Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

πŸ’•πŸ˜πŸ’–DRAMA OF LOVEπŸ’–πŸ˜. part 38

19th Jul, 2025 Views 62

πŸ’•πŸ˜πŸ’–DRAMA OF LOVEπŸ’–πŸ˜.
part 38

Don't ever promise what you can't deliver πŸ™. Except your man and Dad,, everyone lies, sisi ni binadamu bwanaπŸ˜‚.. And the one who knows the meaning of enough is enough will always have enough πŸ€— jifunze kuridhikaπŸ€—... Naye ndama siku zote hawezi patikana kwenye miguu ya ng'ombe ndumeπŸ™…, ebuka mahali penye hata ukikaa hapo kwa miaka na mikaka hautapa chochote❣️❣️..

Brianna πŸ˜ͺ,, for the second time she fooled me πŸ™†.. shida ya huyu mtu ni nini lakn?? Nipo kitandani naked😭. Baada ya kuniagiza nifanye hivo, yeye aliishia kwenda kwa sitting roomπŸ™†..

Niliskia akiwaambia et nmetaka kumrape akahepaπŸ˜ͺ.. "uongo wewe wacha zako Brianna" nilishout kutoka kwa room😎.

HER: Back to the game guys,,, so Sir ulisema nipelekee huyo chizzy hii mali yangu akagueπŸ€žπŸ€žπŸ‘πŸ†.. uzuri kupigwa rungu hainanga last seenπŸ€—.

Esau: Whaaat,, who said that?? Okay don't go,, have you forgotten that you are still a student πŸ˜ͺπŸ˜ͺ.. si kulala na yeye, you just pretend as if you are interested in himπŸ˜ͺ..

BRIANNA: Kwan unanihurumia mmπŸ˜‚.. tutapewa mwili mpya huko mbinguni broπŸ’ͺπŸ’ͺ.. we nipe direction πŸ€—.

NJERI: Brianna you always joke about everything πŸ˜ͺ.. Esau is serious please..

BRIANNA: Sir nichungie huyu mtu sana,,, ooh sky umekamπŸ˜‚,,

ME: πŸ˜ͺπŸ˜ͺ

HER: What a good boy,, you are always hornyπŸ˜‚..

ME: Leave me alone πŸ˜ͺ.. so bro, deal imefika wap? She should be out there by nowπŸ™πŸ™..

HIM: Are you sure Brianna is still joking πŸ€”.. sleeping with that old man is too risky,, her education might be ruined πŸ˜ͺπŸ˜ͺ.. ama tuwache tuπŸ€”.

ME: What about my future Sir 😭.. you said that they are planning to sell this house without my knowledge 😭.. where will I go??

BRIANNA: I was just joking,, nipeeni direction πŸ™.. I can't wait to taste everything I'll be cooking in the kitchenπŸ€—πŸ€—..

NJERI: Which kitchenπŸ€”.

BRIANNA: Si nikiwa house helper ni mm nitakuwa napikaπŸ€—.. naonja kila kitu😍..

Esau: WaaahπŸ™†πŸ™†.. Brianna Brianna πŸ˜‚. But please usisahau mission yako,, make sure before mfungue shule uwe umechukua kila kituπŸ™πŸ™..

(Kidogo simu yake ikaitana)
HIM: Oh sorry guys,, it's my bossπŸ™.. Hello Sir?? Okay am trying my best Sir, trust me πŸ™πŸ™. Bye bye sirπŸ™... (After hanging up the call)

BRIANNA: Sir can I ask you a question??

Esau: sureπŸ™.

HER: This is the first time to see you talking on phone πŸ™ˆπŸ™ˆ.. don't you have niniπŸ™ˆ..... Okay how old are you sir?

NJERI: 😱😱 Brianna yawa,,,,,he's police officer.

HER: Njeri can you do me a favor please 😍😍.

NJERI: sure I can,, what kind of favor do you want??

BRIANNA: Just help me to shut your mouth for only 5minsπŸ˜ͺπŸ˜ͺ..

MKUU: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, what kind of favor is thatπŸ˜‚..

NJERI: 😭😭😭😭.

"Anyway am 26, why did you ask?" Esau answered.

BRIANNA: nothing sir,, ni venye sijakuona ukiongea na mtu yeyote kwa simuπŸ™ˆ.. unajuwa wanasemanga et in every successful man there is a woman behind himπŸ€—πŸ€—..

ME: 😱😱😱. Brianna?

Esau: πŸ™†πŸ™†my dear shika hiiπŸ™. Enda alfu ukipata documents urudi nikwambie kila kitu sawaπŸ€—..

HER: Ndafurahi sana,,, Sky take care please,, ujinga sitakiπŸ˜ͺπŸ˜ͺ..

Alipewa recorder ndo wakiongea na sisi pia tuskieπŸ™.. baada ya kuenda Esau alisimama kisha akapumua kwa nguvuπŸ˜‚πŸ˜‚.."kwan huyu Brianna ni nani?" He asked πŸ˜‚

"Ni mtoto wa mama,, anaturn 18 years next month πŸ€—.. after there, ataanza kuwakunywa legally sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ͺ,, pia ako na sistake" Brianna alieleza

Esau: NgΓ i kwan wewe hujaendaπŸ™†πŸ™†..

BRIANNA: πŸ˜‚πŸ˜‚mamboni wasee😎😎

NJERI: Brianna wewe endaπŸ˜ͺπŸ˜ͺ..

Kwetu na kwa babangu mdogo haikuwa mbali,,, it was only 50bob ukipanda gariπŸ™πŸ™.. Brianna alivaa nguo chafu, akajipaka vumbi ili aonekane maskini anayetafuta kaziπŸ™πŸ™.. after like 1hr ivi, tulianza kuskia akikonga mlangoπŸ™†..

VOICE: Hey baba Quinter,, come and look at this young girl😭.. she must be so hungryπŸ™†..

Baba mdogo: Hiyo hainihusu,, mwangalie vizuri anaweza kuwa mwiziπŸ˜ͺπŸ˜ͺ.. siku hizi tunajuwa venye huwa wanakuja kutuibiaπŸ˜ͺ..

Mkewe: When will you think about postive things for once baba Quinter πŸ˜ͺπŸ˜ͺ.. my daughter,, how can I help you ❣️..

BRIANNA: Njaa,,, njaaa,,, nakufa, na....ku....f.......

Mama Quinter: hey amka 😱😱.. eh mungu wangu huyu amekuja kukufia kwangu😭😭... Baba Quinter tumpeleke hossy ak,, huyu ni kama tu mtoto wetuπŸ™πŸ™..

Baba mdogo: Nilikukataza kunililia ju ya vitu hazinisaidiiπŸ˜ͺπŸ˜ͺ.. nataka chakula mm nina njaa😱.

Mama Quinter: Amka twende kwa nyumba dear,,, kuna chai ukunywe❣️❣️.. usimsikize huyu shetaniπŸ˜ͺπŸ˜ͺ. Come come dearπŸ™

Baba: Unaniita mm shetani😱.. kwa hiyo ulioleka kwa shetaniπŸ˜‚πŸ˜‚.. oh my goodness,, ebu niletee chakula,, leo niko na wageni ambao tuna biashara ya kuongea naoπŸ™.. don't insult me before themπŸ™

BRIANNA: asante sana kwa chai Aunt πŸ™.. mm napenda sana kufanya kazi,, wacha nikusaidie kuosha viomboπŸ™πŸ™.

Mama: ❣️❣️ooh umechoka sana, utanisadia siku ingne dear,,,, nenda ukaoge kwanzaπŸ™πŸ™.

After Briana kuingia kwa bafuπŸ™πŸ™." Waaah guys huyu mbaba atanipenda kweliπŸ™†πŸ™†,,, itabidi nitumie njia ingne wasee"

Esau: Please jaribu tu venye utawezaβ£οΈπŸ™πŸ™.. Don't talk too much, watakupataπŸ™

BRIANNA: Okay sir,, hope Sky is not eating something or someone πŸ˜ͺπŸ˜ͺ..

MKUU: noo he's eating even now,😘😘. Don't worry πŸ™

BRIANNA: Namaanisha kumkula Njeri πŸ˜ͺ..

Esau akafaintπŸ˜‚πŸ˜‚..

ME: Don't worry dear,, please make sure unarud salama😘😘.. siwezi fanya kitu mbayaπŸ™πŸ™.

NJERI: Be careful Brianna,, huyo mwanaume venye anaongea hakai mtu mzuriπŸ™†πŸ™†.

Mkuu akaamkaπŸ˜‚..

That day usku tulianza kuskia Brianna akiongea na boy mwengine,, actually alikuwa anakatiwa na boy alikuwa anafanya huko job(shamba boy)πŸ˜ͺπŸ˜ͺ..

BRIANNA: So brayo ulisema uko tu sure unanipenda 😘😘..

BRAYO: sana dear,, ulisema unaitwa aje??

BRIANNA: naitwa NatashaπŸ˜‚πŸ˜‚.. but wasee huniita ippy❣️❣️.

BRAYO: ippy?? Wanamaanisha nini??

BRIANNA: Yan ipilisi😘😘.. napenda sana damu ya watu,, nakatanga sehemu nyeti, alafu piaaa πŸ€”πŸ€” nini ingneeπŸ€”.....

Tukaskia mtu ameanguka chiniπŸ˜‚..

Njeri: Huyu Brianna akujiwe tu na mungu sasaπŸ˜‚πŸ˜‚... Aaih,,,, This is too much nowπŸ˜‚.

Esau alikuwa amepiga magoti ju ya kuchekaπŸ˜‚

BRIANNA: Mbna mnacheka ivoπŸ˜‚.. si mtu amenipenda,, so namjaribu nione kama anataka kunikula tu ana ako serious πŸ’ͺ.

ME: Hiyo imekuwa kumjaribuπŸ˜‚πŸ˜‚..

BRIANNA: See you guys mzae anakam(she whispered)

Babangu mdogo: Hey what's your name😱.

Brianna: naitwa Martha UncleπŸ™.

Baba: Nice name,, haya mazingira unayaona aje,,,

BRIANNA: Ni mazuri ,, nimeyapenda sana uncle πŸ™.

HIM: Prepare something for me to eat Martha 😘. Wow turn around?? Oh my goodness 😍 what an Engel ❣️. How old are you??

Esau: say 22πŸ™.

Brianna: 32 uncle

Esau: 😱😱😱,, ngài 😭

NJERI: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚huyu mtu ile vita atawekelewaπŸ˜‚..

Esau: don't laugh dear,, this is serious πŸ™†πŸ™†

"32? Who are you, unataka kunichezea akili yangu wewe mtoto umetumwa na nani??" baba alisema😱

ME: kwisha😭😭😭.. Brianna?? Brianna???

Esau: Guys we have to go there😱. Oh my God πŸ™†..

BRIANNA: you have to go whereπŸ˜‚πŸ˜‚.. relax wasee, my name is Brianna πŸ’ͺπŸ’ͺ.. ameenda kwa hiyo room kuchukua pistolπŸ˜‚. Huyu mzee hajawahi kutana na shetani uso kwa uso😱😱.

Baba: Now tell me😭😭. Who sent you here,, sahi hakuna mtu, nakuua then nakuzika sahi sahi😭😭.

Esau: πŸ™†πŸ™† Brianna you are joking too much please,, be careful, pistol is so dangerous dear 😭 be careful πŸ™πŸ™

BRIANNA: You can't kill what is already dead .. hahahaaaaaa.. my mother lucifaaaaaa,, Lucifer. Uhuhuhuu,,, ulisema damu kiasi gani

Njeri akafaintπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..

Baba: Lucifer 😱. Uuuuuuuuuih nakufaaaaa,, please don't kill me,, you can kill my wife kama unataka damu😭😭😭..

Brianna: Aaahahahaaaaa,, sooonga hapaaaaa,, leta hiyo pistol. Ahaaaahahaaa,, Lucifer my Lord,, my godess mother,, damu nmepataπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Esau: akafaint tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..

Baba: shika shika shika😭😭😭😱.. mbna unataka kuniua sasa😭😭. Sijafanya kitu mbaya😱😱.

BRIANNA: Damuuuuu,,, daaaaamuuuu,,,, lala chini na ufunike macho,, Lucifer mwenyewe amefikaaaaa,,, aahahahahahaaaa,,, usiniangalieee,, usiniangalieee nakwambiaaaa...

After 15mins ivi,,

BRIANNA: Guys nmechukuwa kila kitu mpaka sindano ya kushona nguoπŸ˜‚πŸ˜‚. Nikujieni hapa kwa barabaraπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ˜‚..

Tulitoka mbio πŸƒπŸƒ πŸƒβ€β™€οΈ,, Esau hadi hana nguvu ya kukimbiaπŸ˜‚..

Tulimpata akiwa na kila kituπŸ™πŸ™..

BRIANNA: MamboniπŸ˜‚. Uko aje Sir πŸ˜‚.

Esau: ......

To be continued.... Part 39 coming.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ’•πŸ˜πŸ’–DRAMA OF LOVEπŸ’–πŸ˜. part 38  >>> https://gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-38
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
karibu msagala furniture
karibu msagala furniture

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MKEKA 03

majario rewards 100 Comments 0
 

.BABAMKWE epsd 19.

majario rewards 100 Comments 0
 

ALINIINGIA BILA IDHINI

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE..17..18

msagala rewards 100 Comments 0
 

bei sawa na bule

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 16

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest