VYOTE NDANI GONGA94
BABAMKWE epsd 16
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nililala hatimae asubuhi kulikucha nikaenda chumbani kwa Natalia kumtizama nilikuta ndio anaandaliwa chakula
Ale ndio aogeshwe kisha tuondoke zetu kazini
Niliondoka nikawacha na dada yake nikaenda mezani kupata breakfast na wanafamilia
Tulipata kifungua kinywa kwa pamoja kisha tulitawanyika
Kila mmoja kwenye majukumu yake nami Natalia alikuwa tayari tukaingia kwenye gari yetu na kuondoka
Hadi hotelini kisha niliwaacha Natalia na dada mlezi wake nikachomoka kidogo
Nilienda kwenye nyumba yangu niliyo pewa zawadi na mzee devi
Nikaifungua na kuikagua kisha nilimpigia sim mama nikaongea nae
Kisha nikaipiga picha hiyo nyumba na baada ya hapo nikamwambia mama nakuja huko huko unishauri
Nikaludi hotelini nikamalizia majukumu yangu ya hapo na muda ulipofika nililudi nyumbani na mtoto na mlezi wake
Tulifika nyumbani nikamwambia dada kwakuwa Natalia alisha oga hotelini hivyo mlishe tuu na baada ya hapo mbembeleze alale sawa
Dada aliitikia sawa haina shida mama
Nikaenda na mimi kuoga kisha nikabadili nguo Tony naye aliludi akaoga na baada ya hapo alivaa nguo nakisha alinikumbatia kwa mahaba
Nikamwambia Tony nataka niende kigoma kwa nyumbani nikawasalimie
Hakika nimewamiss sana napia wakamuone mtoto wetu je unaonaje
Tony alikubali ukweli kabisa itapendeza wewe nenda ninge kusindikiza ila ninakazi nyingi
Na ofisi yako jee au usijali atakuwa baba anaikagua haina shida huyo ndio anauziefu na biashara za hotel
Nilifurahi kusikia hivyo nijiandae nitaenda na gari binafsi tuu
Tony alimkubalia sawa tuu haina shida pia ninzuri kwaajili ya Natalia
Nilimuitikia kweli
Kisha tulienda kupata chajioni tukiwa pamoja
Baada ya hapo tuliludi vyumbani kupumzika nikiwa chumbani nilimwambia pia na mzee devi
Alinikubalia na kuniambia ukawanunulie zawadi nyingi sana
Nilimuitikia sawa watafura mnoo
Mumewangu nae sikuhiyo alitaka mzigo sikuweza kumnyima japo anipi changa moto
Endelea kufuatilia...........
KWETU morogoro
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
NI WANGU PEKEANGU epsd 20
Waliingia maharusi kisha walifunga ndoa na kuelekea kupiga picha baada ya picha walienda ukumbini watu walifurahi sana ...
NI WANGU PEKEANGU epsd 19.
Hatimaye muda wa maandalizi ya harusi umefika walitoka kwenda kutafuta shera ya harusi mapambo nakila kitu na yeye alia...
NI WANGU PEKEANGU epsd 18.
Walifirahi mnoo wazazi wa Vanessa sana walimpenda mnoo Franco walianza maandalizi ya harusi ya mrembo wao kwani furaha ...
NI WANGU PEKEANGU epsd 17.
Walimtafuta sana bila mafanikio mama wakati amekaa sebureni kachoka siku yatatu mdada wakazi alikuja na barua nimeiokot...
NI WANGU PEKEANGU epsd 16.
Siku ya Franco kumtambulisha mpenzi wake ilifika na waliandaa chakula chajioni wakamkalibisha chaajabu walimuona Vaness...
NI WANGU PEKEANGU epsd 15
Franco alimwambia Fred hili sio kosa lake naomba ongea namimi Fred alijibu nataka kuongea na Vanessa sihitaji kuzungumz...
NI WANGU PEKEANGU epsd 14.
Muda ulifika Franco alienda kumpitia mpenzi Vanessa na kumpeleka sehemu kuenjoy kidogo ili asiboreke naile msg aliotumi...
NI WANGU PEKEANGU epsd 13.
Walianza safari kuelekea nyumbani kwa kina Vanessa walifika nyumbani nakisha waliagana kwa mabusu na romance zakutosha ...
NI WANGU PEKEANGU epsd 12.
Walianza safari kuelekea dar walipanda ndege nakuwasili dar essalam baada ya muda walichukua gari mpaka nyumbani kwa ki...
Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
BABAMKWE epsd 16
Nililala hatimae asubuhi kulikucha nikaenda chumbani kwa Natalia kumtizama nilikuta ndio anaandaliwa chakula
Ale ndio aogeshwe kisha tuondoke zetu kazini
Niliondoka nikawacha na dada yake nikaenda mezani kupata breakfast na wanafamilia
Tulipata kifungua kinywa kwa pamoja kisha tulitawanyika
Kila mmoja kwenye majukumu yake nami Natalia alikuwa tayari tukaingia kwenye gari yetu na kuondoka
Hadi hotelini kisha niliwaacha Natalia na dada mlezi wake nikachomoka kidogo
Nilienda kwenye nyumba yangu niliyo pewa zawadi na mzee devi
Nikaifungua na kuikagua kisha nilimpigia sim mama nikaongea nae
Kisha nikaipiga picha hiyo nyumba na baada ya hapo nikamwambia mama nakuja huko huko unishauri
Nikaludi hotelini nikamalizia majukumu yangu ya hapo na muda...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/babamkwe-epsd-16
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>
Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi babamkwe-epsd
Maoni