Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BILIONEA NDANI YA HOTELI 49/50     (  SEASON THREE)
Gonga94 · Stories

BILIONEA NDANI YA HOTELI 49/50 ( SEASON THREE)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.




“kwan si umesema alikuwa anatoa mimba unakuja kuniuliza nini tena hapa” recho alimjibu huku anainuka kuhama hilo eneo ,, Rahul akamvuta mkono

“okay Samahan kwa yale niliyoyasema mwanzo sikujua kama ni Vicky ,,Vicky ni mwanamke wa thamani sana kuliko hataa pumzi zanguu,,tafadhal nijuze alikunywa nini na ilikuwaje akanywa”

Recho alimtazama chinii akampandish juu ‘juice mfyuu” recho akamsonya huku anageuka pembeni akamtupia na jibu lake
“juice?? Hakuna kingine maana doctor wanasema ametumia dawa za kuharibu mimba”

Recho ndo akashtuka hakuwa anaelewa nini kinaendele tangu mwanzo unasema ninii wewee??”

“juice ndio ilikuwa kitu cha mwisho au kuna kingine alitumia “
“noo ,ni juice ndio na baada ya kunywa ndio tumbo likaanza kumuuma “

“juice gani na aliitoa wapi”

“juice ya mtunda aliletewa na rafiki yake” recho aliishiwa pozi baada y kupokea maelezo y kutosha kutoka kwa Rahul ,, ilikuwa inakuja inakataa sasa kwanini yule mtu amuwekee dawa
Rahul akamuuliza hiyo juice ipo akasema ndio hakuimaliza akamwambia twende tukaichukue ifanyiwe uchunguzi ,, waliondoka haraka kurudi nyumban , wakachukua juice ,,, wakati wamefika getin kuingia hospital walikutna na alberto nae ndio alikuwa anafika akamuwahi recho kumuuliza vipi hali ya abby , akamwambia ndio ameingizwa kwenye upasuaji

Rahul akamsogele boss wke akamwambia nenda nyumbani kwa masha kachukue ile saa yako ulio mpatia kipindi kile then njoooo nayo hapaa

Alberto akaona huyu nae namchanganyia mada tu hapaa akasema siwezi Kwenda hukoo

Rahul akamsogelea kwa hasira akamkaba koromeo kwa nguvuu mpaka albrto akanza kukohoa yaan Rahul kama kachanganyikiwa et hata alberto limshngaa haijawahi kutokea ,, akamwambia kwa kufok nenda kaichukue ile saa njoo umpe Vicky ,, alberto akasema vickyy ,,Vicky ganii ??”

50 ( SEASON THREE)

“okay ni abby,,, iwe abby awe Vicky whatever kalete ile saaa kabla ya jua halijachomoza ,, akamsuukuma alberto hajawwahi kumuona hivi Rahul ikabidi achuke gari Kwenda nyumbni kwa masha hakuwa anataka hata kidogo kuonana na masha ..

Aligonga geti kwa muda likafunguliwa na maria akamuuliza bos wako yupo wapi akampa maelezo kilichotokea ,, akili yake ilikuwa inamuwaza tu Vicky wakati huo akauliza u hoosptal aliyopelekwa masha ili akitulia aende kumuona ,, akaingia chumbani kwa masha akasasambua kila kona kutafuta saa ,, kweli aliikuta kwenye dro za dresstabble …
Akaichukua fast na kutoka kurudi hospital ,,,,

alikutan na Habari njema ambazo hatokuja kusahau hisia alizo pata hapo ,, akapewa tarifa abby amejifungua mtoto wa kike na ametoka salama hakuna ambae taarifa hizi hazikumfurahisha kila mtu alifurahi lakini alberto yeye ilikuwa mara elfu yaoo ,, wakaomba kumuona mama wakaambiwa watamuona baada ya masaa nane ndio atakuwa sawa ataweza hata kuongea kwa sasa hivi haruhusiwi kuongea

Alberto aliomba sana Kwenda kumuon mtoto alikuwa chumba cha uangalizi wa Watoto,, wakingia kumtazama mtoto ,,,

“Mungu wanguuu!!!!”recho ndio alikuwa wa kwanza kustuka akaziba mdomo wake baada ya kumuona mtoto

“samahani ness ,, sijui umetuchanganyia mtotoo” Me alberto yeye alimuwahi ness aliekuwa anatoka baada ya kuwaonesha kitanda cha mtoto wao

‘”nyie nii ndugu wa Abigael??”

“ndio”

“yeah ndo mwanae huyoo”

Alberto alisogea taratibu mpaka karibu kabisa na kitanda cha mtoto huku anamtazama kwa makini kitu alichokuuwa anatarajia na hichi kipo mbele yake vilimchanganya sanaa ,, Rahul alijikuta anacheka sanaaaaaa ,,

ni yeyee pekeee ndie alikuwa anaelewa mpaka sasa nini kinaendelea,,recho alikuwa kainama chini hajui aulize niiini au aseme ninii moyoni alibak kusema Vicky hadi yeye alimuongopea

Rahul alimuinua mtoto akamshika mikononi akamwangalia kwa ukaribu ,, mtoto alikuwa mzungu puree hakuchanganya hata kwa mbalii sura yake na alberto kama zimetolewa copy ,, midomo pua macho hata masikio yalikuwa alberto mtupuu

Ness akaja na sindano kwa ajili ya kumchoma mtoto ,, akamuangalia alberto

”wewe bila shaka ndio baba wa mtoto aisee kama unamashine hahah hongera una ka bint kazuri sanaaa”

itaendelea....
Tangazo - Earn up to $2000 a day
Earn up to $2000 a day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILIONEA NDANI YA HOTELI 49/50 ( SEASON THREE)





“kwan si umesema alikuwa anatoa mimba unakuja kuniuliza nini tena hapa” recho alimjibu huku anainuka kuhama hilo eneo ,, Rahul akamvuta mkono

“okay Samahan kwa yale niliyoyasema mwanzo sikujua kama ni Vicky ,,Vicky ni mwanamke wa thamani sana kuliko hataa pumzi zanguu,,tafadhal nijuze alikunywa nini na ilikuwaje akanywa”

Recho alimtazama chinii akampandish juu ‘juice mfyuu” recho akamsonya huku anageuka pembeni akamtupia na jibu lake
“juice?? Hakuna kingine maana doctor wanasema ametumia dawa za kuharibu mimba”

Recho ndo akashtuka hakuwa anaelewa nini kinaendele tangu mwanzo unasema ninii wewee??”

“juice ndio ilikuwa kitu cha mwisho au kuna kingine alitumia “
“noo ,ni juice ndio na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hoteli-49-50-season-three

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi bilionea-ndani-ya-hoteli
BILIONEA NDANI YA HOTELI  53__54       (  SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI 53__54 ( SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI  55__56      (  SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI 55__56 ( SEASON THREE)
BILIONEA NDANI YA HOTELI 45,46,47,48
BILIONEA NDANI YA HOTELI 45,46,47,48
SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli
SEHEM YA 13 Bilionea ndani ya hoteli
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 20
BILIONEA NDANI YA HOTELI EP40
BILIONEA NDANI YA HOTELI EP40
BILIONEA NDANI YA HOTELI  EP 30
BILIONEA NDANI YA HOTELI EP 30
SEHEM YA 14    MWANDISHI ::HURU MEDIA  Bilionea ndani ya hoteli
SEHEM YA 14 MWANDISHI ::HURU MEDIA Bilionea ndani ya hoteli
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 17
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

8.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.53K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.18K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

1.93K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

1.91K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

1.65K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.65K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.64K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest