Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

RUNGU LA KIPOFU 01

30th Nov, -0001 Views 428

RUNGU LA KIPOFU 01??

ENDELEA.....
"Wewe Latifa mfate Juma chumbani kwake"
"Aya Mama!"
Latifa au ukipenda mwite binti wa kazi aliondoka kwa ajili ya kwenda kumfata Juma chumbani. alifika mlangoni na kugonga na Juma alimruhusu azame ndani.
Binti wa watu aliingia na kumkuta Juma amekaa kitandani akiwa na fimbo yake anayotumia kutembelea kwakuwa ni kipofu.
"Mama kasema nije nikuchukue!"
"Sawa Latifa twende!"
Juma alinyenyuka kitandani na Latifa alikamata fimbo yake kwa ajili ya kumuongoza ila macho yalimtoka baada ya kuona rungu la Juma likiwa nje nje au ukipenda iite bakora.
"Mmmmh Juma lipo nje!"
"Linini!?"
"Lidu..du funga zi..pu vizuri ya suruali yako!"
"Ndio tatizo la kuwa kipofu hili, ngoja niirudishe ndani"
Aliifunga zipu ya suruali yake vizuri na Latifa aliishika fimbo yake na kumwongoza mpaka sebleni sehemu ya kulia chakula.
"Mkalishe vizuri kwenye kiti hapo uanze kumlisha mwenzako"
"Sawa Mama!"
Latifa alianza kumlisha Juma, saa ngapi mawazo yasihame nakuanza kuliwaza rungu la Juma alivyoliona live bira chenga na alishitukia tu akipigwa na kukulupuka mpaka udenda ulimtoka.
"Unazuba nini badala ya kumlisha mwenzako!"
"Samahani Mama nimepitiwa tu!"
Latifa alimlisha Juma mpaka pale alipomaliza.

Juma alienda kukaa zake kwenye kochi na ilikuwa ni siku yake ya tatu toka afike kwenye nyumba ya mama yake mdogo akitokea nyumbani kwao na sababu kubwa iliyomleta ni kutokana na tatizo lake la macho la kutokuona kwa mda mrefu ili aweze kutibiwa, kwani aliambiwa kama atapata hospital nzuri na ikampa uangalizi mzuri anaweza kupona na kuweza kuona.
"Juma mwanangu natoka mara moja!"
"Aya mama!"
Mama yake mdogo alitoka au mwite Mama Mwajuma na baada ya yeye kutoka tu kuna binti aliingia akiwa na begi la shule na kumkuta Juma ametulia kwenye kochi.

Alimwangalia kwa shari na kubinua midomo juu pasipo hata kumsemesha na kumbe Latifa aliweza kumuona na kusogea alipokuwa na alipomfikia alimshika na kumpeleka pembeni.
"Tabia gani hiyo Mwajuma ya kumzomea Juma au kisa haoni!?"
"Niache huko na wewe na mawazo yangu ila sijapenda kabisa kipofu kuishi ndani ya nyumba yetu!"
"Acha roho mbaya Mwajuma mbona mama yako anampenda tu mtoto wa ndugu yake!"
"Wewe kama nani kwanza kwenye hii nyumba?"
"Kama mfanyakazi ila nakwambia tu mtoto wa boss!"
Latifa alijiondokea na Mwajuma aliingia chumbani kwake na alipofika huko alivua nguo zote kabisa na kuzitupa pembeni, saa ngapi asione mlango unafunguliwa na Juma aliyekuwa akipiga piga fimbo yake inayomwongoza ili asije kujigonga.
Mwajuma alibaki kasimama akimwangalia kwa hasira maana alikuwa hampendi balaaa na macho yalimtoka baada ya kumuona Juma anachomoa bakora yake kubwa na kuanza kuko....joa pale pale, kumkataza alishindwa na macho yalibaki yakiutazama mjegeje wa kipofu wenye ukubwa kama mkono wa mtoto.

Juma aliendelea kuk...ojoa zake akijua anak...ojol..ea bafuni kumbe ni chumbani tena kwenye chumba cha Mwajuma.
"Wewe...!"
Mwajuma alipaza sauti na kumshitua Juma na haraka alilirudisha lidu..du lake kwenye suruali yake.
"Kumbe ulikuwa humu bafuni!?"
"Sio bafuni humu ni chumbani kwangu!"
"Nini!?"
"Eeeeeeh umekoj...oa chumbani kwangu!"
"Mmmh nisamehe sana mdogo wangu mimi sikujua ila nikiizoea hii nyumba sitafanya kitu kama hichi tena!"
"Nikusamehe ikiwa umeshachafua chumba changu tayari!?"
Juma alikomaa kuomba msamaha mpaka Mwajuma alimwelewa na kumwambia atoke chumbani.
"Ila hili likipofu linak...ubwa jamani mbona kaka Dani hana kama hiyo! huuuu mpaka jasho"
Mwajuma mpaka alijipepea akiwaza mta..limbo wa Juma, hata hivyo alimwita Latifa na kumpa kazi ya kukideki chumba chake na kuingia zake bafuni kuoga na baada ya kumaliza binti alivaa nguo na kuondoka.

Alifika kwenye kibanda cha chips na kukuta wateja kibao wakihudumiwa.
"Kaka Dani njoo huku na maongezi na wewe!"
"Subiri basi nihudumie wateja Mwanjuma!"
"Mimi sitaki wewe njoo tu!"
"Duh, basi poa nipe dakika 0"
Dani aliachana na mambo ya kuwahudumia wateja na kumfata Mwajuma.
"Niambie pisi yangu!"
"Mimi nataka twende gheto kwako"
"Kesho bhana leo nimebanana kichizi wewe mwenyewe siunaona!"
"Mimi sitaki twende tukafanye hata kidogo tu!"
"Dah!"
"Wewe jamaa njoo utuhudumie bhana!"
"Oya Junior sema nao hao nakuja sio mda!"
"Poa poa"
"Ungekataa ingekuwa ni mwanzo na mwisho mimi kuwa na wewe!"
"Ondoa hofu mtoto mzuri ni mda wa kwenda kukwanguana huu, leo nataka nikusugue mpaka ukimbie mwenye ghetoni!"
"Mmmmmh!"
Mwajuma aliguna na baada ya mda walifika na Dani akafungua mlango.
walizama ndani na Dani akashika kwanza ki..u..no laini cha Mwajuma na kumbananisha kwenye kita...nda chake vizuri huku akimshushia mabu..s..u mfululizo lakini Mwajuma yeye alilichomoa rungu la Dani na kujaribu kulilinganisha na rungu la kipofu, moyoni alikiri kuwa kipofu anabonge ya ru...ngu kuliko hata Dani wake kwani licha ya bakora ya Dani kuwa ndindii ila bado haikuifikia ukubwa ba...kora ya kipofu.
"Mmmmmh as....hhh.......!"
Sauti ta..m..u ilimtoka baada ya chu...ch.. zake kubinywa na Dani........ITAENDELEA.

Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801

Namba za Malipo ????????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

RUNGU LA KIPOFU 01  >>> https://www.gonga94.com/semajambo/rungu-la-kipofu-01



#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #war

#love #photooftheday #fashion #beautiful #happy #tbt #followme #picoftheday #art #nature #travel #fitness #motivation #life #fun #instagram #friends #smile #food


 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in


Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi rungu-la-kipofu
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 17.
RUNGU LA KIPOFU 17.
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 09
RUNGU LA KIPOFU 09
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU 05
 RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU 11
RUNGU LA KIPOFU 11
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in



Warning: Cannot modify header information - headers already sent by (output started at /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/pages/includes/header.php:83) in /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/core/function.php on line 258