VYOTE NDANI GONGA94
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
Akaniambia Irene nimefurahi sana huwezi amini najihisi kunakitu kizuri sana mwilini mwangu kimeingia
Naomba niambie nini kupe chochote utakachosema nitakupa
Nikamwambia kuwa usijali Asante wala usinipe chochote
Kwasasa niachetu nijisomee maana kunamitihani kesho
Chris akamwambia sawa nakuacha ila wacha niende mpenzi
Aliondoka akiwa na furaha sana nilibaki nikimshangaa
Nikaona niajabu sijui alifurahia nini kwakuwa sijui kitu chochote kuhusu mapenzi hivyo sikuona cha maana
Niliendelea na kusoma kwangu
Baada nilipomaliza kusoma nilienda bwenini kujipumzisha nilikuta kwenye kutanda changu kuna zawadi nyingi
Nikawauliza wenzangu nivitu gani hivi na vyanani mbona vipo kitandani kwangu
Alikuja Najma na kuniambia kuwa vitu hivi nivyako kutoka kwa Chris
Nilijiskia vibaya nikavikusanya na kuviweka pembeni
Ilikuwa vitu vizuri vya thamani
Kulikuwa na duvet na shuka zake sleeps viatu vizuri sana saa ya mkononi pajama na cheni ya gold
Najma alinifuata na kuniambia nakuona hauko sawa kabisa hembu jitulize
Nilimjibu kuwa nahofu watu watanitafsili nini sasa Najma
Najma akamjibu usiwaone hivyo kilamtu anamajanga yake shukulu mungu wewe mwanaume anae kutaka kila mtu anamtolea macho
Kwanza anahela anauwezo anaogopeka shule nzima hadi walim wanasujudu kwake kuwa na amani
Nikajituliza kidogo nikaanza kuelewa kisha nilivichukuwa vile vitu na kuvihifadhi vizuri
Niliingia kitandani nikalala hatimaye siku nyingine ilifika
Niliamka na kuoga na kujianda kwenda kwenye mtihani
Tulifanya mitihani na baada ya hapo nilikuwa nikiwaza matokeo tuu
Hivyo nilikuwa niko bize na vitu vya masomi ila Chris alikuwa ananiwazia mimituu
Majibu yalikuja kutoka nilitoboa kama kawa
Hivyo Chris aliniangalizi zawadi
Aliniomba tukale pamoja chajioni
Yaani tukae meza moja nayeye niogopa ila nilijikaza kama alivyoniambia najma
Nilikaa meza moja na Chris na alkkuwa ana special dayati
Tulikula kuku wakienyeji na chips
Alikuwa akiongea Irene kipenzi changu nimefurahi kuwa wako wamoyo hivyo hakika hutojutia kwa uamuzi ulio uchukua kwangu
Nilimwitikia na baada ya hapo nilimwambia likizo imefika mimi kwetu ni morogoro wewe wapi
Chris akajibu mimi ni Dar-es-Salaam ila sio mbali na morogoro usihofu kuhusu hilo nitajua namna yakulizingatia
Nilimwitikia sawa ila naogopa sana nyumbani hawapaswi kujua kitu
Akaitikia sawa wala sitoluhusu wajue
Baada ya chakula nilienda bwenini kulala kesho tufunga shule
Endelea kufuatilia.....
FULL 1000
HALOPESA 0627949520 bahati
WhatsApp 0627949520
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
NI WANGU PEKEANGU epsd 20
Waliingia maharusi kisha walifunga ndoa na kuelekea kupiga picha baada ya picha walienda ukumbini watu walifurahi sana ...
NI WANGU PEKEANGU epsd 19.
Hatimaye muda wa maandalizi ya harusi umefika walitoka kwenda kutafuta shera ya harusi mapambo nakila kitu na yeye alia...
NI WANGU PEKEANGU epsd 18.
Walifirahi mnoo wazazi wa Vanessa sana walimpenda mnoo Franco walianza maandalizi ya harusi ya mrembo wao kwani furaha ...
NI WANGU PEKEANGU epsd 17.
Walimtafuta sana bila mafanikio mama wakati amekaa sebureni kachoka siku yatatu mdada wakazi alikuja na barua nimeiokot...
NI WANGU PEKEANGU epsd 16.
Siku ya Franco kumtambulisha mpenzi wake ilifika na waliandaa chakula chajioni wakamkalibisha chaajabu walimuona Vaness...
NI WANGU PEKEANGU epsd 15
Franco alimwambia Fred hili sio kosa lake naomba ongea namimi Fred alijibu nataka kuongea na Vanessa sihitaji kuzungumz...
NI WANGU PEKEANGU epsd 14.
Muda ulifika Franco alienda kumpitia mpenzi Vanessa na kumpeleka sehemu kuenjoy kidogo ili asiboreke naile msg aliotumi...
NI WANGU PEKEANGU epsd 13.
Walianza safari kuelekea nyumbani kwa kina Vanessa walifika nyumbani nakisha waliagana kwa mabusu na romance zakutosha ...
NI WANGU PEKEANGU epsd 12.
Walianza safari kuelekea dar walipanda ndege nakuwasili dar essalam baada ya muda walichukua gari mpaka nyumbani kwa ki...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
Akaniambia Irene nimefurahi sana huwezi amini najihisi kunakitu kizuri sana mwilini mwangu kimeingia
Naomba niambie nini kupe chochote utakachosema nitakupa
Nikamwambia kuwa usijali Asante wala usinipe chochote
Kwasasa niachetu nijisomee maana kunamitihani kesho
Chris akamwambia sawa nakuacha ila wacha niende mpenzi
Aliondoka akiwa na furaha sana nilibaki nikimshangaa
Nikaona niajabu sijui alifurahia nini kwakuwa sijui kitu chochote kuhusu mapenzi hivyo sikuona cha maana
Niliendelea na kusoma kwangu
Baada nilipomaliza kusoma nilienda bwenini kujipumzisha nilikuta kwenye kutanda changu kuna zawadi nyingi
Nikawauliza wenzangu nivitu gani hivi na vyanani mbona vipo kitandani kwangu
Alikuja Najma na kuniambia kuwa...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd-5
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama
Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd
Maoni