SIKUJUA LECTURER NI MJEDA* *SSEHEMUYA 4 mpk 6
"Bora ingekuwa chuki unaweza sema kuna siku nitamsamehe ila ukweli wa mungu nataman nimloge atoke busha, ashindwe kuvaa suruali, kwanza anaonekana ni kibamia yule, nataman akonde kama muathirika au hata apate kansa ya korodani, na ikiwezekana hivyo vichwa viwili ambavyo anavyo vibadilishane kazi, cha chini kiwe kinawaza, na cha juu kiwe kinapeleka moto, yaan mpaka achanganyikiwe, ningekuwa na mganga ningemloga awe hata mwanamke apitie heka heka za kupelekewa moto, maana namuona kama pisi kali, sidhan kama mwanaume kamili anaweza kuwa kama yeye,maana kwa ninavyojua kuwa mwanaume kamili, hawez kukatisha ndoto ya bint maskin kama mimi, nikawa nasema na yule mwanaume akawa anacheka tu akacheka sana kisha akanambia " kweli upo sahihi kutaka kumtoa busha, ila sidhan kama akijua kuwa umemuita kibamia atakusamehe maana hakuna mwanaume ambae anapenda kuitwa hivyo.........
" Ni kwamba tu simjui ila hata nikimjua nitamuita kibamia, tena nitachua na maspika na mic kabisa nitangazie dunia nzima anabahat siku muona sura, maana mimi kwanza bibi yangu ni mchawi ningemwambia aanze kazi sasa hivi, ila usijal nashkuru sana kwa kunisaidia na kazi yake nitakuja kukupa mrejesho, nikasema...
Unakaa wapi kwani?...
Akaniuliza ...
"Naishi huko kisutu, nikajibu nikashangaa anaanza kuendesha gari kuelekea kwetu, nikajua ananipeleka nyumban lazima, sasa muda wote alikuwa kimya anacheka pekee yake, nikawa nashangaa huyu vipi ila sitaki kumuuliza maana niliona kuwa mambo yake hayanihusu mimi, kumbe anafikiria maneno niliyoyasema bila kujua, yaan najimaliza tu kumbe naongea na muhusika, sijui kwanini hata nilikuwa naropoka ropoka kwa watu nisiowajua....
Basi tukafika eneo moja, kuna kama mashamba nikashangaa gari limesimamishwa kisha akanambia " nimekusaidia kweli maana huwa sipendi kumuona mwanamke ana dhalilika ila utalipia kila ulichikifanya, siku nyingine utakuwa unafikiria kabla ya kuongea, na ukiongea utajua uongee nini na nini usiongee umesikia...
Nikatoa macho maana sikuwa najua kuwa amemaanisha nini...
"Shuka kwenye gari, akaongea kwa sauti ya ukali nikajikuta naanza kutetemeka nikaona eheee leo nimeyabananga sasa, nikaanza kujiuliza nimefanya nini, maana sikujua kama nimemkosea, au kumkiss ndio amekadirika, au namna nilivyokuwa naongea sana ndio nimemkwaza, nikawa najiuliza bila majibu yoyote yale...
Kwa uoga mkubwa nikashuka nikashangaa kavua shart ambalo alikuwa amevaa na kuvaa t shirt ya jeshi, nikaona ehee kukubali kubali offer kutakuja kunicoast siku moja..
Nikashuka kwenye gari nikiwa natetemeka balaa..
Akanisogelea na kunambia " mimi ndio ambae nimezuia usifanye mtihan na ndio mwanaume ambae umemuambia shoga yako kuwa mimi ni hanisi, ndio mwanaume ambae unamtukana kuwa anakibamia, sijui unatamani awe mwanamke, yaan nakushkuru maana ujumbe wako umemfikia muhusika bila kupinda wala kuongezwa chumvi, yaan kwa kifupi umefika kama ulivyo....
Nilihisi kujikojolea, na maneno mengine nimemiambia mwenyewe yaan nikawa najimaliza kama sio mimi, cha kwanza nilipigishwa pushup, sasa sikuwa naweza kupiga, akawa ananuforce nipige nikawa siwez bado, maana kwanza sijawah kupigha pushup kuanzia nimezaliwa...
Nikashangaa kainama kisha akaanza kuniweka kifua vizuri, saa ngapi asishike maziwa yangu...
Akatulia kwa sekunde kadhaa hapo natetemeka balaa, nikashangaa kawa mnyonge ghafla kisha akanisimamisha, tukawa tunaangaliana, nikashangaa mwamba kanipamia kisha akaanza kunikiss...
Nilishtuka nikawa sielewi nilikuwa natakiwa kufanya nn..
"Hii ndio adhabu yako, nipe ushirikiano laa sivyo utaenda kulala ndani maana nina uhakika hunijui...
Nilikuwa najua kukiss tu ila mambo mengine sikuwa nayajua kabisa maana mimi na stephano tulikuwa tunaishia kukiss na kufanya mambo kama hayo ila issue nyingine hatukuwa tunafanya kabisa yaan...
Basi nikampa ushirikiano, mwamba akanibeba juu juu, kisha akanipeleka kwenye gari na kulaza kiti na baada ya hapo akaanza kujilia vitu taratibu..
Anashangaa kitu inabana mara damu inaanza kutoka, ni kama alichanganyikiwa, hapo mm nasikia maumivu balaa, akaanza kusema " mamy ahhhh mamy vumilia najua unaumia, ashhh hii ndio adhabu yako ni lazima uvumilie umesikia, si unaona mm sio kibamia wala sio hanisi, akawa anaongea tu hapo mm naumia balaa yeye anagugumia utamu, mamaaa nakupenda sana ashhhh wewe ni mtamu sana, wewe ni mtamu mke wangu, ahhhh mamaa ashhhh ohhhh my god am coming, am coming, nipokee nipokee mama angu nipokeee ahhhhh, akawa analalamika mwisho akamaliza safari yake na baada ya kumaliza akawa ananiangalia huku anacheka kisha akanambia " kama utani hivi ila nimeshapata mke, jua nakuoa Utake usitake...
ITAENDELEA
SIKUJUA LECTURER NI MJEDA 5
Nilimuona kama amechanganyikiwa vile ety anakuja kunioa, atamuoa nani, yaan mimi nikae naeolewa nae ili iweje kwa mfano, mimi siwezi kuolewa na mwanaume kama Yule maana kwanza amesababisha sijamaliza mtohana wangu wa mwisho na pili ameniingilia kimwili bila ridhaa yangu, nilijua hata iweje siwez kuolewa nae maana alizidisha chuki moyoni mwangu mara baada ya kuniingilia kimwili, ila sikutaka kumjibu manaa nazijua hasira zangu, yaan nikishakuwa na hasira tu mdomo unakuwaga wazi, naweza kusema kitu ambacho sikutegemea kabisa kukisema ....
Akaniangalia maana alijua kuwa nina hasira nae zaidi, yaan kasababisha nisifanye mtihan na kunibaka kanibaka, akaniangalia kwa kama dakika mbili hivi kisha akachukua simu yangu, kwenye galley ya simu nilikuwa mimi na Stephan…
“ bado unampenda huyu mshenzi, akauliza, nikaona haimuhusu, nimpende nisimpende inamuhusu nini, ila sikutaka kumjibu, nikashangaa kabonyeza bonyeza sijui wapi simu ikatoka password na baadaya hapo akaingia kwenye galley akaanza kutafuta picha,a akatafuta picha yangu moja nzuri akaisave kama wallpaper ya simu na baada ya hapo akasave namba yake kwenye simu yangu na baada ya hapo sijui akawa anaingia wapi, akawa anabonyeza bonyeza kwenye settings za simu kisha akaniangalia kwa sekunde kadhaa na kunirudishia simu …..
Akaanza kuangalia sijui vitu gani kisha akanirudishia, na kuanza safari baadae nikaja kugundua kuwa anataka kunipeleka nyumban ila alikuwa anaangalia naishi wapi sijui kupitia nini, maana sikuwa namuelewa ila nakuja kustuka ameshanifikisha nyumban kwetu..
Ile nashuka kwenye gari akatoa kama elfu hamsin kisha akasema " hata kama umeshindwa kusoma ila umeshapata mume mwenye hela maana hasira zako zikiisha tu nakuoa, hakusubiri hata nimjibu maana ni kama alikuwa ameshajua nitajibu nini hivyoi hakusubiri nimjibu kisha akawasha gari na kuondoka zake.....
Nilikaa chin na kuanza kulia barabaran kama nimefiwa, kumbe bana hakuwa ameenda mbali, sijui nani akampa taarifa akarudi, akanikuta nimezingirwa na watu, akaingia katikati kabla hajanishika nikasikia saut ya mama yangu anasema "sophy mwanangu umepatwa na nn?...
"Ohhh mama shkamoo, ni kwamba hakutegemea kuwa nitamuoa, ndio hizo taarifa zimemshangaza sana, kwa hio haya machozi sio ya huzun n ya furaha, akasema...
Mwanzo nilijua ananiambia kuwa atanioa kiutani, ila nikaanza kuona kama naanza kuona mambo kama yanaanza kuwa serious kuliko nilivyodhani, maana sikutegemea kuwa anaweza kusema maneno kama yale kwa mama yangu, au nikawa najiambia huenda hajajua kama ni mama yangu, au anajua ni wa mama wa mtaani tu, maana naona anajimaliza na wakati hakuna makubaliano yoyote yale ambayo mimi nimekubaliana nae, na sijasema kuwa nataka kuolewa nae, sasa kwanini anaanza kujitambulisha mpaka kwa mama yangu…………
Mama yangu akaguna, maana kama tunavyojua wamama ni wepesi sana kujua tunachokipitia na ndio hivyo hivyo ikawa kwa mama yangu...
"Sophy mwanangu naomba unambie ukweli, mama yangu akasema ila yule mwanaume mbabe akanikata jicho mpaka nikajikuta najichekesha kisha nikasema " n kweli mama haya machozi n ya shukuran...
Basi mama yangu, mm, pamoja na yule mwanaume tukaanza kuongozana nyumban...
Tumefika mama akatoka kwenda kumletea
ulazima gani wa kuja nyumban kwetu?...
SEHEMU YA SITA*
" Ulazima upo, ulitaka upige kelele pale barabaran, unilaani mpaka siku nikutaka kuja kutoa posa nikataliwe, mke anaonekanaga mara moja tu, ukijichanganya na akaondoka huwezi kumpata tena , unataka nipishane na mama watoto wangu si ndio, mimi sio mwanaum mpumbavu na najua ninachokifanya mke wangu mzuri mzuri, ndio maana nilikuja kupunguza heka heka ambazo huenda zinge nigharimu baadae mamaa, kama unanichukia wewe nichukie tu, ila nina uhakika kuwa siku moja utakuja kunipenda tena kwa moyo wako wote maana kama ambavyo wewe ni mwanamke bora sana kwangu, na mimi ni mume bora sana kwako, ukifungua macho kwa makini nina uhakika utaona kila ninachokisema ...
“mbona unakazana kusema mimi ni mke wako, nimeanza lini kuwa mke wako, niwe mkweli kuwa ni bora niolewe na shetani kuliko wewe, hata iweje siwez kukubali kuolewa na mwanaume baradhuli kama wewe, nikawa nasema nikijua namkwaza, hapo najiamini maana nipo kwetu hivyo nilikuwa nina uhakika kuwa hawezi kufanyua chochote kile………
Akanisogelea na kusema “hauna kitu unaweza kufanya, na hauna haja ya kukubali kama mimi au laa, mim ndio pekee ndio mwenye kauli ya mwisho,maana ambae nimependa na ninataka kuoa na mimi na sio wewe…
“ yaan nikija kukupenda labda niwe nimekufa siwez kumpenda mwanaume baradhuli kama wewe, siwezi kumpenda mwanaume ambae kutwa kucha anawaza kuwakera na kuwaumiza watu wengine, siwezi kumpenda mwanaume ambae hana huruma kama wewe, siwez kumpenda mwanaume ambae amevunja ndoto zangu na maono yangu ya muda mrefu kwa siku moja, siwezi kumpenda mwanaume mwenye tamaa na asieheshimu wanawake kama wewe, siwez kumpenda mwanaume ambae anamchukulia mwanamke kama chombo cha starehe na sio kiumbe ambacho kinatakiwa kujaliwa na kuheshimiwa mimi nikawa nalalamika pale…
Akaniangalia kisha akaanza kucheka kisha akasema “ nani kasema kuwa mimi nataka kupendwa na wewe, yaan kwanza mwanamke ambae anapenda sio mwanamke kamili na anaingilia majukum sio ya kwake, mwanamke hatakiwi kupenda na badala yake anatakiwa kutii, yaan wewe unitii mimi hicho ndio kitu pekee ambacho unatakiwa kukifanya, maana hata vitabu vya dini havitaki wanawake wapende, umesikia wapi bubilia ikisema mwanamke mpende mumeo, ila imesisitiza kuwa mwanaume mende mkeo na mwanamke mtii mumeo, yaan wewe kazi yako ni kutii tu, na swala la kupenda niachie mimi maana ndio nina mamlaka nalo..
Nikasunya tu ila kabla sinamjibu mama akaja akiwa ameshikilia soda moja, moja kwa moja sote ni lazima tujue kuwa ile soda ilikuwa niya mgeni, na sikujua ni kwanini mama yangu amekuwa mkarimu vile hata kwa mtu ambae hamfahamu, ila sikutaka kuhoji, na baada ya mama kuja ikabidi tubadilishe mada, na mimi nikaanza kujichekesha chekesha tu, basi akanywa kisha akajitambulisha kuwa " naitwa kelvin na ni mpenzi wa sophia mwaka wa pili sasa, kila nikitaka kuja kujitambulisha huwa ananiwekea vizuizi hivyo nikaona leo ni lazimishe maana nina uhakika kuwa ananipenda na mimi nampenda ila alikuwa anaogopa wazaz wasijui maana anasema nyie n wakali sana, na kama unavyoniona mama mm ni mtu mzima na sophy ameshamaliza mtihan wake wa mwisho anasuburi matokeo tu hivyo nitaleta barua na mkiona barua yoyote ile ya posa mjue ni mimi, na nashkuru sana kwa ukarimu wako mama, akasema kelvin kisha akasimama na kumpa mama kama elfu ishirin hivi kisha akaaga na kuondoka......JE NINI KITAENDELEAAA!!"
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU
NAMBA YA MALIPO 0755090082 MPESA JINA LA USAJILI ZAINABU SUNGITA MPESA
UKISHALIPIA NJO INBOX
WHATSAP 0755090082
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni