Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 08
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 08

WHO IS FATHER OF THE PREGNANT?
Nilirudia kama mara mbili kuisoma ile meseji ambayo ilinifanya kubaki nimeganda kama sanamu pale ndani lakini sauti ya Rely iliyokua inatokea nje ilinishtua na kunifanya niirudishe ile simu pale kisha nikamsikilize alichokua anakisema.
"Mume wangu, mda ndio huu sasa mbona unachelewaa kuondoka?? Inamaana mda wote huo ulikua unavaa..??

"Aaah.. yeaah, nilikua natafuta hii kadi ya benki.." Nilidanganya maana hakuna nilichokua natafuta zaidi ya kwamba nilikua nasoma ile meseji ambayo ilinifanya kuwa kama nimejitwishwa chungu cha moto kichwani.

"Aaah basi sawa amna shida, kazi njema.." Alinitakia kazi njema huku akiachia bonge la tabasam na kunikiss shavuni. Niliondoka Mim mtoto wa Mama Rahim na kuingia mtaani sasa kuendeleaa na kazi ambayo nilipanga kuifanya siku ile.

Baada ya mimi kuondoka Rely alimaliza kazi zake na kuingia chumban na kukutana na ile mesej kutoka kwa huyo ambae inaonekana ni mpenz wake.
"Oooh Calvin amenitafta..??" Aliongea huku akijarb kuipiga ile namba ambayo ilikua haijaseviwa kweny simu yake.

"Halloo.." Ni sauti ya upande wa pili iliitikia, sauti hii ilikua nzito kiasi na ilionesha ni sauti ya mwanaume haswa..!! Nikisema sauti ya mwanaume haswa sijui kama mtakuwa mnanielewa lakin tufanye mnanielewa.

"Yees, mambo.."

"Safi nimepiga sana simu haipokelewi, ulikuwa wapi??"

"Ooh sorry nilikua kazi nyingi leo si unajua nipo off kwahiyo nikaona nifanye kazi za hapa nyumban kwanza.."

"Sawa, sasa nahitaji kuongea na wewe leo mpenzi, kwanza nimekumiss si unajua lakin??"

"Naelewa, kwahiyo tutakutana mda gani sasa maana huyu mwanaume sitaki ajue kitu chochote kuhusu mim na wewe.."

"Usijal ni hata mda huu tu kama utakua free ni sawa, lakin mwisho wa siku lazima huyo mumeo akubaliane na ukweli.."

"Kwamba..."

"Njoo tuonane kwanza maana kesho nina safari ya kwenda Kenya hivyo sihitaji kuondoka bila kukuona."

"Sawa nakuja baby.."

Rely alijiandaa kwa ajili ya kwenda kuonana na huyo mpenzi wake ambae anafahamika kwa jina la Calvin. Ilikuaje mpka wakajuana??

Turudi nyuma kidogo..
Siku ambayo Rely ameenda kutafuta kazi alikutana na huyu Mwanaume maeneo ya maegesho ya magari nje ya hiyo restaurant ambayo ndio anapofanyia kazi sasa hivi na huyu mwanaume alijitambulisha kama Calvin..
"Hii dada samahan.." Calvin alimuita Rely huku akiwa anafung mlango wa gari lake, inamaana Calvin alimuona Rely wakati yupo kweny gari bado. Baada ya Rely kuitwa alisimama na kumsikilza Calvin..

"Aaah samahan, habari yako??"

"Salama.." alijibu kifupi huku akimuangalia yule mwanaume jinsi alivyokua ameyapangilia mavazi yake vizuri huku akinukiaa marashi ambayo hayakumfanya Rely kuchoka kuvuta hewa ya eneo lile.

"Naitwa Calvin, sijui unaitwa nan mwenzang??"

"Naitwa Rely.."

"Oooh karibu, umekuja kupata chakula eneo hili??"

"Hapana nimekuja kutafta kazi..!"

"Ooh imekua vizuri basi maana mim ndio mkurugenzi eneo hili, kwahiyo karibu ofsin kwangu" Alijibu na kuanza kutangulia huku akimuacha Rely nyuma akiwaza na kushukuru Mungu kwasababu ilikua kama bahati kwake kukutana na boss tena boss kamsimamisha mwenyewe.

Waliingia mpaki ofsin kisha Rely akaeleza shida yake na kwakuwa yule mwanaume alikua tayari ameshavutiwa na Rely basi hapakua na shida tena zaidi ya kumpa kazi Rely na hapo ndipo ukawa mwanzo wa mapenzi yao.

Rely alitoka nyumban na kuelekea huko anapofanyia kazi ili kuonana na Calvin. Alifika kule kisha waliongea mambo mengi ikiwemo namna ambayo Rely anajiandaa kuondoka kwangu, waliongea sana na mwisho wa maongezi yule mwanaume alimpatia Rely pesa ambazo zingetumika kuanzisha duka. Baada ya hapo waliagana huku wakipeana ahadi nyingi nyingi kama ilivyokuwa kawaida kwa wapenzi wengine.

Majira ya usiku tukiwa tunakula, kimya kilitawala eneo lile lakini nikaamua kuuvunja ule ukimya kwa kuanzisha story za biashara..
"Mke wangu umefikia wapi kwenye swala la kufungua duka maana nimeenda kwenye site ambayo nitafungua kibanda changu cha chips, nmeongea na mhusika na kila kitu nmeweka sawa na pesa imebaki kama milion 5."

"Aaah sas milion tano itatosha kweli?? Maana hatujalipia frame bado na vitu vingine pia.."

"Basi tusubir huu mwezi uishe alafu unaofatiaa tuongezee pesa" Niliongea vile maksudi kwasababu najua atanipinga sema niliongea tu ili nisikie atasemaje..?

"Aah mwezi ni mrefu sana, mi nitaongezea pesa.. nitamkopa rafiki yangu mmoja hivi tupo nae kazin maana yeye hela zake hazina mambo mengi sana!" Alinijibu hivyo lakin mim nilikua tayari nimeshajua hapa hakuna cha rafiki yake wala nin ila ni yule mwanaume wake ambae alimtumia mesej mda ule.

"Aaah sawa kama umeamua hivyo! Hivi ulishawahi kuongea na Rola hizi sku za hapa karibuni..?" Nilichomeka swali ambalo nilikua najua jibu lake ni hapana.

"Mmmmh hapana, sijaongea nae wala sijui anaishi vipi?? Yeye si akitufukuza sas naongea nae wa nin??"

"Lakin ni ndugu yako labda wewe ndo ungeanza kum..." Sikumalzia sentensi yangu, Rely alikimbia kweny sink na kuanza kutapika. Nilimfata pale ili kutaka kujua hali yake kama ipo sawa.

"Nin shida mke wangu??"

"Nahisi kichefu chefu sana alafu piaa kizungu zungu hakiishi.."

"Pole itabdi kesho twende hospital sasa tukajue shida ni nin??" Nilimwambia hivyo huku moyon nikiwa najua kabisa itakua ni ujauzito, sas swali ni je huo ujauzito ni wangu au wa huyo hawala yake..?? ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 08

DO YOU LOVE ME 08

WHO IS FATHER OF THE PREGNANT?
Nilirudia kama mara mbili kuisoma ile meseji ambayo ilinifanya kubaki nimeganda kama sanamu pale ndani lakini sauti ya Rely iliyokua inatokea nje ilinishtua na kunifanya niirudishe ile simu pale kisha nikamsikilize alichokua anakisema.
"Mume wangu, mda ndio huu sasa mbona unachelewaa kuondoka?? Inamaana mda wote huo ulikua unavaa..??

"Aaah.. yeaah, nilikua natafuta hii kadi ya benki.." Nilidanganya maana hakuna nilichokua natafuta zaidi ya kwamba nilikua nasoma ile meseji ambayo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

740
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

694
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

527
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

425
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

267
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

158
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

71
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.64K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest