Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
Gonga94 ยท Stories

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.

Baada ya muda kufika siku hiyo nilipatwa na uchungu nikapelekwa hospital

Nilifanikiwa kujifungua watoto mapacha wazuri wenye afya ni watoto wakike warembo

Tuliruhusiwa kuludi nyumbani Mama alikuwa msaada kwangu

Mpaka nilimaliza arobaini baba akasema niludi kwangu

Nikaongea na mama kisha mama aliniunga mkono niende dar kumtafuta Chris

Hivyo alinipa kiasi cha pesa kidogo nikaenda na wanangu hadi stendi nikapanda basi hadi dar

Nilipofika nilichukuwa tax hadi nilipokuwa nikikaa bahati mbaya sikumkuta Chris

Niliambiwa aliondoka miezi tisa sasa

Nikaulizia alipo sasa niliambiwa kuwa hawajui hivyo niliondoka na kwenda chuo alichokuwa anasoma

Nikamuulizia wakaniambia tayari anafanya fild hivyo nimsubili amalize

Alitoka fild alinitizama kisha akaniambia kwasasa twende nyumbani kwanza

Alinichukua kwenye gari yake hadi nyumbani kwao nilipokelewa watoto

Nikakaribishwa sebreni kisha Chris alienda kuoga na mimi nililetewa juice pale sebreni

Baada ya muda Chris alitoka akaniambia twende tukazungumze kwenye bustani

Nilimfuata akaniambia haya niambie nini umefuata ukiwa na watoto alafu nimke wa watu wewe

Nilimjibu kuwa kwanza kabisa hawa watoto niwako wewe niliozeshwa nikiwa na mimba ya miezi mitatu tayari

Tangu nimeolewa hadi leo ni miezi saba

Kama utakuwa hujaoa na kama bado nipo moyoni mwako nipo hapa kwaajili yako na wanangu

Chris alistuka alimuita mdada awalete watoto maana hakuwatizama hata

Waliletwa watoto alisogea na kuwatizama vizuri

Kisha akamuita bibiake bibi tafadhari naomba njoo

Bibi alikuja na kumuonyesha watoto na kumuuliza hawa niwetu au

Bibi alipo watizama maramoja tu akajibu niwetu mjukuu wangu hawa wamekufanana wewe mtupu

Chris alipiga kelele za furaha woooo????asante mungu kisha akanigeukua na kunikumbatia

Akaniuliza majina yao nilimjibu sikuwapa mimi majina

Nilikuwa nataka utaje mwenyewe majina kwakuwa niwanao

Chris akasema mpigieni baba ataje majina ya wajukuu zake

Ilipigwa sim na kuwekwa sauti akaambiwa mweshimiwa unawajukuu mapacha wakike hivyo tunangoja utaje majina

Waziri alifurahi sana na kuuliza wanani hao watoto mbona Chris aligoma kuoa kitambo

Walimjibu yule binti aliekuwa anaishinae kule uswahilini

Hivyo Waziri alifurahi kusikia na kuwaambia nakuja sio muda nitatoaajina sawa kwanza waandalieni vizuri

Wakaribishwe na pati hapo nyumbani kwao

Endelea kufuatilia...........
Tangazo - Watumiaji wapendwa, hongera!? Asante kwa kutuamini! Tunakupa nafasi ya kushinda hadi 2,300,000 TZS
Watumiaji wapendwa, hongera!? Asante kwa kutuamini! Tunakupa nafasi ya kushinda hadi 2,300,000 TZS
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.

Baada ya muda kufika siku hiyo nilipatwa na uchungu nikapelekwa hospital

Nilifanikiwa kujifungua watoto mapacha wazuri wenye afya ni watoto wakike warembo

Tuliruhusiwa kuludi nyumbani Mama alikuwa msaada kwangu

Mpaka nilimaliza arobaini baba akasema niludi kwangu

Nikaongea na mama kisha mama aliniunga mkono niende dar kumtafuta Chris

Hivyo alinipa kiasi cha pesa kidogo nikaenda na wanangu hadi stendi nikapanda basi hadi dar

Nilipofika nilichukuwa tax hadi nilipokuwa nikikaa bahati mbaya sikumkuta Chris

Niliambiwa aliondoka miezi tisa sasa

Nikaulizia alipo sasa niliambiwa kuwa hawajui hivyo niliondoka na kwenda chuo alichokuwa anasoma

Nikamuulizia wakaniambia tayari anafanya fild hivyo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

9.88K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.15K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.48K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.27K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.07K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.02K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.99K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.94K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.91K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest