Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Gonga94 · Stories

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 01
Leo nataka niwape story ya kijiji chetu,kuna story nyingi sana kuhusu kijiji chetu,hadithi nyingi sana zenye kusisimua!Mmmh!Ila kijiji chetu!Acha nigune tu maana mmh!
Jambo kubwa zaidi kwenye kijiji chetu bwana ni wageni,aiseeh!Kijiji chetu kinapendwa san asana na wageni,na siyo wageni tu kutoka Dar huko au hapa nchini,kijiji chetu kinapokea wageni kutoka ulaya,eeh!eeeh!Yaani hapa naongelea wazungu sasa,kutoka Marekani huko,Ufaransa,Denmark yaaani daaaah!
Eeh bwana eeh itoshe kusema kijiji chetu kinapendwa sana na wageni,najua unajiuliza kwanini kijiji cha TEGAMOYO kinapendwa hivi!Kama lilivyo jina lake,ukiingia kijijini kwetu bwana moyo wako uwe umeuacha huko kwenu!Najua hunielewi,ila sasa nakusanua,ukija na moyo wako uko wazi wazi lazima uondoke na mke au ubaki kuwa mwanakijiji wa Tegamoyo maisha yako yote!
Ndiyo,acha ubishi sasa mimi ndo nakusimulia ivyo,mpaka sasa huko kijijini kuna wanakijiji wazungu kibao,tena wanakipiga Kiswahili kama wamezaliwa huku huku!Tunakula nao ugali na tembele,dagaa mchele,kachumbari na mchuzi wa pweza!
Walikuja kama wageni ila mwisho wa siku wakajikuta wamekuwa wenyeji,mabinti wakaolewa na vijana wa Tegamoyo,lakini wanaume nao wakazama kwenye huba na mabinti zetu!Kwahiyo machotara Tegamoyo utakutana nao wengi mno!
Lakini siyo ivyo tu,huko ulaya kuna mabinti zetu wengi sana na vijana wetu!Wazungu wamekuja hapa wamewapenda wamewabeba wameondoka nao!Kwahiyo ndugu yangu tuna mbegu nyingi sana huko duniani,hahahaha!Oooh Tegamoyo,kijiji chetu kimebarikiwa bwana!Weee Tegamoyo weeeeh!
Tegamoyo,kijiji cha pwani,bahari ileeeee waiona,samaki wa kutosha,hatuna shida na mboga sisi,MUNGU anavyokipenda kijiji chetu,ukifika tu ufukweni we tupa ndoano,sema namtaka Kolekole,kibua,nguru,jodari!Aaaah MUNGU atupe nini wana Tegamoyo!?
Ardhi yenye rutuba haswa,hata ukisema unapanda mawe yanaota Tegamoyo,ardhi ya kijani,miti yenye kivuli tulizo la nafsi,Tegamoyo tunafuga nyama tunazo,kiufupi tulichokosa labda madini tu,lakini nayo tukiyatafuta vizuri tunayaona mbona!
Tunawapenda sana wageni,sababu wamebadilisha maisha ya kijiji chetu kwa kiasi kikubwa sana,japo hawajaharibu tamaduni zetu!
Wageni wametuletea nyumba za bati,wametuletea mitumbwi ya kisasa kwa shughuli zetu za uvuvi,lakini pia wametuchanganyia mbegu bwana,nisisahau mashule na vituo vya afya,ni hawa hawa wageni wetu wametufanyia wema huu!
Najua unajiuliza kwanini wazungu wanamiminika kuja kijijini kwetu,sasa mimi nakupa hii siri leo,bwana kijiji chetu kina wanawake warembo mno,maumbo yao,sura zao mama yangu weeeh!Sijawahi kumuona mwanamke mbaya Tegamoyo,na sidhani kama atakuja kuzaliwa!Hao vijana sasa ukiwaona walivyopanda hewani,humkuti mfupi hata mmoja wa dawa,ukiambiwa utafute mwasnaume mfupi Tegamoyo,hata wa dawa aaaah!tunakuzika mchana kweupeeeee!Mimi nakuambia ukiugua hapa kijijini kwetu,halafu mganga akuambie eti nenda kamletwe mwanaume mfupi ndiyo unapona,basi mi nakuambia ndugu yangu unakufa huku tunakuona!Hakuna binadamu mfupi hapa,labda wageni,na hata hao wageni wakijaga Tegamoyo ukiwa mfupi hakuna anayekubabaikia!Hutopata binti wala kijana wa kusuuza naye moyo!
Tegamoyo tunapenda sana wageni,na wao wanatupenda sana tu!Tunapokea wageni wote,ila sisi tunawapenda sana wazungu,sababu ya dola zao,ukimkaribisha mzungu kwako ujue umekaribisha pesa,umekaribisha dola za kigeni nyumbani kwako!
Wote wanaokaribisha wageni,mwisho wa mwezi huwa kuna bus la kwenda mjini,unakuta wamebeba dola zao wanaenda kubadilisha kuwa pesa za Mwalimu Nyerere!Wakirudi wanarudi wamejaa tele,wamenunua kama ni nguo,vyombo na kadhalika!
Kwa ajili ya wageni sasa kuna umeme wa Sola na REA,kuna TV za kisasa,kuna redio,na vingine vingi mno ambavyo hatukuwa navyo kabla!
Sasa nataka nikupe kwanza historia ya Tegamoyo,ndugu yangu vuta kiti ukae,maana hapa sijaenda bado kwenye visa vilee vya kusisimua!Baado sijakusimulia mambo mambo ya Tegamoyo,weeh!Kuna mambo humu,acha tu hawa wageni wana balaa wewe kijana wewe!
Basi bwana,hapo mwanzo tulikuwa sisi kama sisi,yaani hakuna wageni wala hakuna machotara,ilikuwa siku moja tu ndiyo ilibadilisha maisha ya kijiji chetu!
Siku hiyo binti mmoja alikuwa anaenda zake baharini kuogelea,basi binti yule wa kuitwa Moza,akafika ufukweni na kuvua nguo zake akaanza kuoga!Sehemu hiyo ni maalumu kwa wanawake tu kuoga!Basi wakati anaoga kumbe kuna mzungu mmoja mtembezi,namuita mtembezi sababu aliamua yeye na familia yake kuizunguka dunia na meli yao ya kifahari!Sasa katika pitapita zao ndiyo wakauona ufukwe wa Tegamoyo!Mandhari yake yakawavutia na kuamua kusimama hapo walau kidogo!
Mr Franklin akaamuru wakae hapo kwanza kabla hawajaendelea na safari yao,alikuwa na mkewe Rosa,pamoja na binti yao mrembo Blenda!
Sasa wakati ule wa jua kali,ni mara chache sana kumkuta mtu ufukweni,na hapa nikuambie tu,wanakijiji wa Tegamoyo hatupendi tabu sana,kwahiyo jua kali tunajifungia ndani na wake zetu tunaenjoi maisha!Hatujazoea maisha ya mateso kabisa!Kwanza wanawake wetu ni kama wa kitanga,wanajua kutudekeza bwanaaa!Basii basi tuendelee na Mr Franklin!
Sasa yule mzungu bwana wakati ametia nanga pale,akaanza kuzunguka huku na kule kuangalia mazingira,ndiyo katika pitapita zake akamuona Binti mrembo Moza anaosha mwili wake!Franklin akapagawa!Kwa kutembea kwake ni wazi hakuona kabisa mrembo kama yule machoni mwake!
Haraka bila kupoteza muda,akachukua kamera yake na kumpiga picha kadhaa Moza bila kujua kama anapigwa picha,ghafla katika harakati za kupiga mbizi ndiyo anamuona mzungu!
Moza alishtuka sana,haraka akatoka kwenye maji,sasa wakati anamshangaa mzungu,akasahau kama hana nguo yuko uchi!Ni kama alikuwa anajiuliza huyu kiumbe wa aina gani huyu!Kosa alilolifanya Franklin ni kupiga hatua kumsogelea!
“Mamaaaaaaaaaa!Jiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!”,hapo akatoka nduki nguo kashika mkononi,akaenda kuvalia mbele huko!
“Nooo!Wait!Please wait!”,alijarivu kumsimamisha Moza,lakini binti aliendelea kuchanja mbuga,na kijiji chetu kipo karibu na ufukwe sana,makelele ya Moza yakawafikia wanakijiji,wakatoka haraka kwenda kuangalia kuna nini?Wakakutana na Moza njiani yuko uchi wa mnyama!Wanawake wakamshika na kumvisha nguo kwanza!
“Jiniiii! Jini mama nimeona jiniiii!”,Moza aliendelea kupiga kelele!
“Moza ebhu tulia!”
“Nimeona jini mweupe mama ni jiniiiiiiiiii!”,mama yake alipoona binti hatulii,akamchapa vibao vitatu ndiyo akatulia na kutoa maelezo yaliyonyooka!
“Una uhakika umeona jini!?”
“Ndiyo nimeona!”
JE NINI KITAENDELEA?WANAKIJIJI9 WATACHUKUA HATUA GANI WAKIWAONA WATU WEUPE WAMEVAMIA KIJIJINI KWAO?

????SOMA VIPANDE YA MBELE VYA HADITHI HII KWA KULIPIA VIPANDE 10 KWA 1,000/= AU YOTE FULL KWA SH 4,000/=
NAMBA ZA MALIPO NI HIZI!
TIGOPESA ????0715919396
M PESA ????0760199396
Majina ???? JACKSON MAGOSHA
LIPA NAMBA M PESA 5892883
Jina???? MR MAMBO
????MTAG MWENZAKO...MWAMBIE TUMEWASHAAAAA!
????Bandika...Banduaaaaaa!
#LIKEEEEEEEEEEEEEEEEEE????

#KOMENTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII????????????????

#SHAREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE????????????????
#ProfesaMambo
#GOD over everything!
[28/04, 11:05] Mr Mambo:
[20/08, 18:47] Tabasamu na Mambo:

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 01
Leo nataka niwape story ya kijiji chetu,kuna story nyingi sana kuhusu kijiji chetu,hadithi nyingi sana zenye kusisimua!Mmmh!Ila kijiji chetu!Acha nigune tu maana mmh!
Jambo kubwa zaidi kwenye kijiji chetu bwana ni wageni,aiseeh!Kijiji chetu kinapendwa san asana na wageni,na siyo wageni tu kutoka Dar huko au hapa nchini,kijiji chetu kinapokea wageni kutoka ulaya,eeh!eeeh!Yaani hapa naongelea wazungu sasa,kutoka Marekani huko,Ufaransa,Denmark yaaani daaaah!
Eeh bwana eeh itoshe kusema kijiji chetu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo-whatsapp-0715919396-umri-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo-whatsapp
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

593
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

245
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

87
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest