Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________*  *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*  Jioni, muda wa kufunga duka, Gael alimfuata Mia.
Gonga94 · Stories

BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Jioni, muda wa kufunga duka, Gael alimfuata Mia.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Mambo mrembo wangu," Gael aliushika mkono wa Mia.

"Safi tu boss, Madam hakufika hapa leo. Unataka nikusaidie nini?" Mia aliongea kana

kwamba hawajuani.

"Sihitaji huduma yoyote, Mia. Nataka kuongea na

wewe," Gael alisema kwa upole.

"Unaweza kuongea hapa hapa, unachotaka kuongea, nakusikiliza, Mia alimjibu huku akimuangalia usoni.

"Siwezi kuongea hapa, unaonaje tukitoka labda hotelini au sehemu tulivu?"

Mia alitafakari kidogo. "Sawa, nakupa dakika tano tu."

Mia aliongozana na Gael mpaka kwenye hoteli moja maarufu.

"Utapendelea kula chakula gani?" Gael aliangalia menu.

"Kumbuka una dakika tano tu, Gael, na mimi sikuja hapa kula sema ulichoniitia," Mia alisema kwa ukali.

"Mia, nipe nafasi ya kuwa karibu na wewe, hata kidogo. Kwanini umekuwa mkali ghafla?"

"Gael, sitaki tena kuishi na hii siri wala

kugombana na yeyote."

"Siri ipi?" aliuliza Gael.

"Ni kwamba..." kabla Mia hajamaliza, Mira alimkatisha.

"Mimi na Mia ni ndugu, watoto wa baba mmoja

na mama mmoja, ila Mia hakutaka mtu yeyote ajue kama sisi ni ndugu, ndomana hata wewe

nilikuficha," Mira alisema bila aibu.

"What? Hii sio kweli!" Gael alimuangalia Mia, akitafuta jibu.

"Ni kweli, Gael, sisi ni ndugu, Mira ni dada yangu, lakini ni yeye ndo kabla hajamaliza, Gael

alisimama.

"Inatosha sasa! Nilikuona kama mwanamke wa tofauti, lakini kumbe unapenda michezo ya

kijinga. Hata huo upole ni maigizo tu! Nimeshangazwa sana, sikutegemea hili kutoka kwako!"

Gael aliondoka akiwa amekasirika, akawaacha Mira na Mia.

Mira akamuangalia Mia kwa dharau.

"Namjua vizuri sana Gael, huwa hapendi watu waongo. Hesabu umeshamkosa," alisema huku

akicheka na kuondoka.

"Hata siku moja hukuwahi kuwafikilia wengine,

Mira. Wewe ni mbinafsi sana, huoni hata aibu kumuumiza mtu," Mia alisema huku akichukua

pochi yake na kuondoka.

"Nimeshamfanya Gael akuchukie, sasa ni wakati

wangu wa kumfanya anipende mimi peke yangu," Mira alicheka kwa kiburi.

Wakati huo, Gael hakuwa sawa kabisa. Alienda baa, akaagiza pombe, akaanza kunywa

hadi akalegea.

"Kaka, samahani, muda wa kufunga umefika, unatakiwa kuondoka," alisema mhudumu.

"Aaah, niache ninywe kidogo, nataka ninywe

mpaka nishindwe kabisa kukumbuka mimi ni nani," Gael alisema kwa sauti ya kilevi, huku

akiwa amelala mezani.

"Meneja, tutamsaidiaje huyu mtu?" mhudumu

aliuliza.

"Hatuna jinsi, tumpigie mtu wake wa karibu aje kumchukua," meneja alisema.

Alipekua kwenye mfuko wa Gael, akatoa simu, namba ya juu kabisa ilikuwa ya Mira. Walimpigia.

"Samahani dada, tumechukua namba kwa Mr. "Nani mwenzangu?" aliuliza Mira upande wa pili. Gael kama kwenye kitambulisho chake, unaweza

kuja kumchukua hapa baa?"

"Mimi ni mpenzi wake, yupo baa gani?"

"Pacific."

Kusikia hivyo, Mira alifurahi.

"Sawa, nakuja sasa hivi."

Haikuchukua muda, Mira alifika, akamchukua

Gael na kwenda naye nyumbani kwake. "Siwezi kupoteza hii bahati," alisema huku

akimvua nguo zote na kumlaza kitandani. Na yeye pia alipanda akalala pembeni yake.

Asubuhi, Gael aliamka akiwa na maumivu makali ya kichwa.
Offer offer
Soma yote kwa sh 800
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Jioni, muda wa kufunga duka, Gael alimfuata Mia.



"Mambo mrembo wangu," Gael aliushika mkono wa Mia.

"Safi tu boss, Madam hakufika hapa leo. Unataka nikusaidie nini?" Mia aliongea kana

kwamba hawajuani.

"Sihitaji huduma yoyote, Mia. Nataka kuongea na

wewe," Gael alisema kwa upole.

"Unaweza kuongea hapa hapa, unachotaka kuongea, nakusikiliza, Mia alimjibu huku akimuangalia usoni.

"Siwezi kuongea hapa, unaonaje tukitoka labda hotelini au sehemu tulivu?"

Mia alitafakari kidogo. "Sawa, nakupa dakika tano tu."

Mia aliongozana na Gael mpaka kwenye hoteli moja maarufu.

"Utapendelea kula chakula gani?" Gael aliangalia menu.

"Kumbuka una dakika tano tu, Gael, na mimi sikuja hapa kula sema ulichoniitia," Mia alisema kwa ukali.

"Mia, nipe nafasi ya kuwa karibu na wewe, hata kidogo. Kwanini umekuwa mkali...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/between-sisters-and-secret-____________________________________-sehemu-ya-ishirini-na-moja-jioni-mud

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi between-sisters-and-secret-____________________________________-sehemu-ya-ishirini-na-moja-jioni-mud
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

869
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

731
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

525
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

181
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

108
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

78
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest