Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 05
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 05


ACCEPT THE REALITY
Ugumu wa maisha ulianza hapa maana hatukuwa na chaguzi tena, kutoka kumsaidia mtu hadi anarudi katika afya yake hadi anakuja kukufukuza kama mtumwa, mwizi ama mtu mwingine mtenda mabaya. This was pain to us lakini hatukuwa na jinsi, tulikubali kuuchukua ukweli ule na kuondoka nyumbani kwake.

Safari yetu ilienda kutua hadi Dar es salaam ambako nilifikia nyumbani kwa Mama. Maisha ya Rola yalikuwa chini ya Hussein ambaye alimwamini kwa kila kitu, mipango yake ilianzia kwa huyu mwanaume. Hussein akawa kama Baba na Mama kwake, alimwamini na Husseina akupokea uaminifu kutoka kwa kigoli huyu.

Maisha ya Dar es salaam hayakuwa mabaya sababu nilirudi tena katika biashara yangu ya kuuza Ice cream kama ilivyokuwa kawaida. Kwahiyo ikawa nashirikiana na Rely katika biashara hii huku siku zingine akabakia nyumbani kwa ajili ya kumtazama Mama yake ambaye kadri siku zilivyozidi kwenda, ndivyo alivyokuwa akizidi kurenduka.

Siku za mwanzoni Mama yangu alikuwa yupo sawa lakini kadri siku ambavyo zilivyozidi kwenda ndivyo Mama alianza kuchoshwa na uwepo wetu pale nyumbani hasa Mama Rely. Nilianza kuyasikia maneno kwa majirani kuwa Mama yangu anamnyanyasa Rely na familia yake huku akisema kwamba wapo pale kama misukule na siku yoyote anaweza kuwafukuza. Mwishowe nikaja kujionea mwenyewe waziwazi.

Siku moja asubuhi kabla ya kuingia katika mihanjo yangu, Mama aliniita na kunikalisha kitako. Nikajua kwamba Mama angekuwa na jambo la maana la kunieleza lakini haikuwa hivyo.

“Hii hali inayoendelea ndani unaielewa?”

“Ipi tea Mama?”

“Baba wewe, huyu mtu atakuwa hapa kila siku au wanapanga kuondoka? Maana nimechoshwa kwakweli, nyumba kila sehemu unayokaa kuna mate”

“Mama, kwani nilikueleza nini? Hawa watu hawana pa kwenda zaidi ya mimi kuishi nao hapa”

“Weee! Hapana kwakweli, nimechoka kufuga huyu mgonjwa. Kwani mie ndio nilimwambia aroge sasa?”

“Mama, kwanini unafika mbali hivyo?”

“Rahim, kiukweli nimechoka kuishi na huyu mwanamke hapa ndani. Ikiwezekana ondoka naye, sitaki kabisa. Tafuta eneo lingine la kuishi. Tazama, wamekaa hapa ndani ya mwezi mmoja tu lakini sina amani katika maisha yangu. Nyumba inanuka mate kila sehemu. Sasa jifanye mbishi, haki ipo siku nitamtupa huyu mtu” Mama alifoka huku akiwa hataki kabisa kusikia lolote lile ambalo ningemweleza

Huu ukawa ni wakati mwingine mgumu kwangu kwani sikuwa na sehemu ya kwenda kuishi nje ya pale nyumbani. Niliumiza kichwa mno, nikatamani nimwambia Rely juu ya kile ambacho nilikuwa napitia lakini nilishindwa. Nikabaki kuwa mpweke na mwenye mawazo sana.

Afya ya Mama Rely ikazidi kuwa mbaya, alikuwa anaweza kuamka saa tisa usiku akaanza kupiga kelele mithili ya kuku aliyeona mwewe. Bila kumfunga kamba ama kumwekea dawa za kumlaza asingeweza kulala.

Maumivu yakamwandama Mama Rely, huu ndio ukawa upande wa pili wa mwanamke huyu, ile roho mbaya ambayo nilikuwa nayo ya kumtaka ateseke iliniisha kabisa. Nilianza kumuonea huruma kwakweli.

“Natamani Mungu angemchukua Mama yangu, hii ni zaidi ya adhabu anapitia” Rely alizungumza kwa uchungu sana akiwa anamtazama Mama yake ambaye aliendelea kutema mate.

“Kesho kuna sehemu nitakupeleka ili tuone inakuaje?”

“Wapi huko mume wangu?”

“Kule ambako Rola alipona, huenda atapona pia” Nilimuahidi huku nikiwa tayari kumpeleka kwa mganga ili aweze kupona.

Nakumbuka tulilala vizuri na asubuhi ilipopambazuka tu, jambo la kwanza lilikuwa ni kwenda katika chumba ambacho Mama Rely alikuwa akilala. Maskini! Sikumkuta. Nikapatwa na mashaka huenda Mama yangu atakuwa amemtoa, nilienda kumuuliza.

“Mama Rola yupo wapi?”

“Khe! Nimemtupa bwana, haiwezekani awe ananipigia kelele usiku kucha nashindwa kulala. Nimemfungulia mlango katoka”

“Mama, unafanya nini lakini?”

“Bwana usinipangie namna ya kuishi sijui kama unanisikia? Yumba ya kwangu, maji ya kwangu na kila kitu cha kwangu humu ndani. Nimeshakuambia ondoka na huyu chizi wenu hukunisikia. Ulitaka nifanyaje sasa?” Mama aligomba

Dah! Sikutaka kugombana naye, kwa bahati mbaya Rely alisikia kile ambacho kilikuwa kimeongelewa na Mama. Nilipoingia chumbani nilimkuta akiwa analia mno, alihisi kunyanyasika.

“Kumbe Mama yako hana mapenzi na Mama yangu halafu hujaniambia? Leo hii amemterekeza. Wapi nitampata Mama yangu sasa?”

“Baby, mimi sikujua kama Mama angefanya hivi. Lakini hili la kumtafuta, naomba uniachie mimi....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 05

DO YOU LOVE ME 05


ACCEPT THE REALITY
Ugumu wa maisha ulianza hapa maana hatukuwa na chaguzi tena, kutoka kumsaidia mtu hadi anarudi katika afya yake hadi anakuja kukufukuza kama mtumwa, mwizi ama mtu mwingine mtenda mabaya. This was pain to us lakini hatukuwa na jinsi, tulikubali kuuchukua ukweli ule na kuondoka nyumbani kwake.

Safari yetu ilienda kutua hadi Dar es salaam ambako nilifikia nyumbani kwa Mama....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 10 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

636
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

507
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

203
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

144
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

124
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

116
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

81
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

80
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest