Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2) ????????????????????


LAST FOREVER
Maamuzi yake yalikuwa yamesimama hivyo na hakutaka kusikia upande wangu wa pili ambao umebeba hisia nzito dhidi yake. Rola akaniua mbele ya macho, akaniua nyuma ya macho yake. Hakutaka kupokea hisia zangu huku akisisitiza kwamba, nimeshamuoa Rely basi nibakie kwa huyo mtu.

"Ulishafanya maamuzi ya kumpenda na kumuoa mwanamke mwingine, kwanini unataka uishi na mimi? Unadhani watanichukuliaje huko nje? Sidhani kama ni sahihi. Hivyo basi, njia rahisi ya mimi na wewe kuishi kwa amani ni kuwa marafiki tu"

"Lakini kumbuka upendo wangu kwa Rely ulikuwa wa kulazimishwa. Sikupanga wala sikuwa tayari kuingia katika mahusiano na huyu mtu. Ningefanyaje ikiwa tayari wazazi walishaona nafaa kuoana naye? Lakini kwa sasa nipo tayari kuachana naye ili nikuoe Rola. Please pokea upendo wangu. Kwanini unataka niwe nateseka kila napokuona? Natesekaa kila ninaposikia jina lako? Mimi ni binadamu, nina moyo mmoja ambao unafanya maamuzi sahihi. Sidhani kama kukuchagua wewe uwe sehemu ya maisha yangu ni maamuzi mabaya"

"Sitaki kusikia hizi habari Rahim, tena usitake nikuchukie sababu sioni umuhimu wa neno nakupenda ikiwa ulioa mtu mwingine. Ok, ulipambana kwa ajili yangu na nashkuru kwa hilo. That's ili nisifute alama ya msaada wako katika maisha yangu basi naomba tubakie kuwa marafiki. Hakuna kingine naweza sema. Samahani kama nitakuwa nakukosea. Kuwa marafiki ni bora zaidi na utalinda msaada wako kwangu kuliko kuwa wapenzi. Binafsi, sina hisia na wewe hata chembe" Rola alinipiga misumali mingi yenye kuumiza ndani ya moyo wangu.

Nikakosa furaha tukiwa Dar es salaam, nikakosa furaha tukiwa airport wakati tukijiandaa kwenda Zanzibar na hata tulipofika huko nilipoteza kabisa amani ndani ya moyo wangu.

"Rely anaendelea kumtafuta Mama yake. Mama Rely ametoweka nyumbani tangu wiki moja nyuma. Hajulikani wapi yupo?" Lilikuwa ni sauti la Thelesia ambaye alitupokea Airport.

"Wapi ameelekea sasa?" Niliuliza

"Mama kageuka kuwa chizi pamoja na Baba pia ambaye amelazwa hivi sasa. Kwa kifupi familia imeingia katika wakati mgumu"

"Wameyataka, waliona raha kunitesa si ndio" Rola alipayuka kwa hasira, moyoni nilijua nini kilikuwa kinaendelea. Nikafahamu yale ndio yalikuwa yaliyotabiriwa na mganga. Tayari watu wabaya wamejulikana na hali ya uchizi imewaingia.

Basi, tuliondoka hadi nyumbani ambako tulikaa hadi jioni, Rely alikuja akiwa hoi bin taabani.

"Mama amepotea Rola" Rely alitujuza akiwa anakaa katika sofa.

"Hakuna unayemwambia asiyejua nini shida? Mama yako aliniroga akadhani kwamba kila kitu hakina mwisho"

"Basi, naombeni mkanisaidize kumtafuta"

"Hakuna wa kufanya hivyo kwa hivi sasa. Kwanza nataka kujua wapi Hussein yupo?"

"Hussein yupo hapa hapa Zanzibar"

"Sawa, kesho mtanipeleka. Nataka kuonana na barafu wa moyo wangu"

"Unadhani atakuwa na mapenzi ya dhati kwako? Halafu Mama hakukuroga"

"Huna hunalolijua, vyema ukapiga kimya" Rola alijibu na aliondoka nami nilibaki na Rely pale sebureni.

Rely alinisimulia vitu vingi sana kuhusu maisha yao pale nyumbani mara baada ya Mimi kuondoka.

"Kulikuwa na vitu vinakuja usiku na kutua juu ya bati au dirishani katika chumba cha Wazazi wangu. Vinakonga na kuwaita, sijui ni vitu gani?"

"Mh! Pole sana"

"Ahsante, usiniambie kwamba wewe ndio umefanya kazi ya kumtibia Rola?"

"Ndio, nimemtibia"

"Yaani wakati mimi nateseka na familia yangu, wewe upo busy kumtibia Rola. Ulitumwa kwani?"

"Hakuna kunilaumu katika hili sababu ilikuwa ni lazima Rola apone"

"Ok, kapona. Unadhani hizi mali zitakuwa za kwangu tena? Kwanini unafanya mambo bila kunishirikisha Rahim? Unataka nikupende vipi ili uamini kwamba nakupenda? Sijui hata umepatwa na nini kha?"

"Hata hajapatwa na kitu Rely. Yah! Baba na Mama yako waliniroga na sasa mwenye mali nimerudi tena mjini kumiliki mali walizoacha wazazi wangu. Mwanasheria aliyekaachiwa hizi mali ili aziongoze namjua vizuri. Najua kila kitu sababu kumbukumbu za miaka yangu niliyoishi bado zipi kichwani. Nataka ujue kwamba, kuanzia sasa wewe ni mtumwa katika hii nyumba na nisisikie unajaribu kumtafuta Baba yako kwa kutumia mali zangu. Simamisha kabisa hilo zoezi. Wazazi wako wakajua kwamba nitaumwa milele, nothing last forever. Kuna muda maumivu yanaisha na maisha ya kawaida hurudi. Wao si walimaliza vita, mimi ndio nimeanza sasa" Rola ambaye alikuwa amesimama katika ngazi ya kupanda juu alizungumza.

Nilijikuta namtazama Rola sio chini ya mara moja wala mbili, moyoni nikajiuliza kama ni yeye ama sio yeye? Sikutegemea kuwa siku moja Rola kama akiwa mzima basi anaweza kuzungumza maneno kama haya? Lakini huyu ndio Rola, aliyekuwa chizi hapo kabla na sasa ni binadam mwenye akili zake timamu.

Nunua season two kwa 1000Tsh! Kumbuka hii ndio Season ya Mwisho Kwa simulizi huu.

Nifollow Instagram, natumia

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2) ????????????????????


LAST FOREVER
Maamuzi yake yalikuwa yamesimama hivyo na hakutaka kusikia upande wangu wa pili ambao umebeba hisia nzito dhidi yake. Rola akaniua mbele ya macho, akaniua nyuma ya macho yake. Hakutaka kupokea hisia zangu huku akisisitiza kwamba, nimeshamuoa Rely basi nibakie kwa huyo mtu.

"Ulishafanya maamuzi ya kumpenda na kumuoa mwanamke mwingine, kwanini unataka uishi na mimi?...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-01-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

828
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

520
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

467
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

456
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

425
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

349
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

248
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

246
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

178
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

90

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.45K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.21K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest