Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 13
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 13

ZHIGZAG
Tulikaa pale kwa mda kidogo, kuna wakati nilitoka nje nkampisha Thelesia ampe chakula Rola na badae nilirudi wodini kutaka kujua hali ya Rola.

"Unajiskiaje?" Nilimuuliza.

"Kichwa kinaniuma sana, nahisi kuchoka kwa kweli."

"Pole utakua sawa."

"Rely umemuacha vipi? Na amejua kwamba umekuja huku? kwasababu sidhani kama akijua kama umekuja huku atafurahi."

"Usijali Rola kila kitu kipo sawa. Hata hivyo nilikua tu na wasi wasi, nilitaka kujua hali yako na kwakuwa umeshakua sawa sina budi kuwaacha." Nilijibu huku nikisimama kwenye kiti nilichokua nimekaaa.

"Mbona mapema sana Rahim?" Aliuliza Thelesia.

"Nashkuru sana kwa moyo wako na Mungu akubariki Rahim." Alisema Rola huku akijaribu kuachia tabasam uson kwake.

"Aaah usijali Rola, sisi ni binadam lazima upendo uendelee kuwepo"

"Asantee"

"Basi sawa, mi wacheni nitoke, kwaherini na mbaki salama."

Niliaga na wote wakashukuru kwa uwepo kwangu kisha sikua na namna tena kuendeleaa kubaki pale nikaondoka kutafuta njia ya kurudi dar.

Kufika nyumban kwangu sikumkuta Rely nikajua kaenda kazin kwake. Nilienda mpaka chumbani hata vitu vyake vilikuwepo.

"Ana mbwembwe sana huyu mwanamke, inamaana jana alivyokua anataka kuondoka alikua anabip fire au?" Nilijisemesha mwenyewe huku nikiwa najitupa kitandani.

Kwa wakati huu tayari ilikua imeshatim saa kumi na mbili jion, sikuona sababu ya kutoka na kwenda kwenye kibanda changu cha chips na badala yake nikaamua kuingia jikoni na kuandaa chakula cha usiku.

Siku zilipita, hatimaye miezi miwili ilikatika bila mawasiliano na Rola, sikuwa najua wanaendelea vipi yeye na familia yake kwasababu kila nilipokua nikipiga sim yake haikupokelewa na mda mwingine haikupatikana kabisa. Niliamua kupotezea lakini sio kupotezea upendo wangu kwake. Nilimpenda Rola kupita maelezo na wala sikuchoka kumpenda hata siku moja. Kipindi hiki ata ujauzito wa Rely ulikua umekua tayari lakin visa na mikasa havikuisha ndani ya nyumba yetu. Kila siku ilikua kelele na maneno yasiyokuwa na mpangilio, kwa kifupi tulikua kama paka na panya.

Siku moja niliamua kutoka na kwenda kwa mama na kwa bahati nzuri nilimkuta japo alikua anajiandaa kutoka lakin nashkuru nilim'wahi.

"Mama una safari?" Niliuliza.

"Makubwa! Ndio nini kunijia bila taarifa mapema yote hii, kwema huko?" Aliuliza mama akiwa anashangaa ujio wangu wa bila taarifa pale nyumban.

"Sasa Mama hapa si nyumbani? Kwani kuja mpaka nitoe taarifa?"

"Mtoto shika adabu yako tafadhali. Kwako hapa? Kwako si huko kwa huyo kichaa mwenzio?"

"Lakin mama sijajia hayo, shikamoo kwanza."

"Marahaba, na useme haraka bwana nina safari zangu saa hizi"

"Sawa, mama hapa nimejia swala moja tu mama yangu. Naomba uongee na Rely mama maana pale nyumban sahivi hapakaliki. Ukipita huku ni kelele ukirudi huku kelele yaani ile mimba inampelekesha sjui?"

"Kwahiyo unataka mimi niongee nae nin kama mwenyewe ushasema mimba inampelekesha?"

"Aaah mama yule ni mwanamke mwenzio!"

"Kwahiyo?"

"Ongea nae labda atakuelewa!"

"Bwana kama hakuna habari zingine fanya safari, nimekwambia nina safari zangu. Huyo mkeo hawezi kubadilika hata nikiongea nae nini. Kama unabisha subiri akijifungua halafu akibadilika urudi hapa unidai hii nyumba yote nikupe." Alisema mama kana kwamba anajua kila kitu kuhusu Rely.

"Mama!!" Nilimuita mama kwa mshangao sana maana kauli yake ilinipa utata.

"Hiyo ndio habari iliyopo. Haya fanya kuondoka nifunge mlango wangu mie."
Sikuwa na namna zaidi ya kuondoka na kurudi kuendeleaa na majukumu yangu huku nikiwa ni mwenye mawazo sana. Ukweli ni kwamba ata ule mwili niliokua nao mwanzo kipindi hiki ulipungua kabisa kwa mawazo. Nilikua najua Rely ananicheat lakin sikutaka kumwambiaa, na yeye alijua mimi sijui kwasababu sikuwahi kumwambiaa. Nilifanya hivi nikisubiri tu mtoto azaliwe tupime DNA halafu mtoto akiwa sio wangu basi baba yake atamchukua yeye pamoja na mama yake. Yaan kwa kipind hiki tulikua tunaishi kusukuma siku maana nilichokua nafanya ni kulea tu ule ujauzito ambao sikuwa na uhakika nao ata kidogo.

Upande wa Rola nilisimuliwa hivi; Nyumban kwa Rola siku hii alikua anaongea na Hussein lakin maongezi yao hayakua ya kawaidaa kwasababu walikua wanazozana sana.

"Nimeshakwambia sikutaki naomba uende kwa mkeo, sihitaji matatizo na mtu! Nilikuamini sana kiasi kwamba sikutaka kumsikiliza mtu yeyote lakin kumbe lengo lako ni mimi kufa si ndio??" Ilikua sauti ya Rola aliekua anamfokea Hussein.

"Lakin nakupenda wewe Rola!"

"Muongo mkubwa, unanipenda au unataka pesa zangu, najuta sana kukuamini. Najutaaa!!!"

"Haya maongezi tulitakiwa kuongea taratibu tuweze kuelewana kwanini unakuwa mkali?"

"Achana na mimi Hussein, we ni mwanaume gani? Mwanaume usiekua na utu ata kidogo. Siku ile apa ulitaka kuniua, yan asingekua Thelesia si ningekua marehem mimi au? Yan ukaona haitoshi kunisukuma, badala yake ukaniacha kabsa alafu unasema unanipendaa, unanipenda au unacheza na akili angu?"

"Tatizo unasikilza maneno ya watu mke wangu naomba basi nisikilize."

"Maneno ya watu, maneno gani? Niskilze Hussein naomba uondoke kwangu haraka sana!"
Rola aliongea na kuondoka chumbani akamuacha Hussein peke ake.

Baada ya Rola kutoka, Hussein kuna kitu kama aliwaza na baadae akatingisha kichwa kutoka juu kwenda chini na kutoka chini kwenda juu ishara ya kwamba alichokiwaza alikubaliana nacho. Mda huo huo alifungua droo iliyokua kwenye kabati ya Rola na kutoa bahasha moja kisha akaifungua na kutoa karatasi moja akaisoma kisha akaachia tabasam. Baada ya kuwa amesoma ile karatasi, aliirudisha kwenye bahasha kisha akafunga droo na kutoka na ile bahasha na kwenda kuificha kwenye nguo zake kisha alitoka na kuondoka zake akamuacha Rola aliyekua hafahamu kitu chochote kilichotokea huko chumban kwake baada ya yeye kutoka. ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 13

DO YOU LOVE ME 13

ZHIGZAG
Tulikaa pale kwa mda kidogo, kuna wakati nilitoka nje nkampisha Thelesia ampe chakula Rola na badae nilirudi wodini kutaka kujua hali ya Rola.

"Unajiskiaje?" Nilimuuliza.

"Kichwa kinaniuma sana, nahisi kuchoka kwa kweli."

"Pole utakua sawa."

"Rely umemuacha vipi? Na amejua kwamba umekuja huku? kwasababu sidhani kama akijua kama umekuja huku atafurahi."

"Usijali Rola kila kitu kipo sawa. Hata hivyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

647
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

529
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

206
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

148
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

138
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

124
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

108
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

96
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

88
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

43

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa 🔥🔥🔥  SEHEMU YA 1       😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui  wapi wapii  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest