr Benson alikuwa mpole sana na alimfanya Maria kama mdogo wake ,alimpa chochote anachohitaji bila kujua mumewe tayari ameshaanza kumtamani mfanyakazi huyo yaani Maria ,
Mahusiano ya Maria na Mr Benson yalikuwa ya Siri sana na mke wa Mr Benson hakujua chochote ,
Penzi likanoga Maria akaanza dharau kwa mke wa Mr Benson ,

"Mama Celena vipi mbona umeduwaa ,,"??
Mwalimu alimshtua mama Celena kutoka kwenye yale mawazo ,
"" Aah hapana ni mawazo tu unajua bado naumwa , " alizuga mama Celena ,
Nahili daftari mbona Kama sio la Celena, maana limeandikwa Celina Mathias, "
Aliongea mwalimu huku akilikagua vzr lile daftari,
" Hebu nilione "
Aliongea mama yake Celena huku akilikagua , daftari Hilo japo lilikuwa rafu rafu lakin mwandiko wake ulikuwa hauna utofauti na Celena , mama Celena akashangaa ,
" Hebu Celena Lete daftari lako , " alisema mwalimu ,
Celena akatoa , lilikuwa daftari safi lakin mwandiko wake unafanana na daftari lile la mwanzo ,
" Mmh sasa hili daftari la nani ,"?
Mwalimu aliwaza ,
Mama Celena yeye hakuwa na mawazo ya madaftri yeye aliwaza tu Je ile picha ya MKE wa Mr Benson imefikaje pale kwenye daftari,

Picha aliyoishika mama Celena ni picha ya mke wa Mr Benson ,na Celina aliiba kule kwa kina Celena ili apate uhakika Je ile picha ni ya mama yake kweli ,"? Maana yule kwenye ile picha kafanana kabisa na mama yake japo mama yake kwa sasa ni kichaa , na kama ni yeye Je ile picha imefikaje kule kwenye lile jumba la kina Celena , na kama niyeye basi mama yake hakuzaliwa kichaa ukichaa aliupata ukubwani , sasa ilikuwaje akapata ukichaa hapo ndo pagumu ,

Inamaana mke wa kwanza wa Mr Benson ni yule kichaa ,ambae aliemukotayule mtoto Celina ,na ndo anaitwa Celina ,na kutokana na ukichaa wake akawa anamuita mtoto aliemuokota jina lakwake yaani Celina, Kama hujaelewa rudi kasome kipande Cha pili ,

Na Mr Benson alipompata mtoto akamwita Celena,yaani jina linalofanana na la mkewe wa kwanza ,ambae ndo yule mama kichaa, na ukumbuke mama Celena hajui Kama mtoto wake alinunuliwa na mumewe kule hospital, ye anajua huyo Celena ni mwanawe kabisa wa kumzaa , na hajui Kama wapo mapacha,

Sasa imekuwaje mke wa Mr Benson amekuwa kichaa,,?? Hapo ndipo story inapoanza ,

Story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elf moja tu, 0655772653 njoo whtsap, kumbuka ukinunua story hii unapata na story ya PANYA buree,,,

Itaendelea
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9

WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,,. 9

"Amepitia huku ,"
Mwalimu mmoja aliwaambia walimu wenzake wakati wanamkimbiza Celena ,
Wanafunzi waliwashangaa walimu wao jinsi wanavyokimbizana nyuma ya shule ,
Celena alizunguuka nyuma ya choo cha wanawake lakini hakumuona huyo Celina akawaza haraka akajua kwa vyovyote Celina atakuwa amekwenda kule shuleni kwao kwa sababu alishaendaga na akafanya mtihani ,haraka akazunguuka nyuma ya shule na akaingia darasani kwao na kuchukua begi lake na kutimua mbio , wanafunzi wenzake walimcheka tu bila kuelewa Celena anajambo lake kichwani , na ukumbuke hapo wapo darasa la Tano ,
Wakati Celena anatokomea zake kuelekea shuleni Celina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

748
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

717
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

384
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

322
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

253
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

238
MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

177
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

147
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

144
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

105

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest