πππDRAMA OF LOVEππ.
part 38
Don't ever promise what you can't deliver π. Except your man and Dad,, everyone lies, sisi ni binadamu bwanaπ.. And the one who knows the meaning of enough is enough will always have enough π€ jifunze kuridhikaπ€... Naye ndama siku zote hawezi patikana kwenye miguu ya ng'ombe ndumeπ
, ebuka mahali penye hata ukikaa hapo kwa miaka na mikaka hautapa chochoteβ£οΈβ£οΈ..
Brianna πͺ,, for the second time she fooled me π.. shida ya huyu mtu ni nini lakn?? Nipo kitandani nakedπ. Baada ya kuniagiza nifanye hivo, yeye aliishia kwenda kwa sitting roomπ..
Niliskia akiwaambia et nmetaka kumrape akahepaπͺ.. "uongo wewe wacha zako Brianna" nilishout kutoka kwa roomπ.
HER: Back to the game guys,,, so Sir ulisema nipelekee huyo chizzy hii mali yangu akagueπ€π€ππ.. uzuri kupigwa rungu hainanga last seenπ€.
Esau: Whaaat,, who said that?? Okay don't go,, have you forgotten that you are still a student πͺπͺ.. si kulala na yeye, you just pretend as if you are interested in himπͺ..
BRIANNA: Kwan unanihurumia mmπ.. tutapewa mwili mpya huko mbinguni broπͺπͺ.. we nipe direction π€.
NJERI: Brianna you always joke about everything πͺ.. Esau is serious please..
BRIANNA: Sir nichungie huyu mtu sana,,, ooh sky umekamπ,,
ME: πͺπͺ
HER: What a good boy,, you are always hornyπ..
ME: Leave me alone πͺ.. so bro, deal imefika wap? She should be out there by nowππ..
HIM: Are you sure Brianna is still joking π€.. sleeping with that old man is too risky,, her education might be ruined πͺπͺ.. ama tuwache tuπ€.
ME: What about my future Sir π.. you said that they are planning to sell this house without my knowledge π.. where will I go??
BRIANNA: I was just joking,, nipeeni direction π.. I can't wait to taste everything I'll be cooking in the kitchenπ€π€..
NJERI: Which kitchenπ€.
BRIANNA: Si nikiwa house helper ni mm nitakuwa napikaπ€.. naonja kila kituπ..
Esau: Waaahππ.. Brianna Brianna π. But please usisahau mission yako,, make sure before mfungue shule uwe umechukua kila kituππ..
(Kidogo simu yake ikaitana)
HIM: Oh sorry guys,, it's my bossπ.. Hello Sir?? Okay am trying my best Sir, trust me ππ. Bye bye sirπ... (After hanging up the call)
BRIANNA: Sir can I ask you a question??
Esau: sureπ.
HER: This is the first time to see you talking on phone ππ.. don't you have niniπ..... Okay how old are you sir?
NJERI: π±π± Brianna yawa,,,,,he's police officer.
HER: Njeri can you do me a favor please ππ.
NJERI: sure I can,, what kind of favor do you want??
BRIANNA: Just help me to shut your mouth for only 5minsπͺπͺ..
MKUU: πππ, what kind of favor is thatπ..
NJERI: ππππ.
"Anyway am 26, why did you ask?" Esau answered.
BRIANNA: nothing sir,, ni venye sijakuona ukiongea na mtu yeyote kwa simuπ.. unajuwa wanasemanga et in every successful man there is a woman behind himπ€π€..
ME: π±π±π±. Brianna?
Esau: ππmy dear shika hiiπ. Enda alfu ukipata documents urudi nikwambie kila kitu sawaπ€..
HER: Ndafurahi sana,,, Sky take care please,, ujinga sitakiπͺπͺ..
Alipewa recorder ndo wakiongea na sisi pia tuskieπ.. baada ya kuenda Esau alisimama kisha akapumua kwa nguvuππ.."kwan huyu Brianna ni nani?" He asked π
"Ni mtoto wa mama,, anaturn 18 years next month π€.. after there, ataanza kuwakunywa legally sasaπππͺ,, pia ako na sistake" Brianna alieleza
Esau: NgΓ i kwan wewe hujaendaππ..
BRIANNA: ππmamboni waseeππ
NJERI: Brianna wewe endaπͺπͺ..
Kwetu na kwa babangu mdogo haikuwa mbali,,, it was only 50bob ukipanda gariππ.. Brianna alivaa nguo chafu, akajipaka vumbi ili aonekane maskini anayetafuta kaziππ.. after like 1hr ivi, tulianza kuskia akikonga mlangoπ..
VOICE: Hey baba Quinter,, come and look at this young girlπ.. she must be so hungryπ..
Baba mdogo: Hiyo hainihusu,, mwangalie vizuri anaweza kuwa mwiziπͺπͺ.. siku hizi tunajuwa venye huwa wanakuja kutuibiaπͺ..
Mkewe: When will you think about postive things for once baba Quinter πͺπͺ.. my daughter,, how can I help you β£οΈ..
BRIANNA: Njaa,,, njaaa,,, nakufa, na....ku....f.......
Mama Quinter: hey amka π±π±.. eh mungu wangu huyu amekuja kukufia kwanguππ... Baba Quinter tumpeleke hossy ak,, huyu ni kama tu mtoto wetuππ..
Baba mdogo: Nilikukataza kunililia ju ya vitu hazinisaidiiπͺπͺ.. nataka chakula mm nina njaaπ±.
Mama Quinter: Amka twende kwa nyumba dear,,, kuna chai ukunyweβ£οΈβ£οΈ.. usimsikize huyu shetaniπͺπͺ. Come come dearπ
Baba: Unaniita mm shetaniπ±.. kwa hiyo ulioleka kwa shetaniππ.. oh my goodness,, ebu niletee chakula,, leo niko na wageni ambao tuna biashara ya kuongea naoπ.. don't insult me before themπ
BRIANNA: asante sana kwa chai Aunt π.. mm napenda sana kufanya kazi,, wacha nikusaidie kuosha viomboππ.
Mama: β£οΈβ£οΈooh umechoka sana, utanisadia siku ingne dear,,,, nenda ukaoge kwanzaππ.
After Briana kuingia kwa bafuππ." Waaah guys huyu mbaba atanipenda kweliππ,,, itabidi nitumie njia ingne wasee"
Esau: Please jaribu tu venye utawezaβ£οΈππ.. Don't talk too much, watakupataπ
BRIANNA: Okay sir,, hope Sky is not eating something or someone πͺπͺ..
MKUU: noo he's eating even now,ππ. Don't worry π
BRIANNA: Namaanisha kumkula Njeri πͺ..
Esau akafaintππ..
ME: Don't worry dear,, please make sure unarud salamaππ.. siwezi fanya kitu mbayaππ.
NJERI: Be careful Brianna,, huyo mwanaume venye anaongea hakai mtu mzuriππ.
Mkuu akaamkaπ..
That day usku tulianza kuskia Brianna akiongea na boy mwengine,, actually alikuwa anakatiwa na boy alikuwa anafanya huko job(shamba boy)πͺπͺ..
BRIANNA: So brayo ulisema uko tu sure unanipenda ππ..
BRAYO: sana dear,, ulisema unaitwa aje??
BRIANNA: naitwa Natashaππ.. but wasee huniita ippyβ£οΈβ£οΈ.
BRAYO: ippy?? Wanamaanisha nini??
BRIANNA: Yan ipilisiππ.. napenda sana damu ya watu,, nakatanga sehemu nyeti, alafu piaaa π€π€ nini ingneeπ€.....
Tukaskia mtu ameanguka chiniπ..
Njeri: Huyu Brianna akujiwe tu na mungu sasaππ... Aaih,,,, This is too much nowπ.
Esau alikuwa amepiga magoti ju ya kuchekaπ
BRIANNA: Mbna mnacheka ivoπ.. si mtu amenipenda,, so namjaribu nione kama anataka kunikula tu ana ako serious πͺ.
ME: Hiyo imekuwa kumjaribuππ..
BRIANNA: See you guys mzae anakam(she whispered)
Babangu mdogo: Hey what's your nameπ±.
Brianna: naitwa Martha Uncleπ.
Baba: Nice name,, haya mazingira unayaona aje,,,
BRIANNA: Ni mazuri ,, nimeyapenda sana uncle π.
HIM: Prepare something for me to eat Martha π. Wow turn around?? Oh my goodness π what an Engel β£οΈ. How old are you??
Esau: say 22π.
Brianna: 32 uncle
Esau: π±π±π±,, ngΓ i π
NJERI: πππhuyu mtu ile vita atawekelewaπ..
Esau: don't laugh dear,, this is serious ππ
"32? Who are you, unataka kunichezea akili yangu wewe mtoto umetumwa na nani??" baba alisemaπ±
ME: kwishaπππ.. Brianna?? Brianna???
Esau: Guys we have to go thereπ±. Oh my God π..
BRIANNA: you have to go whereππ.. relax wasee, my name is Brianna πͺπͺ.. ameenda kwa hiyo room kuchukua pistolπ. Huyu mzee hajawahi kutana na shetani uso kwa usoπ±π±.
Baba: Now tell meππ. Who sent you here,, sahi hakuna mtu, nakuua then nakuzika sahi sahiππ.
Esau: ππ Brianna you are joking too much please,, be careful, pistol is so dangerous dear π be careful ππ
BRIANNA: You can't kill what is already dead .. hahahaaaaaa.. my mother lucifaaaaaa,, Lucifer. Uhuhuhuu,,, ulisema damu kiasi gani
Njeri akafaintπππ..
Baba: Lucifer π±. Uuuuuuuuuih nakufaaaaa,, please don't kill me,, you can kill my wife kama unataka damuπππ..
Brianna: Aaahahahaaaaa,, sooonga hapaaaaa,, leta hiyo pistol. Ahaaaahahaaa,, Lucifer my Lord,, my godess mother,, damu nmepataπππ.
Esau: akafaint tenaπππ..
Baba: shika shika shikaππππ±.. mbna unataka kuniua sasaππ. Sijafanya kitu mbayaπ±π±.
BRIANNA: Damuuuuu,,, daaaaamuuuu,,,, lala chini na ufunike macho,, Lucifer mwenyewe amefikaaaaa,,, aahahahahahaaaa,,, usiniangalieee,, usiniangalieee nakwambiaaaa...
After 15mins ivi,,
BRIANNA: Guys nmechukuwa kila kitu mpaka sindano ya kushona nguoππ. Nikujieni hapa kwa barabaraπͺπͺπ..
Tulitoka mbio ππ πββοΈ,, Esau hadi hana nguvu ya kukimbiaπ..
Tulimpata akiwa na kila kituππ..
BRIANNA: Mamboniπ. Uko aje Sir π.
Esau: ......
To be continued.... Part 39 coming.