Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 17 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 17 (S2)

NO, I AM NOT WRONG
Kabla ya kujibu kile nilichoulizwa, nilijifikiria kwa muda mrefu sana. Nikajibu.
“Hapana” Jibu langu nikadhani huenda lingemstua sana Rely lakini hakuwa na wasiwasi wowote. Alijilaza kitandani. Nikastuka! Kwanini aulize halafu nimjibu na kulala pasipo hata kuendeleza maongezi? Sikupata jibu. Nami ilinibidi nijilaze. Nikawa ni mwenye mawazo mno hata usingizi haukuja vizuri.

Usiku huu hatukuongeleshana lolote hadi palipokucha. Asubuhi iliyokuwa na baraka ilitia timu. Rely akawa wa kwanza kuamka, akaandaa chai na kuniletea kitandani. Hapa napo nilistuka. Inakuaje hadi ananiletea chai ikiwa hatuna maelewano mazuri? Anataka kuniua? Sikujipa majibu sahihi ya maswali yangu.
“Nataka kujua ukweli” Rely alisema akiwa ameshikilia mlango, ananitazama usoni. Niliacha kunywa chai, nikamtazama na kumuuliza.
“Upi?”
“Najua mimi si wa thamani tena kwako”
“Nani kasema”
“Moyo wako unamajibu yote lakini nami nijibu swali langu”
“Lipi tena Rely?”
“Rola anakuja saa ngapi?” swali lake likanifanya nikumbuke kumbe kulikuwa na mazungumzo na Rola.

Haraka sana nilichukua simu yangu na kuiwasha kisha nikatafuta namba ya Rola hadi nilipoipata nilipiga. Aliniambia tayari amefika na mara kadhaa amejaribu kunipigia simu lakini sipatikana kama ninaweza basi nijiandae kumfuata.
“Ok, nakuja hapo” nilimjibu na kukata simu. Nikamgeukia Rely na kumwambia “yupo ameshafika” niliweka chai pembeni kisha nilianza kujiandaa kwa ajili ya kuondoka.

Wakati nikiwa najiandaa, Rely naye alikuwa akijiandaa. Kitu ambacho kiliniacha njia panda. Anajiandaa kuna sehemu anakwenda? Kama ndio ni wapi? Sikupata majibu. Nikawa katika wakati mzito na mgumu, ilinibidi nimuulize.
“Unaenda wapi?”
“Umesema ameshafika?”
“Nani?”
“Kwani unaenda kumpokea nani?”
“Kwahiyo unataka kuja ninakoenda?”
“Kuna dhambi yoyote?” Rely aliuliza.

Mie nikapiga kimya. Moyoni nikijiambia kwamba maamuzi yoyote atakayoyachukua ni yeye mwenyewe ndio atajua. Nilifanya yangu hadi nilipomaliza. Nikamtazam Rely alikuwa bado hajamaliza kama mjuavyo wanawake tena kwa kujiandaa. Hii ikanipa auweni ya kunipunguzia mzigo maana sikutaka kuongozana naye. Niliondoka huku nikiimani kuwa Rely asingeweza kunifuata na hata kama angenifuata basi asingeweza kujua niliko ni wapi? Nikijipa imani kuwa Jiji la Dar es salaam ni kubwa.

Lisaa na nusu mbele nilifanikiwa kufika sehemu husika. Nilishangaa kuona mtu kama Rely akiwa anaongea na kina Rola, aliponiona mimi kwa mbali aliaga na kuondoka. Nikastuka ni yeye kweli ama sio yeye? Ilinibidi niende hadi walipo. Nikasimama na kuwasalimu. Rola aliniambia baada ya salam.
“Rely alikuwa hapa muda si mrefu”
“Acha masiara basi, nilimuacha nyumbani ujue?”
“Kweli tena” Alinisisitizia. Nikabaki njia panda maana sikuamini kile ambacho alikuwa ananiambia. Rely amefikaje katika eneo lile ikiwa nilimuacha nyumbani? Bado majibu sikuyapata.

Nusu saa mbele tulianza safari ya kumpeleka katika nyumba ambayo alitaka aishi. Nilikuwa nimeshaipata na kuagizia watu wafanye ukarabati katika baadhi ya maeneo. Kwahiyo, sikuwa na shaka sana kama ingekuwa na muonekano mbaya.
“Umeishiana vipi na Hussein?” Nilimuuliza tukiwa bado katika usafiri
“Kwanza nisamehe kwa nilichokufanyia. Mimi sio binadamu ambayo nastahiki kupewa msamaha wako lakini nisamehe sana”
“Usijali, nilishakusamehe. Niambie, umefikia wapi na Hussein?”
“Anashikiriwa na polisi, kesi yake ni kubwa maana hajaanza kunidhurumu mimi pekee. Kuna watu wana kampuni zao kama tatu, nao pia kawadhurumu. Namchukia”
“Pole sana” Nilimjibu huku moyoni mwangu kukiwa na furaha maana yule mshenzi ambaye nilihisi angenipa kikwazo kwa Rola, hayupo na jeshi la polisi linashughulika naye.
“Rely ananiambia kwamba haoni tena umuhimu wa yeye kuendelea kuishi. Kwani mlikuwa mkiishi maisha mabaya?” Rola aliniuliza.
“Hapana”
“Alikuwa analia. Alionekana kama mtu ambaye mwenye mawazo kupitiliza. Sura yake haikuwa na tabasamu tena”
“Kuna nini?” Nilimuuliza. Kimya kikachukua nafasi, hakukuwa na jibu tena.

Nikiwa nasubiria jibu kutoka kwa Rola, simu yangu iliingia meseji. Nikaifungua, ilikuwa ni meseji ndefu kutoka kwa Rely ikisema.
“Nilifanya makosa kutaka kuwaaminisha watu kuwa unaweza ku’force upendo na ukapendwa. Nilifanya makosa pia hata pale ambapo nilipopata nafasi ya kupendwa niliyoilazimisha, niliichezea. Raheem, najua nini unajua kinachoendelea kuhusu huu ujauzito. Kuhusu maisha yangu kwa ujumla na kadharika. Najua unajua pia kuhusu mateso yote ambayo nimepitia hadi mimi na wewe kuwa pamoja. Tukaishi katika masemango na maneno, tukaishi katika furaha na huzuni lakini mwisho wa siku ukweli utabakia kuwa palepale. Ukweli ambao unanimaliza ndani kwa ndani. Kabla yako kuonana na Rola, mimi nilikuwa naye hapo. Nikamuaga na kumtakia maisha mema akiwa na wewe. Nami nakuaga Raheem. Sina pa kwenda zaidi ya kaburini. Mimi na kiumbe ambaye yupo tumboni, wote tutatangulia sababu siwezi kukupa mtoto ambaye sio wako wala siwezi kumlazimisha yule mwanaume kulea mimba ambayo amekwisha ikataa na hataki kusikia lolote. Muishi kwa amani na mnisamehe kwa kuwakosea” meseji ilikomea hapa. Nikaganda nikiwa nimetumbulia macho simu yangu. Inamaana Rely anataka kujiua? Kwanini afanye hivyo sasa? Nilijiuliza maswali..... ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

NO, I AM NOT WRONG
Kabla ya kujibu kile nilichoulizwa, nilijifikiria kwa muda mrefu sana. Nikajibu.
“Hapana” Jibu langu nikadhani huenda lingemstua sana Rely lakini hakuwa na wasiwasi wowote. Alijilaza kitandani. Nikastuka! Kwanini aulize halafu nimjibu na kulala pasipo hata kuendeleza maongezi? Sikupata jibu. Nami ilinibidi nijilaze. Nikawa ni mwenye mawazo mno hata usingizi haukuja vizuri.

Usiku huu hatukuongeleshana lolote hadi palipokucha. Asubuhi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-17-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

946
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

197
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

192
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

188
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

183
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

136
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

133
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

120
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest