Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
Gonga94 Β· Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

?NASEMA KWA MAMA

"" "" "" Hapana mama.. Usichukie.. Huyu binti siyo mtu mbaya. Na angekuwa ni mbaya kwako angekuacha hata ufie porini...
Kwanini kakusaidia ndio swali la kujiuliza.. Jana amekesha hapa hadi kunapambazuka ili kujua hali yako. Angekuwa ni mbaya kwako sisi tungekwambia ukweli.
Mimi ni daktari hapa kwa zaidi ya miaka ishiri sasa. Nimekutana na matukio mengi sana.....
Nakuomba msikilize huyu binti huenda ni msaada kwako....
Aliongea Daktari mmoja huku anamtazama yule mama kwa umakini sana...

"" "" "Uuuhhhhh.. Kwanza naombeni nipewe dawa nilizohitaji nijitibu upesi kisha mengine yafuate..
Alishusha pumzi yule mama na kuongea....

Nesi alieagizwa alikuwa ndio anaingia kwa muda ule na madawa aliyoagizwa...

Yule mama aliyapokea na kuanza kujitibu baadhi ya makovu na kumeza dawa ya maumivu..
Alikunywa na maji ya kutosha kisha kukaa vizuri kitandani...

"" "" "Hapa sawa... Pia msishtuke madaktari.
Mimi pia ni daktari tena bingwa sana hasa wa mifupa.. Nimejaribu kujikagua hapa hakuna sehemu nimevunjika, ni maumivu ya hapa na pale tu.. Lakini ndani ya dakika chache nitakuwa sawa.
Mnaweza kuondoka madaktari mniache niongee na huyu binti..

Aliongea yule mama na kumtazama Lidya aliekuwa kimya tu akitazama matukio yote...

Madaktari walitoka wakabaki wawili tu mule ndani..

""""""Mama.. Kwanza nitangulize pole na Samahani sana....
Jana nilikuwa na kazi ndiomaana nikachelewa kidogo kufika ulipo niita..
Nilivyofika pale nikaambiwa kuna mabinti wawili walikuja kukuchukua..

Nilihisi kuchanganyikiwa sana.. Nilimpigia Frenk lakimi hakupokea sim.. Nilikupigia sana na wewe pia ila hukupokea sim...
Hapo niliamini umetekwa mamaangu...

Lakini usiwe na shaka. Upo kwenye mikono salama kuanzia sasa.. Kuna watu walijaribu kudukua taarifa zangu na m kuanza kufuatilia kila simu ninayo ongea..

Kama unavyojua mtu anae tetea haki huwa na maadui wengi sana...

Naomba nisamehe mama.. Mengi utayajua tukifika nyumbani.. Kwasasa unajisikiaje.???

Lidya aliongea kwa hisia sana hadi machozi yalikuwa yakitaka kumtoka...
********

"" "" "" Basi binti.. Nimekuamini. Naomba uniimarishie ulinzi tafadhali... Nimetokea kupachukia sana hapa Dar es salam..

Nakuomba tutoke hapa hospitali, naendelea vyema sasa..

Nipelekea pale Lodge nilipochukua chumba ili nikafuate baadhi ya nguo zangu kisha nihame kabisa maeneo yale...
Mama aliongea na Lidya aliitika..

Lidya alishika simu yake na kuita Tax upesi..

Muda huo mama hakuwa na maumivu yeyote. Dawa alizomeza zilisaidia kumaliza maumivu kwa kiasi kikubwa..

Walitoka njee ya hospitali na dakika si nyingi Tax ilifika kisha kuondoka..

"" "" Tupeleke maemeo ya Ubungo.. Aliongea Lidya na Tax iliondoka..

Hawakuwa na maongezi sana wakiwa kwenye tax, ilitembea hadi ubungo..

"" "" "Haya nenda mbele kidogo.. Ingia kulia nyumba ya Ubungo plaza hapo.. Haya kata kushoto.. Okyyyyyy... Simamisha kwenye Lodge unayo iona hapo mbele.." "" " Aliongea Lidya....

Walifika wakashuka kisha yule mama akaingia chumbani kwake na kuchukua vitu vyake..

Kwasababu alilipia siku mbili basi hakusumbuliwa....
Alibeba mizigo yake yote na kupakia kwenye gari kisha wakaondoka...

" "" "Tunaenda wapi.????? Aliuliza mama yake dayana..

" "" "Nyumbani kwangu ndio utakuwa salama zaidi kuliko sehemu nyingine yeyote kwa hapa mjini...
Pia kuna mtego tunataka tumuwekee yule mzee aliekuteka...
Aliongea Lidya na kumtazama yule mama.....

" "" "" Sawa........ Nimetokea kukuamini.. Naomba unilinde hadi nitakapo rudi salama kwenye majukumu yangu Moshi.. Pia kama kuna tatizo la pesa utaniambia tutaongeza sawa.?????
Aliongea mama yake Dayana....

Gari ilitembezwa kwa mwendo wa haraka hadi Sinza Mori alipokuwa akiishi Lidya.. Nyumba aliyopangishiwa na Boss wake..

Lidya alilipia tax na kuingia ndani wakiwa na yule mama..

Waliketi kwenye kochi kisha Juice ya matunda ikaletwa na mazungumzo yalianza kuhusu baadhi ya mambo...

Siku ya Leo lidya alikuwa na usingizi sana kwasababu hakupata mda wa kulala vizuri kwa takribani Siku mbili...

*************

"" "" "" Mama yangu... Nadhani hadi unakuja hapa ni kwamba tayari unaijua kazi yangu...
Mimi nipo kitengo cha intelijensia ndani ya jeshi la ulinzi na usalama wa raia...
Nadhani mambo yote Frenk alishakwambia kiundani zaidi.. Sina haja ya kuyarudia sana...

Pia naomba nikutoe hofu kwasababu najua ulitekwa na kuteswa na bado unahofu sana hata na mimi au Frenk...

"" "" Mama Frenk ni mtu Mwema sana na nimesoma nae elimu ya Sekondari tena alikuwa rafiki mkubwa sana kwangu....
Kwahiyo hadi wakati najiunga na jeshi Frenk alikuwa akijua..
Hadi nakwenda Marekani kuongeza ujuzi na hatamie kupewa kitengo cha siri kama hiki pia Frenk alikuwa akijua...

Ndiomaana hata ulivyopatwa na tatizo Frenk alikuagiza kwangu kwasababu ananijua vyema....
**********

Pia nadhani unajiuliza sana kwanini ulitekwa.?????

Ukweli ni kuwa hiviii....

Kwa kazi ngumu kama hizi lazima niwe na maadui...

Kwa jana nilisahau nikakupigia simu kwa namba zangu za kawaida ambazo najua kabisa lazima kuna watu wamedukua na kusikiliza maongezi yangu...
Nilipaswa kukupigia kwa namba za Kazini ambazo hakuna mtu wa kuweza kudukua mawasiliano yale.
Naomba nisamehe kwasababu mimi ndio chanzo cha yote hayo.....

Pia ninamashaka sana kuwa aliekuteka ni mzee mmoja anayo kampuni ya kuingiza na kutoa mizigo Tanzania na China...

Yule mzee anatabia mbaya sana ya kuajiri watu kwa kutaka apewe rushwa ya ngono...

Kama mpelelezi basi ilinibidi nikaombe kazi ili kujithibitishia hilo na nimpeleleze kwa undani zaidi.,

Baada ya kumpa taarifa zile mkuu wangu wa Upelelezi hakufurahi sana, nadhani walikuwa na urafiki na yule mzee..
Kwahiyo mkuu wangu aliamua kumpa ukweli boss kuwa mimi ni mpelelezi kwake na siyo mfanyakazi..

Yule mzee ilibidi adukue mawasiliano yangu ili ajue vyote ninavyo vifanya..

Pia alinitafuta na kuniwekea mtego wa kutaka kunibaka mbele ya walinzi wake,
Nashukuru nilifanikiwa kumdhibiti na kuwapiga walinzi wake pia....

Baada ya hapo tulienda kumtupa mzee yule kwenye misitu ya kibaha nikiwa nimempotezesha fahamu....
******

Kilichonifanya niamini kama ni yeye muhusika wa tukio hilo, ni kwamba alikutupa na wewe kwenye sehemu ileile niliyowahi kumtupa yeye...

KWAHIYO HUO NDIO MKASA WENYEWE KWA UFUPI...
ONDOA SHAKA JUU YANGU NA JUU YA FRENK... sisi ni watu wema na nipo kwaajili ya kuwasaidia...

Alimaliza kuongea Lidya na kuinua glass ya Juice kisha kunywa fundo moja zito...

*****
*****

"" " Pole sana Lidya... Umenifumbua mengi nisiyo yafahamu kuhusu wewe..
Kwasasa ninakuamini na tunaweza kuendelea na kazi iliyonileta hapa..
******

" "" "Mwanangu.. Kwa ufupi ni kwamba... Frenk alivyofika Moshi ilibidi nimpe makazi kwenye nyumba yangu.
Kwasababu alikuwa ni mwalimu basi niliona atanisaidia kumfundisha mwanangu hata baadhi ya masomo....
Aliendelea kuongea yule mama.....

" "" "" Lakini bahati mbaya nilijikuta nimeingia kwenye dimbwi la kumpenda Frenk, nilijikuta naingia kwenye mapenzi na kijana yule na siku hiyo tulikutana Lodge na kufanya mambo hayo..

Chaajabu ni kwamba... Nilitumiwa picha za chumbani nikiwa na Frenk na hata video tuliyokuwa tukifanya mapenzi..
Pia mtu huyo alitaka nimpe Milioni 30 ili asisambaze habari zile kwenye mitandao....

Niliwaza sana kwasababu nikimpa hizo pesa huenda akanisumbua tena kutaka zingine zaidi kwasababu wao wanazo picha na video zote na wananitisha kuzisambaza mitandao..

Hii ni kashfa kubwa sana kwangu kwasababu ninaheshimika sana pale Moshi...
Mimi ni daktari mkubwa sanaa na ninayo hospitali kubwa pia inayokaribia kuitwa ya rufaa sasa kwasababu ya huduma zipatikanazo hapo....

Hizo picha zikisambaa ni kashfa kubwa sana...

Aliongea mama yake Dayana huku anamtazama Lidya kwa umakimi sana...
*********
*********

Usijali mama.. Hilo tutalitatua.. Je Naweza kuona hizo picha ili nijue namna gani zilipigwa na je ni nani aliepiga.. Huenda ni mhudumu kahusika au hakuhusika...
Aliongea LIDYA..

Picha nilizibeba jana na nilipoteza baada ya kutekwa.... Sikujua ni wapi niliziacha.....

Lakini kuna baadhi nilizihifadhi kwenye begi.. Niliogopa kuzibeba kwasababu zilikuwa za uchi sana na tulikuwa tupo kwenye Tendo la ndoa....

Aliongea Dokta kwa hofu huku anafungua moja ya mabegi yake...

Alitoa picha zilikuwa za kudhalilisha sana... Lidya alizitazama kwa muda na kumrudishia yule mama zile picha....

"" "" Mmmmhhh Frenk nae jamani... Aliwaza Lidya kimya kimya na kujikuta anacheka kwa Sauti....
Alishika mdomo kujizuia na kuinuka kukimbialia ndani kwake...

ITAENDELEA.....

Full 1000.
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********


?NASEMA KWA MAMA

"" "" "" Hapana mama.. Usichukie.. Huyu binti siyo mtu mbaya. Na angekuwa ni mbaya kwako angekuacha hata ufie porini...
Kwanini kakusaidia ndio swali la kujiuliza.. Jana amekesha hapa hadi kunapambazuka ili kujua hali yako. Angekuwa ni mbaya kwako sisi tungekwambia ukweli.
Mimi ni daktari hapa kwa zaidi ya miaka ishiri sasa. Nimekutana na matukio mengi sana.....
Nakuomba msikilize huyu binti huenda ni msaada kwako....
Aliongea Daktari mmoja huku anamtazama yule mama kwa umakini sana...

"" "" "Uuuhhhhh.. Kwanza naombeni nipewe dawa nilizohitaji nijitibu upesi kisha mengine yafuate..
Alishusha pumzi yule mama na kuongea....

Nesi alieagizwa alikuwa ndio anaingia kwa muda ule na madawa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-15-na-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.12K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

851
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

277
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

261
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

250
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

246
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

177
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

121
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

108

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest