Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
Gonga94 · Stories

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.

WhatsApp 0627949520

Hatimae sikuiliofuatia ya kufunga shule ilifika tulifunga shule na kuingia kwenye magari kuludishwa nyumbani

Niliingia kwenye gari ya kwenda moro tukiwa njiani tayari safari imeanza

Ilikuja gari ya wazili kwa mbele yetu ikaisimamisha gari yetu na baada ya hapo alishuka Chris na kuniomba mimi nishuke kwenye hii gari

Nikamwambia kwanini mbona

Aliniambia twende tukupeleke na gari yangu

Nilikuwa naona aibu ila sikuwa na njia nilishuka na kuingia kwenye gari yao

Tulienda tukafika sehem tulisimama twende tukale chakala nilikuwa sina hela tena

Ila niliambiwa na Chris usiogope mimi sinimpenzi wako

Niliitikia sawa tulishuka na kuagiza nilichukuwa nyama choma na viazi yaani chips na soda nikakaa na kula na Chris pia alichukua

Tulipomaliza tukaendelea na safari tulifika moro mapema tuu na alinipeleka mpaka karibu na nyumbani

Nilishuka Chris aliniminyia mkononi hela sikuweza kuitazama pale pale aliniwekea na sim kwenye begi langu smartphone

Kisha aliondoka nami niliweka nilichopewa kwenye begi kisha nikaingia nyumbani

Milipokelewa na mama vizuri alifurahi sana na alizidi kufurahi hasa nilipo muonyesha matokeo

Alinikaribisha vizuri akasema nenda uoge kisha nakuandalia chakula sawa

Nilimuitikia sawa mama

Nilipofika chumbanu kwangu nikasema nitizame yule kanipa shilingi ngapi

Nipozitoa ilikuwa ni laki mbili niliogopa

Nikajisemea hivi huyu hela nyingi hivi jamani mmh sijui zanini

Nikawa nafungua begi niweke vitu vyanhu vizuri

Nikakuta box la sim kulifungua ilikuwz smartphone niliogopa ila nilijiambia ndio mapenzi haya hebu niione

Mala ikaita nikaipokea haloo

Alikuwa Chris akajibu niambie kipenzi changu umeipata zawadi yako kwenye begi nilijua nikikupa ungekataa

Nikamjibu kwanini umenipa hii ungeachatuu

Chris unavyodhani ningehitaji kuongea nawewe ningekupata wapi sasa nilijuatu ungekataa

Nikamjibu basi asante nitajitahidi niifiche wasiione na kingine mbona umenipa pesa nyingi hivyo eeh

Chris akajibu kuwa mpenzi wangu Irene sipendi upate tabu wewe ni msichana utakuwa namahitaji mengi hivyo sipendi upate tabu

Nikamjibu hapana mimi sio wahivyo sina mayumizi makubwa kihivyo

Chris huwezi kuniambia nawajua wasichana bwana mimi pia ninadada

Nilimuelewa nikamjibu ok asante Chris

Akajibu asante kushukulu kipenzi changu

Nikamuuliza mmefika wapi sasa

Akajibu yupo njiani bado ila baada ya lisaa atakuwa dar

Nikamwambia ngoja nioge kisha nikale nitakupigia nikisha kuwa free maana mamaangu ananisubili

Akajibu ok sawa baadae

Nilimjibu ok baadae

Nilienda kuoga na baada ya hapo nilivaa na kwenda kula chakula

Baba alikuwa tayari karudi wote walifurahi mnoo na tulikula pamoja chakula

Kisha nilipomaliza nilienda chumbani kupumzika

Nilitizama muda nikaona lisaa nimesha pita nikamtafuta Chris je wamefika

Alipokea sim na kuniambia kuwa asante kwakunijali ndio nipo nyumbani sasa kipenzi

Vipi umesha kula chakula

Nilimjibu ndio nimesha kula vipi wewe

Chris nilipita mgahawani nimekula ndio nikaja nyumbani mama hayupo na baba pia hayupo

Nikamuuliza upo na nani sasa

Chris akajibu kuwa kuna bibi na bamkubwa na ndugu wengine na yaya wangu

Endelea kufuatilia...............

FULL 1000

HALOPESA 0627949520 bahati

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.

WhatsApp 0627949520

Hatimae sikuiliofuatia ya kufunga shule ilifika tulifunga shule na kuingia kwenye magari kuludishwa nyumbani

Niliingia kwenye gari ya kwenda moro tukiwa njiani tayari safari imeanza

Ilikuja gari ya wazili kwa mbele yetu ikaisimamisha gari yetu na baada ya hapo alishuka Chris na kuniomba mimi nishuke kwenye hii gari

Nikamwambia kwanini mbona

Aliniambia twende tukupeleke na gari yangu

Nilikuwa naona aibu ila sikuwa na njia nilishuka na kuingia kwenye gari yao

Tulienda tukafika sehem tulisimama twende tukale chakala nilikuwa sina hela tena

Ila niliambiwa na Chris usiogope mimi sinimpenzi wako

Niliitikia sawa tulishuka na kuagiza nilichukuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

947
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

774
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

630
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

600
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

140
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

87
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.5K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest