Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

RUNGU LA KIPOFU 03
Gonga94 · Stories

RUNGU LA KIPOFU 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
RUNGU LA KIPOFU 03 ??.

ENDELEA.....
Alikimbia mbio na kuwa wa kwanza kumshika mkono na kumtoa barabarani na kama angechelewa kidogo tu basi habari ya juma ingeishia hapo.
"Queen naye yaani kipofu kamtoa mbio na kwenda kumsaidia au kadatishwa na mwichi wake?"
"Hahahahahaha hiyo lazima hapo kaenda kuokoa mpini na sio kingine namjua mno Queen"
Tedy naye alichangia na baada ya mda Queen alimfikisha kipofu walipokuwa wao.
"Mbona umemleta hapa!?"
"Wewe na wewe kwani huoni kama alitaka kugongwa na gari!?, mwache apumue kidogo, kaka hebu kaa hapa"
Queen alimkalisha na kwa makusudi aliugusa mtalimbo wa Juma.
"Pole kaka angu kama sio mimi ungekuwa marehemu sasa ivi!"
"Ameshaelewa na wewe mbona unajipa ujiko hivyo Queen!?"
"Lazima nijipe ujiko maana nilikimbia kama krishina mpaka nikamuokoa nyie mnadhani ni kazi ndogo hiyo!"
"Mmmmh leo tunalo!"
Matani ya hapa na pale yalichukua nafasi yake na baada ya mda Queen alimchukua Juma kwa ajili ya kumrudisha anapokaa, lengo lake lilikuwa ni kujua tu anapokaa Juma maana alivutiwa na rungu lake.

Alimfikisha Juma na kuingia naye mpaka ndani na moja kwa moja walimkuta Latifa akiendelea na kazi za hapa na pale.
"Mtu wenu huyu hapa mbona mnamuacha anatembea mwenyewe barabarani ikiwa anamatatizo ya macho!"
Baada ya Queen kuongea Latifa mwenyewe alishangaa.
"Mmmmh, Juma ulienda kutembea wapi tena ikiwa nilikuacha umekaa hapo nje!?"
"Nilitaka kunyoosha miguu kidogo ila hata hivyo sister asante sana kwa msaada wako!"
"Usijali kaka na hivi nimeshapajua unapokaa mara kwa mara nitakuwa nakuja kukujulia hali, Dada kwaheri!"
"Aya karibu tupo!"
Queen alijiondokea huku akiwa yake kichwani.

Juma alikaa kwenye kochi akiwa na fimbo yake na mda huo huo Latifa alimkaribisha chakula, siku hiyo Juma alitaka kula mwenyewe lakini Latifa aling'ang'ania na kuanza kumlisha yeye na walipomaliza kulishana Juma alienda kulala kwenye kochi.
Baada ya mda Mwajuma alitoka shule na kumkuta Juma amelala kwenye kochi, ametanua miguu kwa kujiachi na ru..ngu lake lilijichora vizuri ndani ya suruali.

Binti alikula chabo kwa kujiachia na ukizingatia Juma mwenyewe ni kipofu na alikuwa hamuoni.
"Kumbe umerudi!?"
Mwajuma aliulizwa na Latifa.
"Wewe ulitaka nisirudi!?"
"Eeeeh kwani dhambi kuuliza!?"
"Kutoana tu kwenye mudi!"
Baada ya kuongea Mwajuma aliondoka akiwa kafura kwa hasira na kilichomkasirisha ni kukatishwa kumla chabo Juma.

Binti alifika chumbani kwake na kupunguza ng..uo na baada ya hapo aliingia bafuni kuoga na baada ya kumaliza alivaa na kutoka!.
Moja kwa moja alielekea kwa Dani kwenye kibanda chake cha chips ila alikutana na taarifa za Dani kutokuwepo, Mwajuma aliliungisha mpaka kwenye gheto la Dani kwa ajili ya kwenda kumwangalia na alipofika alisikia sauti za mtu kukazwa upande wa ndani, taratibu alisogea mpaka mlangoni na kuugonga mlango na baada ya mda mlango ulifunguliwa na Dani mwenyewe aliyetaka kukimbia baada ya kumuona Mwajuma.
"Leo nimeyatimba!"
"Na umeyatimba kweli ebhu nipishe huko!"
Mwajuma alimsukuma na kuingia ndani na kukutana na jimama lenye minyama ya kutosha limetulizana kitandani.
"Dani nani huyu!?"
"Nikuulize wewe mwanamke usiyekuwa na aibu mpaka unate...mbea na vijana wadogo, hujaona wa rika lako!?"
Dani alibaki kaganda mlangoni akiangalia jinsi walivyokuwa wakizozana wao kwa wao na jimama lilishuka kitandani na kuvaa nguo zake na baada ya kumaliza lilitupa dongo kwa Dani kuwa hajui show na alikuwa akimchafua tu.

Mwajuma pia aliondoka kwa hasira na kwenda mpaka nyumbani kwao, aliingia ndani kimya kimya na ile amekaribia kuingia kwenye chumba chake alimuona Latifa akila chabo kwenye chumba anacholala Juma lakini kutokana na mawazo aliyokuwa nayo alimpita na kuingia chumbani kwake
"Kidogo tu anifume!"
Latifa alijua hajaonwa kumbe Mwajuma alimuona tena vizuri tu.

Usiku ilipofika mishale ya saa 7 usiku Latifa alilikumbuka rungu la kipofu.
taratibu alitoka chumbani na kwenda moja kwa moja kwenye chumba cha kipofu. Juma akiwa kanogewa na usingizi mtalimbo wake ulishikwa na aliamka palepale.
"Nani wewe!?"
Kama kawaida ya Latifa alikaa kimya ili Juma asisikie sauti yake.
"Au ni Mama mdogo!?"
Latifa alikaa kimya.
"Ni Latifa au utakuwa Mwajuma!?"
Bado alikula buyu tu na mk...ono w...ake ulikuwa kwenye mpini wa Juma.
"Kama hujibu toka chumbani!"
Kweli alitaka kuondoka na Juma aliona kuna hatari ya kukosa u...ta..m, saa ngapi asimwite mwenyewe waje waliendeleze.

Latifa alisogea k...itand...ani kwa ajili ya mtanange mkali uliokuwa wa kibubu bira kuongelesha lakini radha ilibaki kuwa ile ile, Juma mwenyewe alikolezwa na ut....am wa tunda la Latifa na alimuweka vizuri na kuikamata bastola yake......ITAENDELEA.

Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801

Namba za Malipo ????????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

RUNGU LA KIPOFU 03

RUNGU LA KIPOFU 03 ??.

ENDELEA.....
Alikimbia mbio na kuwa wa kwanza kumshika mkono na kumtoa barabarani na kama angechelewa kidogo tu basi habari ya juma ingeishia hapo.
"Queen naye yaani kipofu kamtoa mbio na kwenda kumsaidia au kadatishwa na mwichi wake?"
"Hahahahahaha hiyo lazima hapo kaenda kuokoa mpini na sio kingine namjua mno Queen"
Tedy naye alichangia na baada ya mda Queen alimfikisha kipofu walipokuwa wao.
"Mbona umemleta hapa!?"
"Wewe na wewe kwani huoni kama alitaka kugongwa na gari!?, mwache apumue kidogo, kaka hebu kaa hapa"
Queen alimkalisha na kwa makusudi aliugusa mtalimbo wa Juma.
"Pole kaka angu kama sio mimi ungekuwa marehemu sasa ivi!"
"Ameshaelewa na wewe mbona...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/rungu-la-kipofu-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi rungu-la-kipofu
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 17.
RUNGU LA KIPOFU 17.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 09
RUNGU LA KIPOFU 09
 RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU 11
RUNGU LA KIPOFU 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

913
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

522
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

446
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

430
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

354
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

302
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

295
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

214
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

185
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.37K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest