Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 09
Gonga94 ยท Stories

BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


MWANDISHI ::HURU MEDIA

Maisha ya Vicky yalibadilika ikawa afadhari ya maisha yale aliyokuwa anaishi kwa kina masha , pale alipo hamia kula unajitegema alicho pewa ni eneo la kuishi tena kwa amani zote

Alitafuta vibarua vya kufanya ule muda ambao hana vipindi walau apate pesa za kuendesha maisha ..

Masha kwake maisha yalizidi kumnyookea hakufanya kazi lakini kila siku pesa ziliingia kwenye acc yake ..

Kwa kipindi chote Mr Alberto hakuwa amefika Tanzania bado aliendelea kuwasiliana na Masha kwa ukaribu kabisa

Moyoni mwake alikubali kumuoa kwa sababu aliamini yeye ndie ameharibu usichana wa huyu dada kwa matatizo yake , Kitu kingine anathamini kuwa alisaidia , ..

Siku zikaenda wiki zikapita ikawa mwezi hatimae miezi 7 ilipita tangu mambo yote yalipo anza kugeuka kwa Vicky

Mimba ilikuwa kubwa ya miezi 7 na zilikuwa bado wiki kadhaa afanye mitihani ya kumaliza Chuo , baada ya chuo ni kusota mtaani kusubiri ajira ambazo haujui mwaka gani utazipata ...

" yaan siku zinaenda jamani duuh hatimae tunaenda kumaliza chuo"

"Recho mie ndo hata sielewi ujuee , "

"Utakaa kwetu hata usijali mpaka utakapo jipata lakini kwa ushauri wangu usiende kwenu hivii ,bora Upeleke mtoto kuliko mimba aisee ,Halafu nimekumbuka ...."

Vicky na Rafiki yake ambae ndio anaishi kule kwao walikuwa wanapiga story za hapa na pale wakati wanarudi nyumbani

"Ninii??" Vicky aliuliza baada ya Recho kuwa kama amekumbuka jambo

"Kuna Bonge wa Studio imejengwa huko Bagamoyo ,Studio ya utengenezaji movie na Music , Ya mzungu nasikia kutokea Los Angels California Hukoo , Twende tukajaribu kuomba kazi tuna cheti sie "

"Hahah yaan wewe bwana una chet kiko wapi wakati ndio kwanzaa unatakiwa kufanya mitihani enyewe "

"Eeh Mungu wangu hahaha kweli nimedata Ila twende tukaombe kazi bado haijafunguliwa lakini nasikia kubwaa inachukua wafanyakazi mpaka 500
Twende tukaombe hata usafi mpaka inakuja kufunguliwa Tutahama ngazi tukiwa na vyeti"

"Hee mie usafi na hili tumbo naweza wapii??"

"Jamani embu twende acha ubishii"

"Basi Asubuhi kesho twende tukajaribu "
"Hapo sawa"

**********
Eeeh mungu wangu siaminii!! Yaan mie ndio nakuwa mke wa mmliki wa hapaa oooh Mungu wangu Eeh Yaani siaminiii kabisaaa "
Masha nae Asubuhi hii alikuwa huku pamoja na Rahul akitembezwa kila kona ya jengo kubwa la Studio za kisasaa

Rahul alikuwa anamwangalia tu matambo yake yalivyo ...

Mr Alberto moja kati ya uwekezaji aliamua awekeze kwenye Sanaa , Ndipo akajenga Studio kubwa ya Kisasa nje Ya mji wa Dar es salaam

Aliwekeza pia kwenye Afya Ndani ya miezi michache aliyomuacha Rahul Tanzania
Hospital kubwa ya kisasa ilikuwa imekamilika Mwananyamala Pamoja na Studio iliyopo Bagamoyo

Wakati Masha anafanya utalii ndani ya Studio ndio kina Vicky nao walikuwa wanakuja kupaangalia ili watafute kibarua cha kufanya usafi hapa

"Eeh nje tu pako hivi huko ndani sijui itakuwaje??"

"Bwanaa weee bonge wa Jengoo Duuh , twende ndani"

"tunapita wapi "

"Hapo getini si unaona hicho kidirisha Vicky wameandika Mapokezi tuanzie hapo"

"Anhaa haya twende "

Wanataka kupiga hatua kusogea, Geti dogo lilifunguliwa akatoka masha akiwa pamoja na Dereva wake na Rahul

Vicky alirudi mbio akajificha kwenye kona ya ukuta ulio kuwa karibu
Recho nae akamfata nyuma

"Masha anafanya nini hapa??" Recho akamuuliza Vicky kwa mshangao

"Sijui , mwenzetu siku hizi ana connection kubwa"

" yaan Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua jamani , hachagui wa kumpa kaenda kumpa mtu mwenye Roho mbaya hamtaki hata mtoto wake khaa"

"Atajua mwenyewe "

"Kwahiyo tunafanyaje"

"Mie sijui bwana siwezi kuwa karibu na masha kaombe tu wewe kazi "
Vicky alichoka kumuona masha hapo tena alikuwa na furaha kweli anaonekana na maisha safii, amezidi kupendeza sanaa

"Sasa masha hapa ana fanya nini mana hapa wote ni watu wa marekani "

Kidogo Vicky akapata akili baada ya Recho kusema habar za watu wa marekani anajua mwanaume wa masha pia ni mtu wa marekani

"Anaitwa nanii??"

"Alberto Clinton "

"Mungu wanguu"
Vicky alihisi kuchoka akili

"Alberto, Alberto Kwanini yeye??"

'"Ndo niniii?"

"Kila naposikia jina la huyu mtu moyo wangu unalipuka sanaa nahisi kama kusalitiwa natamani kulia ,Yaan kuna hali naipata sijui kwaninii!! ,,, Huyo ndio mwanaume wa masha"

"Wee Vicky weweee, Eeeh Hakiamungu siamini yaan Masha ndio anamwaume tajiri hivyoo ,Eeh Heeee!! Nimekomaa walai, Wenzetu wanampa nini mungu jamani"

"We nenda tu nyumbani Recho mie ngoja niende kibaruani muda umeisha sanaa"

Vicky hakutaka tena kuendelea na hizo story wala kuwa hapo wakaondoka kurudi walipo toka

Tukio la Vicky kumuona masha hapo , lilimnyima rahaa , muda wote alijikuta anafikiria kuhusu mr Alberto ,

"Oooh mungu wangu kwanini yeye tuu!!" Alikuwa anajisemea pale mawazo yanapo zidi kumzoga hajui kwanini anamfikiria lakini kila linapo kuja hili jina kichwani kwake Anahisi kuumia sana moyoo


Rahul alimuacha Dereva wake amchukue Masha kumrudisha kwake , yeye akatoka na gari kwa kasi kuna sehem alikuwa anelekeza akiwa njiani Simu yake iliita Juu ya kioo Kulikuwa na Jina Boss
Akaipokea haraka

"Where are you, boy, I can't see you. I've arrived while I'm at the airport(Upo wapi kijana sikuoni Nimefika muda nipo Airport "


"I'm on my way right now. I'm arriving"
Rahul alijibu na kukata simu akaongeza Mwendo kuwahi Airport..

Ndani ya Airport alikuwa Mr Alberto baada ya kuondoka Tanzania miezi mingi , Ndio anarejea tena kwa mara ya pili .....

Hayaaaa Boss kubwa ndani ya nyumba amerudi Siri ya Masha inakwenda kujulikana au vipiii

Kumbuka Mr Alberto Hamjui mschana alietembea nae ile siku kutokana na kuwa alizidiwaaa

Tukutane sehemu ya kumi ina majibu kama yoteeee
ITAENDELEA........
Whatsapp
0657171961
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 09



MWANDISHI ::HURU MEDIA

Maisha ya Vicky yalibadilika ikawa afadhari ya maisha yale aliyokuwa anaishi kwa kina masha , pale alipo hamia kula unajitegema alicho pewa ni eneo la kuishi tena kwa amani zote

Alitafuta vibarua vya kufanya ule muda ambao hana vipindi walau apate pesa za kuendesha maisha ..

Masha kwake maisha yalizidi kumnyookea hakufanya kazi lakini kila siku pesa ziliingia kwenye acc yake ..

Kwa kipindi chote Mr Alberto hakuwa amefika Tanzania bado aliendelea kuwasiliana na Masha kwa ukaribu kabisa

Moyoni mwake alikubali kumuoa kwa sababu aliamini yeye...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/billionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi billionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELI๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 18
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 16
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’—  SEHEM YA 06
BILLIONEA NDANI YA HOTELI ๐Ÿ’—๐Ÿ’— SEHEM YA 06
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

504
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

254
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

242
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

233
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

231
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

146
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

96

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest