Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU  SEHEMU YA 03
Gonga94 · Stories

NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU SEHEMU YA 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

WHATSAPP 0675137453

FULL STORY TSH1000 TU (VIPANDE 50)

"kinini hiko unachokitazama" alinifuata na kuninyang'anya haraka haraka mkononi mpaka nikaingiwa na wasiwasi

"mme wangu umenunua simu kwani?"
"wewe unataka ujue ili iweje, sijanunua"
"mh sasa hizi earphones na maelekezo ni ya nini?"
"sasa mbona una haraka Rebecca si usubiri au umesahau leo ni siku gani jamani?"

"halafu sipendi unavyoniita Rebecca mimi ni nani wako kwani?"
"aah nisamehe mke wangu kipenzi wakati mwingine nalimisi jina lako halisi nililolizoea wakati ule kama sijakuoa mmwaaah" alinijibu na kunibusu shavuni nikatabasamu

"utakula, nikutengenezee nini?"
"nimeshiba, nitasubiri cha jioni tu mke wangu" alinijibu na muda huohuo tukasikia sebuleni wanaimba wimbo wa happy birthday to you happy birthday to you kana kwamba kuna watu wengi ikabidi nitoke kuja kutazama ni wageni gani hao nikamkuta rafiki yangu Margreth amekuja na wanawake wengine kutoka kwenye Saccoss yetu wameniletea keki nzuri wameiweka mezani na watoto wangu watatu, Theresia, Robert na mdogo wao wa mwisho, Leticia wakiwa wamesharudishwa na gari wakiwa na sare zao za shule

"waaaoh jamaniii!" nilijiziba mdomo baada ya kufanyiwa suprise hiyo na mume wangu nae akatoka, walikuwa wamekuja na makreti ya soda na vitafunwa (bites) na majirani zangu kadhaa nao niliwaona lakini mdogo wangu Diana alikuwa chumbani kwake hakutoka, mume wangu aliwasalimia na kurejea chumbani maana simu yake iliita akaenda kupokea

"maisha marefu Rebecca"
"maisha marefu mama Theresia"
"happy birthday mama Leti njoo uzime mshumaa na kukata keki tufungue hafla hii ndogo" kila mtu alinipongeza akiniita jina alilolizoea wengine langu na wengine la watoto wangu

"jamani asanteni sana kwa upendo wenu wa ajabu sana sina cha kuwalipa, keki nitakata lakini siwezi kukata peke yangu na kuzima mishumaa peke yangu bila mume wangu mpenzi ngoja nimuite tufungue shughuli hii yaani mmenishtua sana sijategemea" niliongea nikijawa na furaha wakapiga makofi na vigeregere hasa Margreth ambae alionekana kama ndiye mpambe mkuu, nikawaacha sebuleni na kurudi chumbani kumuita mume wangu

"vipi umeipenda hiyo zawadi?" nilimsikia mume wangu akiongea na simu kwa sauti ya chini
"mume wangu" nilimwita akashtuka na kunitazama
"ngoja" alimjibu aliyekuwa anaongea nae na kukata simu
"nakuhitaji sebuleni"
"ooh kula keki eeh?"
"kuzima mishumaa na kukata"
"sawa tangulia nakuja"
"hamna nataka tuongozane"
"basi twende mke wangu" alinijibu akiibeba simu yake
"simu si ungeiacha tu mume wangu?"
"nataka nichukue matukio" aliniambia tukatoka wote mpaka sebuleni na moja kwa moja kwenye keki tukazima mishumaa na kukata na kulishana na kuwalisha kila mtu na nikashangaa mdogo wangu Diana hajaja tangu mambo yote yanaendelea hata kutoka chumbani hajatoka ikabidi niingie chumbani kwake nikamkuta amelala kitandani siyo usingizi ila yuko bize na simu yake

"Diana upo sawa?"
"dada uuwiii" alinijibu akijinyoosha nyoosha
"mbona hauji sebuleni?"
"naumwa dada yaani kiuno chote hapa hakina kazi na mgongo pia unawaka moto natamani kuinuka kuja lakini nguvu sina usinione bize na simu kuna assignment za chuoni hapa nafanya hapa kwa kujilazimisha maana laptop nimemuazima rafiki yangu sijarudi nayo"

"pole basi ngoja nikuletee keki"
"usijisumbue dada nitakula na chakula baadae"
"sawa" niliitikia kiunyonge na kuanza kutoka chumbani kwake lakini nilipoufungua mlango ili kutoka

"dada!" aliniita nikageuka
"abee??!!"
"happy birthday to you!"
"asante mdogo wangu" nilitabasamu nae akatabasamu kisha nikatoka chumbani kwake taratibu nikamkuta mume wangu Dawson amekaa kwenye kochi akiwa bize na simu nikamfuata na kukaa karibu yake akiwa hajaniona, nilipomgusa akashtuka

"ooh mke wangu ulienda wapi?"
"mbona simu tu bize muda wote mme wangu?"
"kuna mambo ya kazini hapa hayajakaa sawa ndo nayaweka weka sawa mke wangu"

"ndo maana nilikwambia iache simu tu chumbani kwa sababu itakuchanganya leo huoni ni siku yangu ya furaha mume wangu jamani wewe bize na simu tu bize na simu?" nililalamika lakini tukiongea kwa kunong'ona watu wasije wakatusikia

"usijali mke wangu halafu nina zawadi yako!" aliniambia akaweka simu yake mfukoni akainuka kwenye sofa la watu wawili tulilokuwa tumekaa yeye akaenda chumbani, muziki wa taratibu ukiwa umefunguliwa watu wakinywa soda na vitafunwa vingine

"oooopppss mbona simuelewi elewi huyu mwanaume sikuhizi??" nilijiuliza kimoyomoyo huku nikishusha pumzi ndefu na nikageuka na ndipo nilipokutana na simu yake aliyodhani ameiweka mfukoni kwenye suruali aliyovaa na kumbe haikuingia iliponyoka, nikaishika na kuitazama na ndipo niliposhtukia napokonywa na mtu simu haraka haraka yaani kama naporwa na kutazama alikuwa ni mume wangu ambae sikujua hata amerudije rudije ndani ya sekunde chache hivyo nikabaki nimetoa macho....

FULL STORY TSH1000 TU, VIPANDE (50)
NJOO WHATSAPP 0675137453

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU SEHEMU YA 03


WHATSAPP 0675137453

FULL STORY TSH1000 TU (VIPANDE 50)

"kinini hiko unachokitazama" alinifuata na kuninyang'anya haraka haraka mkononi mpaka nikaingiwa na wasiwasi

"mme wangu umenunua simu kwani?"
"wewe unataka ujue ili iweje, sijanunua"
"mh sasa hizi earphones na maelekezo ni ya nini?"
"sasa mbona una haraka Rebecca si usubiri au umesahau leo ni siku gani jamani?"

"halafu sipendi unavyoniita Rebecca mimi ni nani wako kwani?"
"aah nisamehe mke wangu kipenzi wakati mwingine nalimisi jina lako halisi nililolizoea wakati ule kama sijakuoa mmwaaah" alinijibu na kunibusu shavuni nikatabasamu

"utakula, nikutengenezee nini?"
"nimeshiba, nitasubiri cha jioni tu mke wangu" alinijibu na muda huohuo tukasikia sebuleni wanaimba wimbo wa happy birthday to you...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nimekusamehe-ila-sitasahau-sehemu-ya-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nimekusamehe-ila-sitasahau-sehemu-ya
NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU  SEHEMU YA 01  "uuuwiiiii Diana mambo gani hayo ya kumwagiana maji mdogo wangu??!
NIMEKUSAMEHE ILA SITASAHAU SEHEMU YA 01 "uuuwiiiii Diana mambo gani hayo ya kumwagiana maji mdogo wangu??!
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

1.19K
AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

838
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

504
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

338
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

335
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

57
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

55
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽.

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.65K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. 🔴 Maamuzi yaliyotangazwa: 💵 Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest