Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 08
Gonga94 ยท Stories

BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SEHEM YA 08

MWANDISHI ::HURU MEDIA


Baada ya vipimo kuisha Rahul akamuomba Vicky wakapate chakula pamoja , Vicky hakuwa na shida na hilo lakini swala la Rahul amtegemee kwenye matatizo yake hata halikumuingia akilini

Hakutaka kubishana na Rahul akamkubalia tu
Walitoka mpaka kwenye hotel moja Rahul ndio alimuaguzia chakula

"Vicky naomba muda kidogo nahitaji kuongea na wewe!!"

"Sawa nakusikiliza "
Rahul alikaa kimya kama anafikieria aanzie wapi , Vicky nae akamkazia macho hapo alishamwandalia majibu ya kumpa kama yote mana alijua wazi anataka kuizungumzia mimba yake

"Vicky, naomba tuongee kuhusu masha kuna vitu nataka kukuomba msaada"

Vicky akashusha pumzi akamuuliza vitu gani??
Rahul akajiweka sawa akainua maji akanywa wakati anaweka mezani akamtazama Vicky

"Unajua Vicky wewe upo cool sana kuliko dada yako, najua unaweza kuongea nae baadhi ya vitu, masha ni hana zile sifa za wasichana wa Africa nilizo kuwa nasikia kipindi chotee ,

Mr Alberto sio mtu wa hivyo kama anavyomchukulia yeye anaweza kumuendesha hivyoo ,asimchukulie udhaifu wake akajua ameshinda , Hapendi kufanya kazi ,Kusoma hataki,Anatumia pesa hovyo hovyo sanaa kiasi kwamba hata kama mtu unamiliki kisima cha pesa zinaweza kukauka ,
Embu jaribu kuongea nae Vicky wewe ni mtu makini sana nakuomba uongee na dada yako"

Mr Alberto na Mashaa??? Vicky alishtukaa

"Yaan huyo mchumba wa Masha ni Mr Alberto???"

"Ndio , kumbe hakuwaambia hili??"

"Mh,walikutana wapii??"
Swali hili lilikuwa gumu kwa Rahul , wakati Vicky anasubiri jibu , Yeye alikumbuka maneno ya Masha

Masha alimwambia "fanya ufanyavyo hii siri ibaki kati kati yetu sitaki aibu watu wajue mie nilibakwa au nimefanyishwa mapenzi kwa nguvu kama ukimwambia yeyote hata ndugu zangu naapa naenda kuwashtaki police "

Rahul akacheka kidogo akamwambia Vicky muulize dada yako mwenyewe mana yeye ndie anajua ukweli walivyokutana mie sikuwepo

Vicky akasema sawa namie siwezi kumchagulia maisha yeye akiamua kufanya kazi atafanya naomba unipeleke nyumbani!"

Rahul hakutaka kuendelea kubishana lakini la moyoni alitoa hampendi hata kidogo mashaa anatamani hata kurudisha siku nyuma tu ili kumsaidia kwa njia nyingine Boss wake

Akamrudisha Vicky nyumbani kwao , yeye akaondoka zake

Vicky anaingia tu chumbani akakutana na masha na alikuwa anamsubiri muda wotee

Alimvuta kwa nguvu akamtupia kitandani

"Ulikuwa unaongea nini na Rahul?? Ulikuwa unaongea niniiii!!? "

"Masha mbona hatujaongea kibayaa??"

"Hicho kizuri ndio nataka kusikia hayaa nambie ulionge nae nini??"

"Alinisaidia tu kule nilienda kumtafuta Moze nikaishia kugombana na Lydia basi hivyo tu"

"Mlienda wapi siku nzima na sahizi ndio unarudi ukanizimia simu"

"Kwani ulikuwa unanifatilia?? "
Masha akampiga bonge wa kibao hakupenda swali kama hiloo

"Na kwanini nikufatiliee" akamuongeza tena kibao kingine akaanza kumpiga anamwambia sitaki njaa zako usogeze kwa watu wangu wa karibu watu muhimu sitakiii sitakii mjinga kwanza toka kwetu tokaa "

Mama yake na masha akaja mbio baada ya kusikia kelele

"We masha ninii??"

"Simtaki humu ndani huyu simtaki"

"Kwani kwako humuu?? Si unakwako wewe?? Si umeamua kuwa na maisha yako huko umetukimbia humtaki hata mtoto wako tu sio wewe ,"
Mamaaa Vicky anamimba kaokota huko mtaani hamjui baba wa mtoto anataka kumpa mzigo Rahul mie sitaki mnataka tuonekane maomba omba ??"

Mama masha akashangaa , Siku zote anamjua Vicky ni mstaarabu anajua hana mahusiano yeye mwenyewe alisema mpaka atakapo maliza chuo

Akamgeukia akamwambia et ni kweli
Vicky akabaki kulia akasema ndio akamuuliza baba wa mtoto unamjuaa??

Vicky kabla hajajibu masha akasema amjue wapi analala na kila mwanaume mie siwezi toka hapaa

Duuh mama masha akabaki tu mdomo wazi
"Sina uwezo wa kukuhudumia wewe na mwanao Vicky sinaa" mama masha akajitetea

"Haina shida mama hata usijali mie bado kijana naweza kutafuta "

Masha akamfukuza huku anamwambia marufuku kabisa kumsogelea Rahul.marufukuuu
Akampokonya simu kukagua labda kuna namba ya Rahul na kweli alikuta namba ya Rahul
Masha alicheka kwa hasira yaan Rahul hajawahi kumpa namba yake yeye lakini amempa Vicky aliiblock halafu akaifuta kabisa ndio akampa simu yake Vicky ...

Vicky akakumbuka Rahul aliweka namba yake kwenye simu yake ili aipate namba yake akajipigia lakini hakukuwa na salio akamwambia naomba utanipigia niipate namba yako ukiwa na tatizo lolote nambie

Vicky akakubali lakini hakumtafuta ba hiyo namba ndio masha akaifuta haraka ...

Vicky alichukua nguo zake akampigia simu rafiki yake ambae wanasoma nae chuo akamuelezea kuwa amefukuzwa anapo ishi hana pa kwenda ,

Rafiki yake akamwambia haina shida njoo nyumbani kwetu,
Masha akajiapia moyoni hawezi kuruhusu huyo mtoto azaliwe mana atamuharibia kila kitu

Vicky akaenda moyoni anampango akimaliza tu chuo bado miezi michache atafute kibarua cha kufanya kuliko kurudi kijijini kwao tena na mimba atamvunja moyo baba yake

Hapo ndio maisha ya Vicky yaligeuka kuwa magumu sanaa mimba ilikuwa inamsumbua

ITAENDELEA....
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 08

SEHEM YA 08

MWANDISHI ::HURU MEDIA


Baada ya vipimo kuisha Rahul akamuomba Vicky wakapate chakula pamoja , Vicky hakuwa na shida na hilo lakini swala la Rahul amtegemee kwenye matatizo yake hata halikumuingia akilini

Hakutaka kubishana na Rahul akamkubalia tu
Walitoka mpaka kwenye hotel moja Rahul ndio alimuaguzia chakula

"Vicky naomba muda kidogo nahitaji kuongea na wewe!!"

"Sawa nakusikiliza "
Rahul alikaa kimya kama anafikieria aanzie wapi , Vicky nae akamkazia macho hapo alishamwandalia majibu ya kumpa kama yote...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hotel-sehem-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi bilionea-ndani-ya-hotel-sehem-ya
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 10
BILIONEA NDANI YA HOTEL  SEHEM YA 03
BILIONEA NDANI YA HOTEL SEHEM YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

503
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

253
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

239
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

230
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

145
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

94

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest