Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........28
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
hasira zilimshika na kuwasha gari lake aliliondoa kwa kasi akiwafata wao walipo tena wakiwa hawana habari kama kuna gari nyuma yao inayokuja kwa kasi............

ENDELEA NAYO......
Gari ilikuwa ikija kwa kasi na bahati nzuri Doctor Tayler aliweza kusikia sauti ya gari hilo aligeuka nyuma na kuona gari ikiwafata haraka alimvuta Diana pembeni na yeye kusogea pembeni huku gari ikiwakosa kidogo tu kuwagonga.

Gari ilienda mpaka mbele na kusimama kisha alishuka mwanadada Naisha tena akiwa kwenye hasira isiyo ya kawaida nakuwafata,
"Huyu ndiyo mgonjwa uliyekuwa unaniambia Tayler?, nimewafatilia toka mda mrefu sana na dalili zote nimeziona kuwa nyinyi ni wapenzi",Naisha aliongea akiwa na hasira sana.
"Tayler,who is she?"Diana alimuuliza Doctor Tayler aliyekuwa kimya na kukoswa cha kumjibu.

Doctor Tayler alishindwa afanye maamuzi gani kwa kuwagonganisha warembo wale wawili na kila mmoja alikuwa na umhimu kwake.

Naisha aliamua kufanya maamuzi aliyoona ni sahihi kwa upande wake,
"Tayler inakubidi uchague kati ya mimi na huyu mwanamke nani unayempenda na unataka kuwa nae?",Naisha aliongea.

Ata Diana nae aliamua kukaa kimya aone Doctor Tayler atafanya maamuzi gani kwa kile alichokisema mwanadada Naisha,
Tayler alikaa kimya na hili likawa jibu tosha kwa wote kuwa hana uwezo wa kumchagua mmoja kati yao,Naisha aliamua kuondoka na kuwaacha wawili wale wakiwa wamesimama na ata hamu ya wao kuelekea sehemu waliyokuwa wakienda nayo iliisha kabisa huku Diana akiondoka kwa hasira na kurudi walipokuwa wakiishi, Doctor Tayler aliamua kumfata mwanadada Diana.

Walifika mpaka ndani huku Diana akiwa hataki kumsikiliza Doctor Tayler, na akiwa kama mwanaume aliamua kujitetea na hii ilimfanya Diana aweze kumpa nafasi ya kumsikiliza,
"Diana kumbuka ni mazingira gani tuliyokutana mimi na wewe niukweli usiopingika kuwa Naisha alikuwa mtu wangu zamani lakini sasa ivi wewe ndiyo upo katika moyo wangu",Doctor Tayler aliongea .

Diana pia alifikilia na kukubaliana na maneno ya mwanaume huyo na tofauti zao zikawa zimeisha huku maisha mengine yakiendelea kati ya Diana na Doctor Tayler.

Nchini Tanzania, ukaribu uliozidi kujengeka kati ya Albert na Angelina ulimfanya Albert ampende mwanadada huyo na sasa kilichokuwa kimebaki nikumweleza tu kile kilichokuwa ndani ya moyo wake na temu hii aliamua kumshirikisha Mwanamama katalina ili mambo yawe raisi kwa upande wake.

Angelina yeye alikuwa anaendelea na maisha yake kama ilivyokawaida lakini alishangaa kuona Albert amezidisha ukaribu kwake yani saa moja lilikuwa haliwezi kupita bira kutafutwa na Albert asipopiga simu atatuma ujumbe, kitu pekee ambacho hakuambiwa na mwanaume huyo ni neno nakupenda.

Taratibu siku zilizidi kusogea na Albert aliamua kuweka wazi hisia zake kwa mwanadada Angelina alimweleza ni jinsi gani anavyotamani kuwa na yeye kwenye maisha yake japo kwa Angelina ilikuwa ngumu kukubali kwa wakati huo lakini pia Mwanamama Katalina alienda kukaa na rafiki yake au Mwanamama Beatrice nakumuomba wawaunganishe watoto wao waweze kuoana, Beatrice aliona ni jambo la kheri na hakuwa na kipingamizi kwenye hilo alishauliana na mmewe Mr.Gerald na wote walikubaliana kumuozesha Angelina kwa Albert, kazi ilibaki kwenye kumshawishi Angelina aweze kukubali kuolewa na Albert.

Angelina alikuwa mgumu kukubali lakini mbele ya mama yake mzazi na Mwanamama katalina hakuwa na pingamizi lolote lile alikubali na bira kupoteza mda ndoa ilipangwa kati ya Angelina na Albert.

Manka alizipata tarifa zile za Angelina kuolewa na Albert, haraka alimpelekea Stewart tarifa zile ambae nae hakuamini kusikia mwanamke aliyekuwa akimpenda anaenda kuolewa na mwanaume mwingine alichukua simu yake na kumpigia Angelina aliyepokea huku akiwa na wasiwasi kidogo mana alijua ni jinsi gani Stewart alivyokuwa anajisikia kwa wakati hu baada ya kusikia yeye anaolewa,
"Angelina mbona umekubali kuolewa mapema sana na mimi uliniambia haupo tayali kuingia kwenye mahusiano kwa sasa, kwanini Angelina?",Stewart aliongea maneno ya kulalamika yaliyokuwa yakimfikia mwanadada Angelina kupitia simu.
"I'm sorry Stewart sikuwa na njia nyingine tofauti na hii naomba unisahau na umtafute mwanake mwingine atakaye kufaa mimi sifai kuwa mke wako nisamahe sana", Angelina aliongea nakukata simu huku upande wa pili Stewart akijihisi kuchanganyikiwa maumivu ya moyo yalikuwa ni makali isivyo kawaida alijaribu kumpigia  simu Angelina kwa mara nyingine ila simu iliita bira kupokelewa na badae ikawa haipatikani kabisa.

Tarehe ya ndoa ilipangwa na zilikuwa zimebaki siku chache tu waweze kufunga ndoa.

Nchini Canada Diana hakuwa na hamu ya kurudi Tanzania na ata Mr.James alivyokuwa akimhimiza alidai bado kwanza hali yake haijakaa sawa na akiwa sawa atarudi tu na yote ni kwa sababu ya mahusiano aliyokuwa nayo kwa wakati huo na Doctor Tayler.

Siku hii ilikuwa mbaya kwa mwanadada Diana kwani alitoka na kumuacha Doctor Tayler akiwa nyumbani lakini alivyorudi alishangaa kukutana na hali ya kitofoauti.
Kwanza alikuta nguo zote za Doctor Tayler hazipo na alipojaribu kuzunguka kumuangalia hakufanyikiwa kumuona, aliamua kurudi ndani na kukaa kwenye kochi akitafakari ni wapi Doctor Tayler atakuwa kaenda.

Alipotazama juu ya meza aliona barua iliyoandikwa na Doctor Tayler aliichukua na kuisoma barua ile iliyokuwa na maneno ya kuumiza,
"Nisamehe Diana kwa kukupotezea mda wako nikweli nakupenda lakini Naisha niwa mhimu zaidi kwangu pia siwezi kuwa mbali na Naisha Diana kwasababu nyumbani kwao wanamali nyingi na za kutosha,I'm sorry" ni barua iliyokuwa na maneno machache ila yenye kueleweka yaliyomfanya Diana alie kama mtoto mdogo kwa kuachwa na Doctor Tayler.

Mawazo yalitawala kichwa cha Diana tangu alipoondoka Doctor Tayler hali iliyomfanya apatwe na ugonjwa uliowafanya madoctor washindwe kuelewa ni kipi kinachomsumbua mana kama kumpima walimpima ila hawakugundua chochote kilichokuwa kikimsumbua.

Diana hakutaka tena kubaki Canada alijiandaa kwa ajili ya kurejea Tanzania.

Nchini Tanzania siku iliyokuwa inasubiliwa kwa hamu ilifika watu mashuhuli walihuzulia katika harusi hiyo ya Albert na Mwanadada Angelina, na ilizungumzwa karibu nchi nzima, ukubwa aliokuwa nao mwanadada Angelina ambae bado alikuwa akishikilia taji la Miss Tanzania .
Ata Mary mwanamke aliyetaka kuifilisi familia ya Albert nae alikuwepo na sasa walikuwa ni marafiki wakubwa na Albert.

Maumivu yalikuwa kwa kijana Stewart ila hakuwa na njia nyingine zaidi ya kukubaliana na hali halisi japo yeye hakutaka kwenda kwenye ndoa hiyo mana ingekuwa ni zaidi ya maumivu kumuona mwanamke aliyekuwa akimpenda akiolewa tena mbele ya macho yake.

Ndoa ilifungwa kati ya Albert na Angelina na karibu kila mtu aliisifia ndoa hiyo ikipambwa na vyombo mbalimbali vya Tanzania.

Nchini Canada tunamwona mwanadada Diana akiwa airport na akijiandaa kwa ajili ya kurejea Tanzania......ITANDELEA 

Diana anarejea na tayali Albert ameshafunga ndoa na mdogo wake Angelina, majibu zaidi yapo sehemu ya 29
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........28
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
hasira zilimshika na kuwasha gari lake aliliondoa kwa kasi akiwafata wao walipo tena wakiwa hawana habari kama kuna gari nyuma yao inayokuja kwa kasi............

ENDELEA NAYO......
Gari ilikuwa ikija kwa kasi na bahati nzuri Doctor Tayler aliweza kusikia sauti ya gari hilo aligeuka nyuma na kuona gari ikiwafata haraka alimvuta Diana pembeni na yeye kusogea pembeni huku gari ikiwakosa kidogo tu kuwagonga.

Gari ilienda mpaka mbele na kusimama kisha alishuka mwanadada Naisha tena akiwa kwenye hasira isiyo ya kawaida nakuwafata,
"Huyu ndiyo mgonjwa uliyekuwa unaniambia Tayler?, nimewafatilia toka mda mrefu sana na dalili zote nimeziona kuwa nyinyi ni wapenzi",Naisha aliongea akiwa na hasira...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

530
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

396
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

235
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

150
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

40

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest