Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA  SEHEMU YA 02
Gonga94 ยท Stories

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya kubaki na bosi majira hayo ya usikuu tulikuwa tukiendelea na kazi na kazi yangu ilikuwa ni kuprint document na kuziweka kwenye mafile huku bosi akinielekeza baadhi ya vitu ukichukulia mimi ndo mfanyakazi mpya.Tulifanya kazi mpaka kama saa sita hivi nikiwa nimechoka sana na hata bosi kachoka sana ....

Hapo ndipo tukachukua chakula ambacho tulikuwa tayari tumeshakinunua na kuanza kukila .Nilikuwa nakula kwa mapozi na aibu jamani maana bosi alikuwa akinitolea sana macho mpka nikawa naangalia chini .Nilimwambia tu kwa sauti ya kawaida
" Jamani bosi acha kuniangalia hivi, mwenzako naloose control "

Alicheka na kunipiga begani na mimi nikamrudishia ,basi tukaacha kazi na kuanza kupigana pigana .Lakini baadaye kila mtu baada ya akili kurudi ,wote tulitulia na kuendelea kula ,hapo ni kama limefunikwa kombe mwana haramu apite sio kwa ule ukimya uliokuwa muda huo

Bosi alikuwa ananitazama tu mpaka najishtukia , mwishowe niliamua nimuache tu awe ananitazama ,nilifanya kazi mpaka nikaanza kusinzia ,Alinisisitiza kazi ni ya muhimu sana lakini kama unavuojua usingizi ni ngumu kuuzuia au kubishana nao.Taratibu nilishuka mpaka kwenye bega la bosi na kulala usingizi hapo hapo.....

Basi nilikuja kushtuka tayari ni asubuhi kama saa kumi na moja .Na nipo kwenye kitanda cha gharama sana .Nilipigwa na butwaa na kujiuliza
" Nimefukaje hapa ????
Tangazo - usiku mmoja tu alidata
usiku mmoja tu alidata
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 02


Baada ya kubaki na bosi majira hayo ya usikuu tulikuwa tukiendelea na kazi na kazi yangu ilikuwa ni kuprint document na kuziweka kwenye mafile huku bosi akinielekeza baadhi ya vitu ukichukulia mimi ndo mfanyakazi mpya.Tulifanya kazi mpaka kama saa sita hivi nikiwa nimechoka sana na hata bosi kachoka sana ....

Hapo ndipo tukachukua chakula ambacho tulikuwa tayari tumeshakinunua na kuanza kukila .Nilikuwa nakula kwa mapozi na aibu jamani maana bosi alikuwa akinitolea sana macho mpka nikawa naangalia chini .Nilimwambia tu kwa sauti ya kawaida
" Jamani bosi acha kuniangalia hivi, mwenzako naloose control "

Alicheka na kunipiga begani na mimi nikamrudishia...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilizaa-na-bosi-kwa-bahati-mbaya-sehemu-ya-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilizaa-na-bosi-kwa-bahati-mbaya-sehemu-ya
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 05
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 05
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 04
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 04
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 03
NILIZAA NA BOSI KWA BAHATI MBAYA SEHEMU YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

9.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.45K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.28K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.05K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.01K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest