Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*NIMEKOMA MIMI 🙌* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*  Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa
Gonga94 · Stories

*NIMEKOMA MIMI 🙌* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ushirikiano, kila akinibusu na mimi namrudishia. Tukazidi kupeana mpaka tukajikuta tuko kitandani tukiwa tulivyozaliwa

Nilikuwa tayari kufanya na Bishop! Na Hatukuwa tunajali kitu chochote, wala mtu yeyote. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufurala ile kitu na kuhisi kama niko peponi. Ndiyo hapo nikagundua nimeanza kumpenda Bishop.

Tulifanya mpaka tulipo ridhika kisha Akanikumbatia kwa nguvu akaniambia "Nakupenda, Nataka tuwe pamoja. Je utakubali kuwa na mimi ?....... Mimi ni mtu hatari, Polisi wananisaka na wanataka kunifunga. Nina maadui wengi alafu Nafanya kazi chafu na zisizo halali. Watu wanaserna sina huruma, sisamehi kirahisi, Naumiza watu na nina tabia mbaya nyingi. So je, utakuwa na mwanaume kama mimi? Kama hutaki kuwa nami, nitaelewa, nitakuacha uende. Lakini kama unataka kuwa nami licha ya yote hayo, nitafurahi na nitakupenda milele. Sema chochote nakusikiliza

Alinipa nafasi ya kumchagua au kumkataa. Na kama unavyojua, mimi nimekuwa na bahati mbaya sana kwenye mapenzi. Lakini Bishop alikuwa mtu wa kwanza kunionyesha mapenzi ya kweli, hata kama ni kwa siku moja tu.

Namna alivyonitazama, alivyonionesha wivu, alivyonipigania mbele ya Michael nilijua hii ndio nafasi yangu ya pekee ya kufurahia aina ya upendo ambao nimekuwa nikiutamani kwa muda mrefu. Nilikuwa tayari kuwa naye, hata kama polisi wanamtafuta au ana maadui kila kona.

Nikamuambia "Niko tayari kuwa na wewe. Sijali watu watasema nini. Cha msingi niko nawe na nina amani, basi!"

Alishindwa kuamini, Akanitazama kama vile mtu anayetaka kulia. "Wanawake wengi waliniacha kwa sababu ya vitu walivyosikia au walivyoona juu yangu. Nimeumia sana kwa sababu ya kuachwa au kusalitiwa. Ndio maana nilijizuia sana kuwa na mwanamke. Niliepuka hata kuwa na wafanyakazi wanawake, wala kufanya. biashara nao. Nilikuwa naogopa kuangukia mapenzi halafu mwisho wa siku niachwe! Kazi ninayo fanya Imenikosesha sana nafasi ya ku-enjoy mapenzi. Lakini wewe umebadilisha kila kitu. Nimefurahi sana kusikia uko tayari kuwa pamoja na mimi

"Niko tayari, lakini lazima nifanye kazi. Familia yangu Inanitegemea"

"Hilo halina shida. Nitakuwa natuma pesa kila mwezi kwa familia yako. Nitahakikisha wanaishi vizuri, na wewe pia uishi vizuri. Mimi niko tayari kukufanya uwe na furaha, nitapigania haya mapenzi kwa sababu nakupenda kweli"

Nikacheka & nikamkumbatia "Na wewe je? Unayo familia?"

"Hili tutaliongea jioni tukitoka dinner. Sasa hivi tuenjoy hii moment

"Ok! Ila utamuachia Michael aende?"

"Namna unavyoongea kuhusu ex wako wivu unani washa akakunja sura

"Najua lakini mwache aende. Sitaki kuishi nyumba moja na huyo mtu. Mwache tu aondoke"

"Sawa, nitamwachia" Tukaendelea kukumbatiana pale pale tukifurahia kila dakika.

Na kweli Bishop alimwachia Michael. Lakini kabla hajaondoka, alimwambia kwa ukali asinisogelee lasivyo atamvunja meno. Weeeh! Michael aliogopa vibaya sana. Alipotoka pale, alikimbia kama chizi. Nilifurahia kuona jinsi alivyo fundishwa adabu mpaka akakaa kwenye mstari.

Basi Jioni ile Bishop wangu alitaka tutoke outing kidogo Akaninunulia wig, gauni jipya na viatu. Nikajipodoa vizuri nikawa kama Malaika. Then tukaenda dinner kwenye hoteli nzuri sana. Tulikula, tukanywa, tukacheza muziki wa taratibu, halafu tukaanza kuongea.

Ndipo akanifungukia kuhusu familia yake. Akaniambia baba yake alimwacha akiwa mdogo sana, akalelewa na mama yake peke yake. Ila baadae mama yake alianza kuugua vibaya mpaka akashindwa kufanya kazi, Ikawa Bishop ndiye anatakiwa kutafuta hela za kuwatunza.

Kabla hajaanza kufanya kazi, aliwaza kurudi kwa baba yake kuomba msaada. Wakati huo baba yake alikuwa tayari ameoa mwanamke mwingine ambaye alikuwa mjamzito.

Bishop alipofika kumuomba baba yake, baba yake hakumsikiliza. Alimfukuza na kumwambia achague moja, aishi naye au akaendelee kuishi na mama yake mgonjwa.

Bishop akaamua kubaki na mama yake. Akawa anafanya kazi za mtaani kutafuta hela, lakini pesa haikutosha, Kodi, chakula, dawa vyote vilimaliza vijisenti alivyokua anavipata.

Hapo ndipo akaingia kwenye kundi la watu wanaofanya biashara haramu ambazo ni wizi, dawa za kulevya hata biashara ya silaha.

Siku moja alipata dili la kusafirisha silaha kwa ajili ya kupata pesa ya kumtibu mama yake. Alifanya kazi hiyo na akalipwa, lakini aliporudi nyumbani, akakuta mama yake amekufa. Ilimuumiza sana. Alilia na akamzika mama yake, kisha akabaki mwenyewe. Akakata tamaa ya shule, akaamua kuendelea na biashara hizo haramu.

Kwa muda akaendelea hivyo, hadi akawa na biashara zake mwenyewe. Akaanza kusaidia watoto wa mitaani. Kwaiyo Wale vijana wote tunaoishi nao pale nyumbani, wale ni watoto wa mitaani aliowasaidia.

Hata Tobias ni mmoja wao japo Tobias hakumuokota mtaani. Ndio maana wanamuheshimu sana, hawamgeuki na Wako loyal kwake. Alikiri kwangu kabisa kwamba bado anauza silaha haramu na mambo mengine, hakunificha kitu na mimi nilimuelewa.

Baada ya kumaliza kuniambia yote, alibaki kimya akiwa mwenye mawazo. Nikamkumbatia, nikamwambia "Nakupenda jinsi ulivyo. Asante kwa kuniambia ukweli wako Akafurahia, akanibusu.

Baadaye akaenda kuninunulia ice cream na vitu baadhi nilivyo vitaka ndipo tukarudi nyumbani tukiwa tumefurahia sana.

Nakuja........
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NIMEKOMA MIMI 🙌* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa

ushirikiano, kila akinibusu na mimi namrudishia. Tukazidi kupeana mpaka tukajikuta tuko kitandani tukiwa tulivyozaliwa

Nilikuwa tayari kufanya na Bishop! Na Hatukuwa tunajali kitu chochote, wala mtu yeyote. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufurala ile kitu na kuhisi kama niko peponi. Ndiyo hapo nikagundua nimeanza kumpenda Bishop.

Tulifanya mpaka tulipo ridhika kisha Akanikumbatia kwa nguvu akaniambia "Nakupenda, Nataka tuwe pamoja. Je utakubali kuwa na mimi ?....... Mimi ni mtu hatari, Polisi wananisaka na wanataka kunifunga. Nina maadui wengi alafu Nafanya kazi chafu na zisizo halali. Watu wanaserna sina huruma, sisamehi kirahisi, Naumiza watu na nina tabia mbaya nyingi. So je, utakuwa na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nimekoma-mimi-sehemu-ya-kumi-na-nane-basi-lile-busu-lilikuwa-tamu-sana-kama-chokoleti-yani-lilinipel

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nimekoma-mimi-sehemu-ya-kumi-na-nane-basi-lile-busu-lilikuwa-tamu-sana-kama-chokoleti-yani-lilinipel
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

55
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest