Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
Gonga94 · Stories

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kusamehe haraka hivo kwangu ni Big noo mpaka nihakikishe umeteseka na umejifunza ndo nitakusamehe..

Hizo za umekosea jana leo nakusamehe huo ujinga sifanyi😒😒😒hizo misamaha ya hara haraka utasamehewa na mamako siyo mimi..

Hayo niliyawaza kimoyomoyo na muda huo Rouhy alikuwa ananibembeleza nimsamehe lakini haikuwezekana...

Nilimwambia aendelee kula ujana siku akitosheka mengine yataendelea...

Yani nikusamehe kirahisi kesho ukachiti tena😒😒huu msamaha utauhangaikia miaka na miaka mshenzi wewe😒

Rouhy alivoona msamaha imeshindikana alinirudishia simu ila akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu kilichotokea..

Nilimkwapua tu simu nikamuacha aongee na hewa huko chumbani😒 alikaa huko chumbani akawaza weee baada ya hapo akaenda Jikon akakuta chakula alichonipikia asubuhi kiko vilevile😂😂

Alichoka😝😝😝alikuja kuuliza kwanini sijala nikamwambia nilifikilia lbda umempikia lolo😝😝Rouhy aliumiaaaa...

Akaniambia siyo vizuri hivo unavonifanyia Maya I already said sorry please forgive sweetheart 🥹

Sijawahi hata kumfanya tangu nikuoe she is my ex girlfriend believe what I told you honey I love youuuuuu Maya 🧎🏻😰

Sema kubembelezwa na mtu unayempenda ni kutamu nyieeee😝😝kuna time unatamani unune tu bila sababu ili akubembeleze🙈

The way Rouhy alikuwa ananipigia magoti na kuniomba nimsamehe vile alikuwa akiniambia Maya I love you na ile sauti kama analia nilikuwa najisikia huruma sana juu yake🙈

Sikuonesha kama namhurumia😏😏bado niliendelea kukaza😝😝😝hakula hiyo siku mtoto wa mama mkwe🤣🤣🤣hata kazini hakurudi aliwadanganya anaumwa tumbo anaharisha🤣

Licha ya hayo yote bado nampenda tena sana🙈🙈 yani nampenda mpaka sielewi...

Hope ataacha ujinga maana akirudia kosa kama hili sitojali kitu chochote nitamuacha😞😞..

Rouhy alipoona bado nina hasira ilibidi tu akae kimya😓😓nilimuacha pale sebleni nikaenda chumbani

Nilizikuta zile zawadi alizoniletea nikasema ngoja nizifungue niangalie🙈🙈zawadi ilokuwemo kwenye box ilikuwa cake hahahaaaaa nilishangaa

Cake ilikuwa imeandikwa Dear wife I'm sorry...

niliiweka pembeni nikafungua la pili nikakuta kuna pesa na maua yameandikwa Maya i love you💃🏼💃🏼💃🏼

Pesa zote hizi ni za kwangu??. Nilijiuliza😂😂yani ni mipesa jamani nyekundu nyekundu nyingi vibunda vya kutosha😂

ndo maana wanawake wa matajiri wanachitiwa bado wapo tu kumbe mambo yenyewe ndo haya😂

Zawadi ilonishtua zaidi ni funguo zilizokuwemo kwenye kibox fulani hivi kidogo dogo ni funguo kama za gari vile🤔🤔

Nilitamani nikamuulize hizi funguo ni za nini badae nikakumbuka nimemnunia😂😂😂😂ilibidi nizirudishe kwenye kibox niendelee ku unbox zawadi nyieeeeee💃🏼💃🏼💃🏼

MaPerfume manguo machokuleti zawadi zilikuwa nyingi afu zile ninazozipenda🥰🥰🥰

Nilimaliza kuzikagua nikazitunza kabatini nikasema ngoja nijilaze zangu nipumzike🥰🥰

Nilijiegesha kitandani nikalala nilikuja shtuka saa 12 jioni nikaamka kucheki kwenye simu kuna missed call kibao😳😳😳

Afu namba ni ngeni mmhhh nikampigia huyo mtu nijue ni nani ana shida gani????

Simu ilipokelewa sauti ni ya mkaka nyooo niliogopa nikakata simu😂😂😂 shindwa pepo mi ni mke wa mtu😂😂😂

Nimemaliza kukata huyo mtu akapiga tena nikaogopa kupokea akuu😂 simu iliita sana tu lakini sikupokea...

Huyo mkaka alijiongeza akatuma msg hello madame sorry mimi ni mtu wa Derivery kuna mzigo wako nimepewa nikuletee toka upokee tuko nje ya nyumba yako hapa😳😳

Mzigo😳😳😳 mzigo gani??? Nani kawapa🙄

Itaendeleaaaaaaaaa

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


profile
majario 25 Aug 2025 17:25
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100" >>> https://gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-18-by-babie-love-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war
profile
mjukuu 25 Aug 2025 18:56
muendelezo
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"



Kusamehe haraka hivo kwangu ni Big noo mpaka nihakikishe umeteseka na umejifunza ndo nitakusamehe..

Hizo za umekosea jana leo nakusamehe huo ujinga sifanyi😒😒😒hizo misamaha ya hara haraka utasamehewa na mamako siyo mimi..

Hayo niliyawaza kimoyomoyo na muda huo Rouhy alikuwa ananibembeleza nimsamehe lakini haikuwezekana...

Nilimwambia aendelee kula ujana siku akitosheka mengine yataendelea...

Yani nikusamehe kirahisi kesho ukachiti tena😒😒huu msamaha utauhangaikia miaka na miaka mshenzi wewe😒

Rouhy alivoona msamaha imeshindikana alinirudishia simu ila akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu kilichotokea..

Nilimkwapua tu simu nikamuacha aongee na hewa huko chumbani😒 alikaa huko chumbani akawaza weee baada ya hapo akaenda Jikon akakuta chakula alichonipikia asubuhi kiko vilevile😂😂

Alichoka😝😝😝alikuja kuuliza kwanini sijala nikamwambia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-18-by-babie-love-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
 I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

545
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

491
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

456
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

371
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

360
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

219
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

205
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

187
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

133

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.38K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest