Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
17 views
VYOTE NDANI GONGA94
Yule Mzee aliniambia , kupambana sio lazima uonekane unakimbia , hata ukisimama ukiwa umechoka ni aina ya mapambano..
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Yule Mzee aliniambia , kupambana sio lazima uonekane unakimbia , hata ukisimama ukiwa umechoka ni aina ya mapambano..
Kabla sijaongea chochote yule mzee akaongeza kwa kusema, kamwe usijaribu kurudi nyuma, hata kama mbele ni giza..
Nikamwambia kuna watu tulitegemea wawe mwangaza wetu wakati wa giza lakini wametukimbia..
Mzee akaniambia, Usiogope watu kukukimbia wakati wa giza, kwa sababu giza huisha lakini anayetembea gizani huwa na macho ya Simba..
Nikamwambia mzee unazeeka na hekima zako , Asante kwa busara zako..
Mzee akaniambia, Hekima sio kuwa na miaka mingi , ni kujua nini cha kufanya kwa kilichokupata kwa wakati sahihi, na ukishajua hilo hata dunia ikupige haitakuondoa katika mstari..
Kituo changu cha kushuka kilifika , nikaagana na yule mzee nikashuka zangu , huku akiniambia Usiogope kuanza upya pale unapofika mwisho..
KINARA SIKU ZOTE Jay S Wadhamas TWENDE MBELE mdundo.com/a/15130 SUPPORT NYOTA YANGU ING'AE
#wadhamasmusiq
@topfans
Follow Darly G Kenya
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
In 1934, Dr.Kwame Nkrumah applied to the Lincoln University for an admission to study. One year past and he had not received an offer or a response
. He then wrote an emergency letter to the Dean of Students at the University in 1935 reminding him of his request for a...
🔥🔞 NIMEMF🤐..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI 🔞🔥 sehemu ya pili ( CHONDE CHONDE SIO SHABIKI WA CHOMBEZO USISOME) 👉 Hapa ndio ukawa mtihani kwangu nimpe mama
kweli simu na mama nimemsikia muda si mrefu anamsema mke wangu vibaya amtaki kwenye ndoa, Dah yani....👇 Mimi nikajionge...
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺 *6-10* *__________________________________________* *SEHEMU YA SITA* Frank alikuwa na wasiwasi usio wa kawaida
, kWa upande wangu nilikuwa na maumivu ambayo Sijui ata niwaelezee vipi, Yaani maumivu ambayo kimoyomoyo nilikuwa nikiji...
A timeless tribute — a vision where some of Indian cinema’s most cherished legends stand together, symbolising an era that shaped the heartbeat of our films.
In this imagined gathering, Dharmendra ji stands surrounded by icons like Rishi Kapoor ji, Dev Anand ji, Rajesh Khanna ...
Yule Mzee aliniambia , kupambana sio lazima uonekane unakimbia , hata ukisimama ukiwa umechoka ni aina ya mapambano..
Yule Mzee aliniambia , kupambana sio lazima uonekane unakimbia , hata ukisimama ukiwa umechoka ni aina ya mapambano..
Kabla sijaongea chochote yule mzee akaongeza kwa kusema, kamwe usijaribu kurudi nyuma, hata kama mbele ni giza..
Nikamwambia kuna watu tulitegemea wawe mwangaza wetu wakati wa giza lakini wametukimbia..
Mzee akaniambia, Usiogope watu kukukimbia wakati wa giza, kwa sababu giza huisha lakini anayetembea gizani huwa na macho ya Simba..
Nikamwambia mzee unazeeka na hekima zako , Asante kwa busara zako..
Mzee akaniambia, Hekima sio kuwa na miaka mingi , ni kujua nini cha kufanya kwa kilichokupata kwa wakati sahihi, na ukishajua hilo hata dunia ikupige haitakuondoa katika...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/yule-mzee-aliniambia-kupambana-sio-lazima-uonekane-unakimbia-hata-ukisimama-ukiwa-umechoka-ni-aina-y
Maoni