Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
lake mwenyewe katikati ya msitu ili siku moja aje apindue ufalme na kukikalia kitu cha kifalme....

ENDELEA NAYO.....
General alipanda farasi wake na kuianza safari kuelekea katika jumba la kifalme.

Katika jumba la kifalme,
"Mfalme jopo la mawaziri na viongozi mbalimbali limeshafika katika sehemu ya mkutano wanakusubiri wewe tu,Mlinzi mkuu nzegi alimfikishia tarifa zile mfalme"
"Unajisahau sana Nzegi mlinzi wangu usisahau kama mimi ni mfalme wako salamu ni lazima"
"Nisamehe mtukufu mfalme,Nzegi aliongea lakini ndani ya moyo wake alizidi kujenga chuki zidi ya mfalme wake huyo".
"Aya twendeni".

Mfalme alielekea sehemu ya mkutano kuongea na jopo lake la mawaziri ambapo alikuta viongozi wote wapo kasolo general Tengeli tu.

"General yuko wapi mbona haonekani hapa???"
"Mfalme alienda kuangalia usalama siku mbili zilizopita kwenye mipaka yetu na siku ya leo atafika hapa"waziri mkuu aliongea.
"Mbona hakunipa tarifa????"
"Samahani mfalme ilikuwa ni dhalula,waziri mkuu aliongea kumtetea General Tengeli".

Mfalme hakuona sababu ya kuendelea kuhoji kuhusu General aliendelea na maongezi ya kikao husika.

"Kikubwa nilichowahitia hapa nikuwapa tarifa, Malikia amejifungua mtoto wa kiume salama na huyo ndiye atakayelithi kiti changu cha ufalme kwa kuwa ni mtoto wangu wa kwanza,
Na kutokana na sheria zetu za kifalme mtoto huyo atakuwa katika uangalizi mkubwa wa malezi kuanzia sasa na atapatiwa mafunzo maalumu".

"Hongeraaa mtukufu mfalme",mawaziri na viongozi mbalimbali walimpa pongezi mfalme wao isipokuwa waziri mkuu tu aliyeonesha kuchukizwa na tarifa zile.

"Bira shaka sijachelewa mtukufu mfalme,sauti ya General ilisikika"
"Ujachelewa general, ila ni vyema uwe unatoa tarifa".
"Nisamehe mfalme halitajitudia tena hili swala"
"Bira shaka general waweza kuketi,mflame alimjibu na kumruhusu kuketi".
General aliketi ila alimtazama waziri mkuu na kumkonyeza kuonyesha kuwa kuna siri kubwa kati yao inayoendelea katika ufalme huo wa ADELI.

Kikao kilimalizika salama na kila mumoja kuendelea na majukumu yake huku general na waziri mkuu wakionyesha kutokufurahishwa na tarifa zile za mfalme kupata mtoto wa kiume.

************************
MIAKA MITATU(3) BADAE

Ni miaka mitatu sasa imepita tangu mtoto wa mfalme azaliwe na walimpatia jina la Yao, Malikia Andwaa ndie aliyehusika kumulea mtoto wake katika chumba cha siri na miaka yote hiyo hamna mtu aliyefanyikiwa kumuona Prince Yao zaidi ya Malikia andwaa pamoja na Mfalme Kojo.

Katika kijiji cha Nyengweli kilicho ndani ya falme ya ADELI,
"Sukuma mke wangu, sukuma jitahidi mtoto anakaribia kutoka"
"Nimechoka mume wangu nguvu zimeisha za kusukuma hiiiiiiiiiii"
"Sukuma tena"
Ng'eee!!!! ng'eeeee!!!! Ng'eeeee!!!!, ni kelele za mtoto zilizokuwa zikisika baada ya mama huyo kufanyikiwa kujifungua akisaidiwa na mume wake .

"Mume wangu siamini kama nimejifungua salama naomba nimuone mtoto wangu"
"Umejifungua mtoto wa kike mke wangu"
" Utamwita AMMA (maana halisi ya hili jina ni jumamosi na leo ni jumamosi )"
"Mke wangu unaongea nini emu pumzika kwanza umepoteza damu nyingi sana ngoja nikuangalizie dawa".
'"Kabra hujaondoka mume wangu, naomba umtunze binti yetu Amma"
"Mke wangu nitakuja tuongee vzuri emu pumzika nifate dawa".

Bwana yule alitoka na kwenda kutafuta dawa kwa ajili ya mke wake ila aliporudi alikuta mtoto analia tu, lakini mke wake alikuwa kimya alitambua tayali ameshampoteza maisha.

ilikuwa ni huzuni kubwa kwa kumpoteza mke wake na kumuachia mtoto mchanga.
"Mke wangu lala salama nitamlea mtoto wetu na nitamsimulia sifa zako zote kipindi cha uhai wako".

Yalikuwa ni maneno ya mwisho kwa mke wake aliyeiaga dunia baada ya kupoteza damu nyingi kwa kujifungua kwake.

*****************

"Sasa nimeamini mwanangu Yao haoni maneno ya yule mtabili yametimia mtukufu mfalme, malikia aliongea kwa masikitiko"
"Yule mtabili huwa hadanganyi japo nina miaka mitatu simuoni na sina tarifa zake"
"Huenda kuna tatizo kubwa lilimpata mtabili"
"Nitatuma wapelelezi kufatilia ni wapi alipo"
"Ninaombi kwako mtukufu mfalme...."
"Ombi gani malikia andwaa???"
"Itakuwa ngumu kwetu kukaa na huyu mtoto katika jumba hili bira watu kujua, ivyo kama ikikupendeza ni vyema nikampatia mtumishi wangu Lindiwe akamlee mtoto wetu (Yao) katika nchi za mbali huko,malikia aliongea".

Maneno ya malikia yalimfanya mfalme aone ni wazo zuri mke wake amelitoa nae hakupingana na wazo hilo la malikia wake alikubaliana nalo.

Kijakazi aliyepewa jukumu la kwenda kumlea mtoto kipofu wa mfalme alijulikana kama Lindiwe, mtumishi aliyekuwa karibu na malikia miaka yote mpaka pale alipofanyikiwa kujifungua salama na walipanga siku maalumu ya kumtolosha Prince Yao katika jumba la kifalme.

Ni usiku wa manane,tukio lilipangwa kufanyika la kumtolosha Prince Yao katika jumba la kifalme.

"Lindiwe nakupa mwanangu huyu ukamlee kama mtoto wako licha ya upofu wake naomba uwe nae karibu na takupa chochote unachotaka niombi langu la mwisho kwako"
"Hapana malikia usiseme ivyo ulinichukulia kama ndugu nilipokuwa hapa na sio kama mtumishi ivyo sihitaji malipo yoyote kwenye malezi ya Prince Yao nitamlea bira kusuburi malipo yoyote yale".
"Hakikisha unatutumia tarifa pindi unapopata tatizo lolote lile,mfalme kojo alimwambia Lindiwe".
"Nitafanya ivyo mfalme".

Malikia andwaa alimkumbatia mwanae Yao kwa mara ya mwisho.

Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......ITAENDELEA

Je? Mtumishi Lindiwe pamoja na prince yao wanaelekea wapi na je? watafanyikiwa kufika salama huko waendako na vip kuhusu binti Amma aliyezaliwa na siku iyoiyo ya kuzaliwa kwake mama yake akafariki??? tukutane hatua inayofata hii sio ya kukosa kabisa
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi

lake mwenyewe katikati ya msitu ili siku moja aje apindue ufalme na kukikalia kitu cha kifalme....

ENDELEA NAYO.....
General alipanda farasi wake na kuianza safari kuelekea katika jumba la kifalme.

Katika jumba la kifalme,
"Mfalme jopo la mawaziri na viongozi mbalimbali limeshafika katika sehemu ya mkutano wanakusubiri wewe tu,Mlinzi mkuu nzegi alimfikishia tarifa zile mfalme"
"Unajisahau sana Nzegi mlinzi wangu usisahau kama mimi ni mfalme wako salamu ni lazima"
"Nisamehe mtukufu mfalme,Nzegi aliongea lakini ndani ya moyo wake alizidi kujenga chuki zidi ya mfalme wake huyo".
"Aya twendeni".

Mfalme alielekea sehemu ya mkutano kuongea na jopo lake la mawaziri ambapo alikuta viongozi wote wapo kasolo general...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-ilipoishia-sehemu-iliyopita-general-tengeli-anataman-kuwa-mfalme-na-ndio-sababu-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-ilipoishia-sehemu-iliyopita-general-tengeli-anataman-kuwa-mfalme-na-ndio-sababu-
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

377
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

359
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

245
MY WANGU❤️ sehemu ya 31

MY WANGU❤️ sehemu ya 31

233
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16

143
MFALME KIPOFU 11

MFALME KIPOFU 11

62
walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

57

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.6K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.37K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.21K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.17K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest