Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
Gonga94 · Stories

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.

WhatsApp 0627949520

Nilikuwa nalifikilia lile busu la mdomoni kutoka kwa Chris lilikuwa lakipekee sana

Nilikaa pekeangu nikiwaza alikuja najma hata sikumuona maana nilizama kwenye hisia tam sana nikawa natabasam???? pekeangu

Najma akaniuliza kipenzi umekuja tuu lakini tayari unaonekana unakitu kichwani kwako

Nikastuka nikamwambia hapana sinakitu kipenzi

Najma akaniambia upo nami ila kihisia haupo hapa niambie ukweli

Nilicheka tuu nikamwambia najma nahisia tam sana ambayo imeniingia inanifanya nitabasam pekeangu

Najma akaniuliza inahusiana na Chris sio

Nilitabasam tuu nikamwambia najma hakika sinahaja yakukuficha kipenz

Nahisi ninampenda tena sana

Najma alifurahi na kuniambia sasa huko ndio kupenda shogaangu

Jiachie kwa Chris deka muonyeshe haswa uta enjoy mwenyewe

Nilimkumbatia najma na baada ya hapo tulielekea kantini kula chakula muda wa chakula cha mchana ulifika

Tulipo maliza kula tuliludi bwenini nilichukua sim nikamtumia msg moja Chris

Nikamwambia kuwa Chris hisia hizi sijawa kutana nazo tangu nazaliwa hivyo nahisi nakupenda kupitiliza

Nakuomba usije niumiza maana ukiniumiza utakuwa umeumiza hisia nzuri tam kama hizi zikibadilika zitakuwa mbaya mnoo

Chris alinijibu sipo tayari kuona zinakuwa mbaya mno nitazilinda kama mboni ya macho yangu sawa kipenzi changu

Nilimjibu asante baby

Chris alifurahi kuitwa baby akaniuliza upo wapi Irene

Nilimjibu nipo bwenini akaniambia tukutane getini tayari nimesha ongea na mlinzi vaa nguo za kawaida

Nilivaa suluali ya jinz na tishet nilibeba kibegi mgongoni

Nilienda mpaka getini nikaruhusiwa nilivyotoka nilikuta tax ina nisubili nikaingia

Alikuwepo na Chris nikamuuliza tunaenda wapi akaniambia sehem tulia

Tulienda mpaka sehem moja ilikuwa tulivu alishuka dereva akaingia ndani na baada ya muda alikuja na kutuambia mnaweza kuingia

Tulishuka ila Chris alimuambia ampe namba atamstua ili atufuate tena

Tuliingia hadi ndani kulikuwa na vyumba vyumba

Nikamuuliza wapi humu

Alinijibu tulia nataka tukae pekeetu mpenzi

Nilitulia maana nilikuwa tayari namuamini kutokana na ninavyo mpenda

Tuliingia kwenye chumba kimoja kilikuwa kizuri kina full kipupwe

Endelea kufuatilia................

FULL 1000

HALOPESA 0627949520 bahati

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.

WhatsApp 0627949520

Nilikuwa nalifikilia lile busu la mdomoni kutoka kwa Chris lilikuwa lakipekee sana

Nilikaa pekeangu nikiwaza alikuja najma hata sikumuona maana nilizama kwenye hisia tam sana nikawa natabasam???? pekeangu

Najma akaniuliza kipenzi umekuja tuu lakini tayari unaonekana unakitu kichwani kwako

Nikastuka nikamwambia hapana sinakitu kipenzi

Najma akaniambia upo nami ila kihisia haupo hapa niambie ukweli

Nilicheka tuu nikamwambia najma nahisia tam sana ambayo imeniingia inanifanya nitabasam pekeangu

Najma akaniuliza inahusiana na Chris sio

Nilitabasam tuu nikamwambia najma hakika sinahaja yakukuficha kipenz

Nahisi ninampenda tena sana

Najma alifurahi na kuniambia sasa huko ndio kupenda shogaangu

Jiachie kwa Chris deka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam-sana-epsd
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

947
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

780
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

631
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

604
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

142
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

89
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.5K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest