Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 12         Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini anaingilia ugomvi gafla hivyo pasi na kuuliza kitu chochote kile .
Gonga94 · Stories

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 12 Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini anaingilia ugomvi gafla hivyo pasi na kuuliza kitu chochote kile .

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Ukiachana na hivyo jamani huu Sijui ni umalaya au ni kitu gani nilijikuta nikiganda na kuangalia uzuri wa mkaka huyo ambaye alionekana Kuwa serious sana kwa wakati huo.

Hamad alinyanyuka akiwa na hasira sana na pasi na kuzungumza kitu chochote kile akapanda gari na kuondoka.

Mimi sasa 😂 nilibaki nikiwa nimeachia domon tu na kumshangaa mkaka huyo ambaye alinipatia msaada.

“Au malaika huyu ?”

Nilibaki nikiendelea kujiuliza tu.

“Ingia Ndani “

Aghaaaaah huyu mkaka jamani hii sauti Mbona nzito hivi ananichanganya mjue 🥹 Yaani ananivukuga kabisa Mtoto wa shekhe.

KWa mwendo wa ki gentlemen mkaka huyo akasogea kwenye gari yake akapanda na kuondoka.

“Haya na wewe Ndani uko “

Mama yangu alinifokea baada ya kuona Kuwa nimeganda tu, hapo ndio nikashtuka na kWa haraka nikaingia Ndani na moja kwa moja nikataka kuingia chumbani kwangu lakini mama yangu alinisimamisha na kuniuliza.

“Yule mwanaume ni Nani ??”

Muda huo mama yangu alikuwa amechukia sana Yaani acheki na yeyote Yule, Yaani mama alikuwa anaona Kama nawaletea ma drama hivi.

“Simjui mama “

Nilijibu.

“Shamsa nitakupiga ujue, Yule mwanaume ni Nani ? Yaani hatujamalizana na huyu jambazi wako unataka kutuletea jambazi lingine si ndio “

Nyieeeh mama yangu alinichekesha na nikajikuta nikicheka tu Walahi 😂, kwa hasira mama akavua kiatu chake na kunirushia, kwakuwa nimecheza sana rede nikakwepa na kukimbilia chumbani.

Siku iliyofuata nilijiandaa mapema sana na Kuwai kazini kwangu mama anajua kabisa wazazi wangu wangeniweka kikaangoni kwajili ya Yule mkaka ambaye alikuja kunisaidia usiku.

Nilifika kazini na moja kwa moja nikaenda upande wa majukumu yangu, nikiwa naendelea na majukumu yangu nikasikia salamu kutoka nyuma yangu.

“Za asubuhi Shamsa”


Ilikuwa sauti moja nzito sana lakini pia haikuwa ngeni masikioni mwangu haraka nikageuka na kuangalia ni Nani, uwiiiih uso kwa uso na mkaka ambaye alinisaidia usiku uliopita.

“Wewe”


Nilimuita kwa mshangao wa hali ya juu sana.

“Ni mimi, Unaendeleaje ??”

Aliniuliza Kana kwamba Mimi na yeye tunajuana.

“Wewe Naani sasa ??”
Nilimuuliza.

Mkaka huyo akatabasamu na kujitambulisha.

“Am MAX “

Walahi siikuelewa kabisa, kiufupi muonekano wake ulinichanganya mpaka nikawa nahisi Kama anaongea kikorea hivi 😂🙌.

“Ndio nini sasa ??”

Nilimuuliza.

Mkaka huyo akanisogelea Karibu kabisa na kunishika mabegani kisha kwa sauti ya kusisitiza akaniambia.

“Naitwa Max “

“Aaaah “


Niliishia kuitikia tu uku nikiendelea kumkazia macho tu na vile alinisogelea Karibu kabisa na kunishika mabega yangu ndio kabisa, kwanza mapigo yangu ya moyo yaliongeza kasi yakawa yanadunda mfululizo.

“Aaah, aaaah am aaah “

Sikuwa najua natakiwa kuzungumza nini Yaani alichanganya akili yangu kwa muda mfupi sana.

“Mmmmmh “

Ilikuwa ni sauti ya kike ambayo iliguna na kutushtua sana haraka tukageuka na kuangalia.

“Oooh Neha “

Nilijichekesha baada ya kuona Kuwa ni Neha, kwa haraka nikajitoa Karibu na huyo kaka na kwenda kusimama Karibu na Neha.

“Nawaona wenyewe “

Alizungumza Neha kwa sauti ya chini sana ambapo ni Mimi tu ndio nilimsikia.

“Una ona nini nawe”

Nilijibu uku nikijichekesha maana ni aibu wlaahi, Yaani kwa haraka haraka mtu anaweza kusema Kuwa Mimi na huyo mkaka tunamahusiano.

“Neha tuonane uku “

Alizungumza huyo mkaka ambaye alijitambulisha Kama Max kisha akashika njia akielekea ofisini kwa boss wangu, kwa haraka nikazungumza.

“Hakujafunguliwa uko boss bado hajafika”

Neha akaniangalia kWa muda kisha akacheka sana na kusema.

“Njoo uku Binti “

Mie Tena nimeitwa Kwanini nisiende, kwa mwendo wa haraka nikaenda na Sijui ata funguo walitoa wapi wawili hawa haraka wakafungua na kWa pamoja tukaingia Ndani.

“Funguo mmetoa wapi
Jamani ??”

Niliamua kuuliza tu maana naona ma Picha Picha tu.

“Binti Tulia nawe Mbona Una wasiwasi sana, relax babe kula ndizi kwanza nyama Zipo chini”

Kiukweli nilikuwa na wasiwasi sana maana boss wangu aliniambia Kuwa ofisi hiyo ni Mimi na yeye tu halafu nashangaa hawa wanaingia na funguo wanazo.

“Aaah Shamsa, huyu mbele yako ni max, lakini pia ndio mmiliki halali wa hii gym”

Alizungumza Neha baada ya kuona Kuwa Nimekuwa mtu wa wasiwasi sana.

“Na Yule mwingine je ?”

Niliuliza.

“Yule pia ni boss wako lakini huyu ndio mmiliki, Yule na huyu ni mtu na kaka yake , Bwana max alikuwa uko kwenye nchi za wenyewe na amerudi juzi usiku, na Jana tukaja Nyumbani kwenu usiku ili kukuambia Kuwa kWa sasa Utakuwa na max hapa ofisini lakini tulikuta hali sio Shwari kabisa”

Hapo sasa ndio nilielewa Kuwa usiku wa Jana max alifika pale Nyumbani akiwa na Neha.

Maisha yaliendelea na niseme Kuwa max alikuwa ni Rafiki yangu sana, yaani ni mkaka mzuri sana, ana Pesa Ndefu lakini pia ni kwenye utu sana, Sijui Niwaambie nini but huyu kaka jamani, Mungu akinipa Kama huyu nitakuwa wife material zaidi ya nilivyokuwa kwa hamad.

Miezi ilipita na niliweza kutunza Pesa baadhi na moja kwa moja nikaamua kufungua mashtaka kwaajili ya taraka lakini pia kwaajili ya kupata haki ya kulea watoto wangu ambao walikuwa wakinyanyasika sana kwenye mikono ya Khadija.

Nikiwa kazini bize kabisa na kazi zangu, mmoja kati ya wafanyakazi wenzangu akaja na kuniambia.

“Kuna mgeni wako hapo chini dear “
“Sawa “

Nilijibu kisha nikajiweka Sawa na kutoka nje, kwanza nilishangaa sana baada ya kukutana na dada wa hamad Yaani sabra.

“Sabra!“

Nilimuita kwa mshangao maana ni gafla halafu ni mtu ambaye kila
Siku tunagombana na kutupiana Maneno na Kama mnakumbuka Mara ya mwisho nilimpiga kibao mbele ya mama yake
Lakini pia mbele ya hamad.

“Wifi yanngu Mwenyewe huyo “

Alizungumza sabra na kutaka kunikumbatia, aaah sinaga huo Unafiki kwakweli, waziwazi nikakataa kumbato lake na kumuuliza.

“Una shida gani ??”

“Wwwh Wifi yangu jamani, ata unikaribishe nije uko juu nikaone unakofanyia kazi na Tupate wasaa mzuri kabisa wa kuzungumza na wewe”


Nilimuangalia kwa muda na kumwambia.

“Una Uhakika umekuja hapa kwaajili yangu au ??”

“Yaaah Nimekuja kwako Wifi yangu mrembo wakati wote”

“Sabra unaweza kwenda sasa muda wa drama uliishia kule kwa kaka yako “

Nilizungumza na kutaka kuondoka lakini gafla sabra akazungumza.

“Ni kuhusu kupata haki ya watoto wako”
Eeeh hapo ni Kama alinigusa hivi nikasimama na kugeuka nyuma.

HIVI AMEKUJA NA LENGO GANİ HUYU JAMANI ? TUKUTANE SEHEMU IJAYO….

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 18 Oct 2025 20:05
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI

SEHEMU YA : 12

Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini anaingilia ugomvi gafla hivyo pasi na kuuliza kitu chochote kile .
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 12 Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini anaingilia ugomvi gafla hivyo pasi na kuuliza kitu chochote kile .



Ukiachana na hivyo jamani huu Sijui ni umalaya au ni kitu gani nilijikuta nikiganda na kuangalia uzuri wa mkaka huyo ambaye alionekana Kuwa serious sana kwa wakati huo.

Hamad alinyanyuka akiwa na hasira sana na pasi na kuzungumza kitu chochote kile akapanda gari na kuondoka.

Mimi sasa 😂 nilibaki nikiwa nimeachia domon tu na kumshangaa mkaka huyo ambaye alinipatia msaada.

“Au malaika huyu ?”

Nilibaki nikiendelea kujiuliza tu.

“Ingia Ndani “

Aghaaaaah huyu mkaka jamani hii sauti Mbona nzito hivi ananichanganya mjue 🥹 Yaani ananivukuga kabisa Mtoto wa shekhe.

KWa mwendo wa ki gentlemen mkaka huyo akasogea kwenye gari yake akapanda na kuondoka.

“Haya na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya-12-kwanza-nilishtuka-sana-na-kujiuliza-huyu-ni-nani-na

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 15 🔥      Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 15 🔥 Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 13        KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 13 KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 14       “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 14 “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
   MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 09....10        Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 09....10 Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

569
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

517
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

505
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

425
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

323
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

299
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

298
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

149
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

43
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

39

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.17K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest