Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
Gonga94 Β· Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????NASEMA KWA MAMA

SEHEMU YA 26, 27,

Endeleanayo.....
*
" "" "" Mfungeni huyu dada kamba... Na huyu Frenk mumvue nguo mumbake kama mlivyo agizwa na Dayana....

Aliongea yule kaka na kugeuka ili aondoke...

Nilibaki natetemeka tu baada ya kusikia yale maneno...
Lidya hakuwa na dalili ya kutoa msaada hata kidogo..

"" "" "" Lakimi Huyu dada mrembo tu hana lolote. Tumuache ashuhudue vizuri hili tukio... Aliongea miongoni mwa walinzi walio agizwa kunibaka...

Niliendelea kutetemeka na kuangalia kila upande kuona kama nitapata msaada lakini haikuwa hivyo.

Lidya alinitazama na kunikonyeza huku anatabasamu. Mimi pia nilijikuta natabasam tu kinafiki ila moyoni nilikuwa nikiogopa sana...

Wale majamaa walianza kunivua nguo hadi nikabaki na boxer tu....

"" "" Mnaona ni sawa kumuingilia mwanaume mwenzenu.???
Kati yenu nyie wanne hakuna mwenye hofu ya Mungu.????
Wanaume wazima na misuli yenu mnakuwa vibaraka wa mwanaume mwenzenu.. Tena mwanaume anae watuma hata hana mwili...
Kwanini ndugu zangu mnakuwa na Fikra finyu kiasi hiki.???..

Haya mumvalishe nguo zote mlizo mvua huyo kaka.... Muharakishe kumvalisha sitaki kuumiza mtu au kuua mtu, sijaamka vibaya leo, kwahiyo msitake siku yangu iende vibaya...

Aliongea Lidya kwa kujiamini sana huku anaangalia kila pande za kile chumba.

Wale majamaa walikuwa kimya kwa muda wakimtazama Lidya bila kummaliza....

"" "" Oya Mr Mbaga, hembu Hakikisha huyo dada haongei tena upuuzi kama huo.. Aliongea kaka mmoja akimwelekeza mwenzie...

Waliendelea kunivua hadi nikabaki uchi wa mnyama..

Mmoja alienda hadi usawa alipo Lidya na kumtazama usoni kisha kumtemea mate..
Lidya aliinua mkono wake na kujifuta,

"" "" Dada kuwa na nidhamu.. Unatuite sisi vibaraka.. Nitakuua Mbwa wewe, hembu kaa hapo chini unainuka kwenda wapi...
Aliongea yule kaka wakati huo Lidya alikuwa anainuka pale alipokaa....

Lidya hakumsikiliza yule jamaa.. Lidya alimsukuma yule kaka nyuma kisha kuinuka...

"" "" Nimewaambia mumvalishe huyo jamaa nguo zake.... Hamuelewi eti....
Aliongea lidya na kunisogelea..

Nilikuwa uchi wa mnyama hadi nilikuwa naona aibu..

Wale wakaka walitazamana na kumfuata Lidya kwa pamoja... Mmoja aliinua mkono wake na kumpiga lidya ngumi zito usoni....

Lidya aliinama na kugeukia upande wa pili, nadhani alikuwa akiisikilizia ile ngumi kwasababu ilikuwaa nzito sana....

Lidya aliinuka akiwa amekunja sana sura na kuwasogelea wale wakaka..
Kaka mmoja alirusha ngumi lakini alishikwa mkono, alishangaa anakunjwa mkono pamoja na ubaunsa wote lakini alizidiwa nguvu na binti mwenye mwili mdogo tu..

Lidya alirusha ngumi na kumpiga yule jamaa kwapani..

Jamaaa alirudi nyuma huku anaugulia maumivu, mwingine alienda kwa spidi lakini alizuiliwa kwa teke zito shingoni iliyomsindikiza hadi ukutani... Alijigonga kichwa ukutani na kupasuka. Damu zilianza kusamba karibu chumba kizima....

Wale majamaa ndio wajmkaona yule binti yupo siriazi na huenda anao uwezo...

Lidya alisogea mlangoni na kufunga kabisa mlango kwa funguo kisha kuweka funguo mfukoni kwake..

Wale majamaa baada ya kuona vile walianza kurudi nyuma kwa hofu huku yule aliepigwa ngumi la kwapa akiwa bado anaugulia maumivu kwenye pembe ya ukuta...

"" "" " Nimewaambia leo nimeamka vizuri sitaki matatizo nanyi.. Naomba mumvalishe nguo mlizo mvua huyo jamaa.. Sitaki kuumiza mtu aisee....
Alioanaagea lidya kwa kujiamini zaidi huku anawasogelea wale wawili ambao hakuwagusa kabisa kwa mkono wake.. ..

" "" "Nadhani mlitaka kunijua na mmenijua kwa kiasi fulani.. Au mnataka kunijua zaidi ya hapa.??? Maana mkinijua kabisa wote mtakuwa Jehanamu.. Aliendelea kuongea lidya....

Yule kaka aliepigwa ngumi ya kwapani aliinuka na kumtazama mwenzie aliekufa pembeni yake.....

Alishtuka sana na kuwahi kuja kuishika boxer yangu na kuanza kunivalisha..

Wenzao pia walikuja na kunivalisha nguo zangu zote hadi viatu...

"" "" "Tunaombeni Msamaha jamani.... Aliongea mmoja wa wale walinzi..

ENDELEEA......

" "" "Anakaa wapi Boss wenu?????
Lidya aliuliza....

" "" "" Ukitoka hapo mlangoni kata upande wa kulia kisha kata kulia tena utakuta mlango umeandikwa "R" ingia hapo utamkuta..
Aliongea mlinzi mmoja.

Lidya alienda karibu na yule alieumia kwapa na kumuongezea ngumi jingine mgongoni,
Yule kaka alijikunja zaidi na kupiga magoti huku anasikilizia maumivu....

Lidya aliinama na kuchovya mkono wake kwenye damu iliyokuwa imesambaa pale chini na kumpaka yule kaka aliempiga ngumi mgongoni..

Alimpaka pia kwenye baadhi ya sehemu za shati ya yule jamaa na kwenye suruali...

Baada ya hapo lidya alienda kufungua mlango na kuwataka wale ambao hakuwapiga waondoke mule ndani....

"" "" "" Mkitoka hapa sitaki hata muangalie nyuma.. Nataka mpige hatua kimya kimya hadi makwenu..

******

Kwa hofu niligeuka na kutazama upande wa yule kaka aliepasuka kichwa.. Bado nilikuwa naogopa sana kwasababu ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona maiti hasa ikiwa kwenye hali kama ile..

Wale wakaka wawili walitoka na kuondoka zao..
Yule aliepakwa damu alibaki bado anaugulia maumivu...

Lidya alimsogelea na kumshika ili ainuke...
Yule kaka aliinuka kwa uchovu sana na kuanza kutembezwa na Lidya ili atupeleke kwenye Ofisi ya bosi wake..

Tulitembea kama hatua kumi hivi hadi kufika kwenye ofisi ya bos wao..

Lidya alisukuma mlango na kumtanguliza yule kaka aliekuwa amepakwa damu uso mzima....

"" "" "" Mamaaaaa mamaaaaaa..
Zilisikika sauti kama mbili za kike mule ndani...

Tulifuati sisi pia mimi na Lidya tukaingia ndani....

Tulikuta mabinti wawili wapo uchi wamejibana kwenye ukuta wanatetemeka baada ya kuona mtu kaingi akiwa na damu mwili mzima.....

Boss wao pia aliinuka na kututazama.. Alikuwa uchi pia....

"" "" "Aaaahhhhh,,, Pumbagu sana. Wametoka vipi huko ndani hawa wapumbavu. Mbona mnaniletea matatizo..
Aliongea yule boss wao huku anatutazama..

" "" "" Wewe Frenk unajikuta shujaa sana. Aliekwambia uwapige walinzi wangu ni nani.??

Aliendelea kuuliza boss..

Sikumjibu chochote zaidi ya kugeuka na kumtazama Lidya....

**********
"" "" "Razac, habari yako. Kama Frenk alivyoshtuka umemjulia wapi jina lake... Naamini na wewe unashaanga sana nimekujua vipi.....

Sikujua kama wewe ndio upo kwenye mkanda mzima wa binti wa Dokta Moureen..

Unamdanganya mtoto wa watu eti mumuibie mama yake kwa kumdanganya kwa picha za kipumbavu mlizotega Lodge..

Unayo makosa mawili ya kujielezea, moja ni kumrubuni binti kuacha chuo na jingine ni kujaribu zoezi la utapeli...

Mbali na hayo unazo kesi saba za Madawa ya kulevya..
Ni miongoni mwa "" "Most wantend people" "" watu wanao tafutwa sana..

Kuanzia sasa upo chini ya ulinzi...

Naomba usogee huku mbele ukiwa uchi hivyo hivyoo...

ALIONGEA LIDYA HUKU ANAMTAZAMA YUPE KAKA KWA UMAKINI..

YULE KAKA ALIKUWA KIMYA AKIMTAZAMA TU LIDYA BILA KUMMALIZA...

"" "" Kumbe wewe ni mpelelezi.. Aliuliza Razac...

"" "" Nadhani nitakuwa mpelelezi.. Haya mashtaka yako utaenda kuyajibia Dar es Salam.....

Lidya alijisachi na kutoa sim yake mfukoni na kuandika ujumbe, sikujua anautuma wapi..

Alimaliza na kurudisha simu mfukoni...

Tuliendelea kutazamana bila kuongea chochote....

Wale mabinti waliokuwa uchi walirushiwa nguo zao na kuvaa,,

Razac pia alipewa zake akavaa kinyonge sana...

Lidya alikuwa kimya akiwa anajiamini sana.. Hakuwa na hata silaha mkononi lakini hakuwa na tatizo lolote..

Baada ya muda tulisikia brek za magari njee..

ENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,

????NASEMA KWA MAMA

SEHEMU YA 26, 27,

Endeleanayo.....
*
" "" "" Mfungeni huyu dada kamba... Na huyu Frenk mumvue nguo mumbake kama mlivyo agizwa na Dayana....

Aliongea yule kaka na kugeuka ili aondoke...

Nilibaki natetemeka tu baada ya kusikia yale maneno...
Lidya hakuwa na dalili ya kutoa msaada hata kidogo..

"" "" "" Lakimi Huyu dada mrembo tu hana lolote. Tumuache ashuhudue vizuri hili tukio... Aliongea miongoni mwa walinzi walio agizwa kunibaka...

Niliendelea kutetemeka na kuangalia kila upande kuona kama nitapata msaada lakini haikuwa hivyo.

Lidya alinitazama na kunikonyeza huku anatabasamu. Mimi pia nilijikuta natabasam tu kinafiki ila moyoni nilikuwa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-26-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.12K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

847
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

277
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

261
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

250
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

246
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

177
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

121
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

108

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest