Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 03
Gonga94 ยท Stories

BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


MWANDISHI ::HURU MEDIA


Masha akabaki kufikiria kwa sec, msaidizi wa Mr Alberto akahisi kama hajatoa maelezo yanayo faaa
Akamwambia tena

" Naitwa Rahul ni Msaidizi wa Mr Alberto ,Anaomba Radhi kwa...."

"Haina hajaa mwambie nimemsamehee lakini Kwa..yaan lazima police wajue " masha akaanza kulia

Rahul akamchukua haraka akamuweka ndani ya gari akaanza kuongea nae sasa kwa utulivu huku anamuombea samahani Boss wake akamsihi sana masha asiende huko kumshtaki

Rahul akamwambia Masha Alberto anasumbuliwa na ugonjwa wa hisia humkuta mara chache sana kwa miaka na hiyo ndio kama Tiba yake

Masha akasema napata faida gani kama nisipo kwenda kushtakii??

Rahul akamwambia nimepewa Kibali cha kukupa kila kitu unachohitaji nitakuhudumia chochote kile utalipwa kiasi kikubwa cha pesa na kila kitu ...

Masha akatabasam kwa mbali hakuonesha kwa rahul akasema moyoni asante mungu mbona kirahisi sanaa hivii
Akakubali akamwambia Rahul sawa nimekuelewa ukienda kinyume takwenda kukushtaki police nyie wote na huyo Sijui Alberto yupo wapi

Rahul akamwambia amerudi nyumbani mara moja atachukua muda kidogo kuja tena huku Tanzania ...

Wakati Rahul anaondoa gari hapo , ndio muda ambao Vicky alikuwa anatoka ndani ya hotel taratibu anajikokota kuondoka hapo

Tumbo lake lilikuwa linamaumivu sana miguu yake inatetemeka bila hata kujua kuwa masha ametembelea shida yake , akaondoka kwenda nyumbani kwao, hata hamu ya kwenda chuo hakuwa nayo

Alifika akalala tumbo linamuuma sana alilia mnoo

Alilia mpaka usingizi ukampitia hakuwahi kuwaza et ipo siku atabakwa tena ndani ya Hotel kubwa kama ile hotel ya nyota tano aliyoamini hapo hakuna wahuni kuna watu wenye hadhi sana

Vicky aliamka jioni baada ya kusikia makelele yamekuwa mengiii , masha ndo amerudi na mizigo kibaooo
Inashushwa kwenye tax
Vicky akabaki kushangaa tena imejuwajee
, akamwambia we Vicky changamka bwanaa embu katoe vitu kwenye gari hukoo afu mbona kama unalia vipiii??
Vicky akamwambia mie nipo sawa tu mbonaa
Mama masha akamwambia huyu leo hajaenda chuo na karudi hayupo sawa anaumwa ,Vicky nenda kapumzike "

"Hee mama akapumzikeeee??? Halafu nani anashusha vituuu??? "
Masha akafoka yaan swala la vicky kwenda kupumzika kwake ilikuwa kama keroo

"Mashaaa!! Mbona upo hivyoo , Vicky nenda nitabeba mimi"

" mamaaa!! Acheni nitavirudisha majitu nataka kuyaokoa na njaa yanajishaua aah sipendi yaaan wewe mtu mzima ufanye kazi wakati kijana yupo achaa nitavirudishaa"

Vicky akashangaa kwani masha anashida gani akasema basi isiwe shida mie nitabeba hata usijali masha,

Masha akamwambia ndo ubebe sio utabeba bado umesimama sehemu mojaa "

Vicky akaenda kushusha mizigo analeta ndani hivyo hivyo alikuwa anaumia sana bado alikuwa na maumivu chini ya tumbo..

"Mamaa kuanzia leo mie sintaishi hapa tenaa ila nitakuwa nakuja kuwaona "

"Enhee unaenda wapi tena , masha huishiwi matatizo mwanangu"

"Mamaa safari hii sio matatizo embu ogeni twende niwapeleke kwangu halafu nitawaambia , we Vicky embu jiandae ,Gloria Yupo wapi mamaaa??"

Groly ni mtoto wa masha ambae alimzaa akiwa Chuo mwaka wa kwanza ,,, mama Yake akamuuliza unataka ukaishi nae huku kusiko julikana
Masha akasema akaaa!! Niende nae wapiii atabaki hapa hapaa ukimshindwa ataenda kwa baba yake ...

Vicky akainuka zake akaingia ndani , Masha akamfata

"We vipii unaumwa??"

Vicky akasema ndio akamuuliza umefanya nini nambie ukwelii unaonekana kabisa haupo sawa , Vicky akaanza kulia aliliaa kwelii
Akamwambia masha mie leo nimebakwa masha alishtuka akasema mungu wangu na nanii??

Vicky akasema simjui hata ni mtu wa aina gani??

"Hukumuona??" Masha akamuuliza huku anakaa sawa

"Mashaa , naumiaa"

"Embu nielezee ilivyokuwa mwanzo hadi mwisho, ujue mie pale nilijua mama anakutetea tu kama kawaida yake palee!!"

Vicky akaelezea mwanzo mpaka mwisho tukio lilivyokuwa

"Mungu wangu kwahiyo sura yake huikumbukii??"

"Sijaiona hata wala sikuwa makini nayo , lakini nimesikia hicho chumba amelala tajiri sijui kutoka Los angels , mie nataka nikamshtaki tu itajulikana huko huko"

"Eeh mungu , we unaamini Tajiri akubake wewe kwa lipi shoga angu ulilo nalo et?? , hahaha yaan wewe unachekesha aisee "
Vicky anataka apate faraja masha ndo kwanza alicheka mpaka akashika na mdomo

"Sikia nikwambie Vicky usiende police kwanza mie nitakutafutia mtu aliekufanyia ujinga na tutamfunga sawa ,Nimepata mwanaume anahela sana tutamtumia huyoo"

"Nashukuru masha asante sanaa"

"Hayaa jiandae twende ukapaone kwangu"
ITAENDELEA...
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 03



MWANDISHI ::HURU MEDIA


Masha akabaki kufikiria kwa sec, msaidizi wa Mr Alberto akahisi kama hajatoa maelezo yanayo faaa
Akamwambia tena

" Naitwa Rahul ni Msaidizi wa Mr Alberto ,Anaomba Radhi kwa...."

"Haina hajaa mwambie nimemsamehee lakini Kwa..yaan lazima police wajue " masha akaanza kulia

Rahul akamchukua haraka akamuweka ndani ya gari akaanza kuongea nae sasa kwa utulivu huku anamuombea samahani Boss wake akamsihi sana masha asiende huko kumshtaki

Rahul akamwambia Masha Alberto anasumbuliwa na ugonjwa wa hisia humkuta mara chache sana kwa miaka na hiyo ndio kama Tiba...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hotel-sehem-ya-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi bilionea-ndani-ya-hotel-sehem-ya
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 08
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 08
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

503
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

253
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

239
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

232
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

231
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

146
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

94

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest