Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAH SHEMEJI ... ACHAAA ! SEHEMU YA KWANZA (1__2 )
Gonga94 · Stories

AAH SHEMEJI ... ACHAAA ! SEHEMU YA KWANZA (1__2 )

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
AAH SHEMEJI ... ACHAAA !
SEHEMU YA KWANZA (1__2 )

AISHA alijiona kama mtu mwenye bahati kwa kutongozwa na shemejiye. Aliwaza endapo akimkubalia au asimkubalie kwa kuona kuwa ni shemeji yake. Alifikiria sana juu ya utajiri wa shemeji yake na hali aliyonayo yeye .

“Endapo nikikubali dada akigundua itakuwaje?” aah!! Lakini si amenitongoza mwenyewe,siwezi kupiga teke fuko la pesa… Potelea mbali.”

Siku iliyofuata Aisha alikutana na rafiki yake aliyeitwa Anita. Aisha alimsimulia Anita kuhusu shemejiye.

“Shoga basi ngoja nikupe mkanda”.

“Hapo ndipo ninapokupendea tukikutana baraza huchangamka kwa stori, haya shoga hebu nipe huo mkanda”.

“Jana usiku wakati tunakula,dada aliwahi kushiba akaenda zake kulala, sebuleni tukabaki mimi na shemeji tukipata dinna. Basi shoga’angu shemeji si nd’o akaanza… Ooh Aisha unajua wewe mzuri sana kuliko hata dada’ko mi nikabaki kucheka tu. Dakika chache zikapita mara akaanza tena… Aisha najua wewe ni mtu mzima unayeweza kutunza siri,mi nataka we uwe mpenzi wangu lakini dada’ko asijue. Shoga nlishtuka kwani sikutegemea hata sikumoja kama shemeji atakuja kunitamkia maneno kama yale, ukizingatia jinsi ninavyomheshimu.”

“Heehee shuntu babuu ….. Aaa babu wee heshima hiyo kwani baba’ko mzazi yule.” Anita alidakia, wote kwa pamoja waliangua vicheko vya umbea.

“Sasa sikiliza shoga yangu nikwambie maisha ndo hayo yanaanza kukunyookea ukizingatia shemejiyo alivyo na utajiri,kuuacha ni sawa na kukataa kuolewa na mfalme ili uje kuwa malkia”.

“Kwa hiyo ndo unaniambiaje?”

“ Hee bibi ee tulia mbona una haraka kama mkojo wa asubuhi,utakukurupua kitandani utake usitake,usiombe ukakuta chooni kuna mtu utaisoma, utarukaruka kama umepewa adhabu na mwalimu. Kama kakuanza mwenyewe basi kamaindi figa huyo.

Vibaya kama umemuanza wewe au umemtega? Maana na sisi wanawake hatujambo.Ukimpenda mwanamume utamfanyia kila visa hadi ataingia laini mara urembue macho,mara umvalie khanga moja na hiyo mikalio yako shoga kama umemfanya hivyo mwanamume wa watu utamuua.”

“ Acha utani Anita”

“Basi ndo hivyo shoga’angu.”

“Mimi jana nilimwambia angoje nifikirie maana niliishiwa pozi, nkashindwa hata kuongea. Taratibu nlielekea chumbani kwangu na kuanza kufikiria. Mpaka leo asubuhi sikupata jibu, nlijumlisha na kutoa lakini jibu halikupatikana. Lakini sasa nimepata jibu zuri nd’o ma’na nakupenda hapo hapakosi jibu la uhakika,ama kweli we ndo jembe langu”.

“Aisha”

“Abee” Aisha aliitika na mazungumzo yao yalikatishwa na wito ule, hivyo kila mmoja alielekea kwao.

”Kachukue pesa juu ya meza wende sokoni.Unataka kumpikia nini leo shemejio?”

“Mi si ninajua shemeji yangu anapenda wali na samaki, basi nami ntapika hivyo.”

“Haya nenda basi.”Nasra alimsihi Aisha ambaye alikuwa akitoka kuelekea sokoni.

Akiwa njiani Aisha alijawa na mawazo juu ya shemeji yake, alifikiri kama shemeji yake alimpenda kweli au alimtega tuu ili

kupima imani yake.

“Atajijua mwenyewe, mimi leo akiniuliza nitamwambia nimekubali. Kama lengo lake ni kunipima imani yangu basi atapata robo kilo.”

Aliwaza Aisha ambaye tayari alikuwa ameshafika sokoni na kuchukua mahitaji aliyoagizwa.

Kama kawaida yao usiku ulipowadia chakula cha usiku kilikuwa tayari mezani na wote watatu walikutana mezani kwa ajili ya kupata msosi.

“Mume wangu, leo Aisha amesema shemejiye wapenda sana wali kwa samaki ndiyo maana ameamua kukupikia.” Nasra alisema kwa utani bila ya kujua kinachoendelea. Wote walicheka.

“Kumbe ndiyo maana chakula cha leo kitamu. Kumbe hii ni spesho dinna for me?” Bwana Abduli alitabasamu huku akimwangalia

Aisha ambaye yeye alionekana akimwangalia kwa aibu.

Nasra kama ilivyo kawaida yake. Msichana asiyependa kujaza tumbo kisha kushindwa kuvaa bodisuti. Taratibu alivuta birika lililokuwa na maji ya kunawa. Akajimiminia maji,baada ya kuhakikisha kuwa mkono wake umetakata taratibu alinyanyuka na kuelekea chumbani kwake huku akimtakia mdogo wake usiku mwema. Bw. Abduli alionyesha tabasamu huku akimkonyeza Aisha. Dakika kadhaa zilipita kukiwa kimya Bw. Abduli alianza ule utani wake.

“Sa’ Aisha ndo vipi mbona hujanipa jibu langu au nd’o hunipendi?”

“ Hapana shemeji mi mbona nshakubali.”Aisha alijibu kwa kusitasita huku macho yake yakiangalia chini na kidole kimoja kikiwa mdomoni.

AAH SHEMEJI ACHAAA
SEHEMU PILI ( 2)

“Siamini kama uyasemayo ni ya kweli,mbona bado unaniita shemeji badala ya kusema namekubali mpenzi.” Bw. Abduli alisema kwa utani. “Basi nashukuru mpenzi kama umekubali ombi langu naminajiona kama mwenye bahati kumpata msichana mrembo kama wewe.” Bw Abduli alinyanyuka na kumbusu Aisha ili kuonesha kuwa wameshafungua ukurasa mpya wa mapenzi

Kule chumbani Nasra alitandika kitanda kisha akabadili nguo alizokuwa amevaa, alichukua taulo akalivaa kisha akajitupa kitandani, akimsubiri mumewe ili wakaoge. Dakika zalipotea bila Bw. Abduli kutokea. Nasra alijigaragaza kitandani hadi akapitiwa na usingizi. Baada ya dakika kama ishirini hivi Nasra alishtuka toka usingizini nakutupia machosaa iliyokuwa ukutani ambayo ilimtaarifu kuwa ni saa tano usiku lakini hakumwona mumewe.”

Hee! Kula huko kula gani wanakula mawe?” Nasra alijisemea huku akiwa amejawa na hasira. Mara mlango wa chumbani ulifunguliwa taratibu Bw. Abduli aliingia ndani na kuelekea mahali lilipokuwa taulo. Alibadili nguo alizokuwa amevaa na kujifunga taulo kiunoni. Kisha alielekea mahali alipokuwa mkewe na kumshika mikono kisha kumnyanyua taratibu kuelekea bafuni.

Ilikuwa ni siku ya Jumapili ya mwisho wa mwezi, vitu vyote vilikuwa vimeisha ndani.Hakukuwa na unga, mchele, nyanya, vitunguu wala mafuta ya kupikia.

Bw. Abdul alimshauri mkewe kuwa anahitaji kuongozana na Aisha ili wakanunue bidhaa. Nasra hakuwa na kipingamizi kwani hakuelewa lolote juu ya uhusiano wa kimapenzi kati ya Bw. Abdul na shemejiye. (Aisha).

“Aisha!” Sauti ilisikika masikioni mwa Aisha .

“Abee!” Aisha aliitika toka chumbani kwake alijua fika kuwa sauti ile ni ya dada’ke.

Alichukua kanga mbili moja aliipachika kifuani na nyingine kiunoni taratibu akielekea chumbani kwa dada’ke.

“Nenda kajiandae wende sokoni na shemejiyo.”

Baada ya dakika chache Aisha alikuwa tayari ameshajiandaa.Alitoka nje.Mbele yake alikuwa amesimama Bw. Abdul mkononi ameshika funguo za gari.

“Chukua funguo kanisubiri ndani ya gari.”

Wakati Aisha akipokea funguo zile Bw. Abdul alimbinya vidole huku akimkonyeza.

Dakika chache zilipita wakati Bw. Abdul akimuaga mkewe. Kisha alitoka nje na kuelekea mahali alipoegesha gari lake. Taratibu Bw. Abdul aliwasha gari na kuliondoa.

Njiani stori za utani na mapenzi zilitawala.

“Umependeza sana leo.” Bw. Abdul alisema huku akimgusa Aisha sehemu za mapaja.

“Acha utani shemeji.”

“Aaaa!Aisha mambo gani hayo ni lini utaanza kuniita mpenzi au mi sifai kuitwa mpenzi.” Bw. Abdul alitamka huku midomo yake ikichezacheza kwa uchu wa mapenzi .

“Mambo mazuri hayataki haraka nitazoea taratibu.” Aisha alitamka huku macho yake yakiwa yamebadilika rangi na kuwa mekundu.

Wote walishajawa na uchu wa mapenzi. Bw. Abdul aliendelea kumpapasa Aisha sehemu mbalimbali za mwili. Lakini sehemu aliyomvutia zaidi ni matiti,yaliyoumbika vizuri na kujaa kifuani mithili ya kifuu cha nazi. Mapaja yake pia yalikuwa ya namna ya pekee ambayo yangeweza kumvutia mwanamume yeyote ambayeni rijali, yalikuwa manene, meupe na mwororo yasiyokuwa hata na chembe ya doa.

Naye Aisha hakuwa mbumbumbu, akaupenyeza mkono wake hadi sehemu fulani mwilini mwa Abdul na kushika kile alichotaka kukishika. Akamtomasa kwa mapozi, kiganja chake laini kikizidi kumchanganya Abdul na kumwongezea mhemuko. Hakika Bw. Abdul alipagawa sana hadi kufikia hatua ya kutaka kuvunja amri ya sita ndani ya gari.

“Aisha uvumilivu umenishinda mpenzi, tufanye basi hata kidogo,” Abdul alisema kwa tabu, akizidi kumvuta Aisha na kumkumbatia.

Aisha hakuona kuwa ni ustaarabu kufanya mapenzi ndani ya gari hivyo alimshauri shemejiye kuwa wapange siku nyingine ya kufanya maangamizi kunako sita kwa sita.

Kwa kuwa muda ulikuwa umeenda sana hivyo wote walikubaliana kupanga siku nyingine ya kutimiza azma yao.

ITAENDELEA........

Full stori sh 1000
Namba za malipo 0693509945 airtel money jina issa ngolonje
Kuipata full njoo whatsapp no 0656950509

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAH SHEMEJI ... ACHAAA ! SEHEMU YA KWANZA (1__2 )

AAH SHEMEJI ... ACHAAA !
SEHEMU YA KWANZA (1__2 )

AISHA alijiona kama mtu mwenye bahati kwa kutongozwa na shemejiye. Aliwaza endapo akimkubalia au asimkubalie kwa kuona kuwa ni shemeji yake. Alifikiria sana juu ya utajiri wa shemeji yake na hali aliyonayo yeye .

“Endapo nikikubali dada akigundua itakuwaje?” aah!! Lakini si amenitongoza mwenyewe,siwezi kupiga teke fuko la pesa… Potelea mbali.”

Siku iliyofuata Aisha alikutana na rafiki yake aliyeitwa Anita. Aisha alimsimulia Anita kuhusu shemejiye.

“Shoga basi ngoja nikupe mkanda”.

“Hapo ndipo ninapokupendea tukikutana baraza huchangamka kwa stori, haya shoga hebu nipe huo mkanda”.

“Jana usiku wakati tunakula,dada aliwahi kushiba akaenda zake kulala, sebuleni tukabaki mimi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aah-shemeji-achaaa-sehemu-ya-kwanza-1__2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aah-shemeji-achaaa-sehemu-ya-kwanza-1__2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

1.2K
AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

868
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

507
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

416
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

343
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

75
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

60
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽.

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.

2
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

2

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.65K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest