Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DO YOU LOVE ME 10 (S2)
Gonga94 · Stories

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DO YOU LOVE ME 10 (S2)

UNTOLD STORY
Baada ya Rola kumuuliza Hussein lile swali, Hussein hakuwa tayari kujibu na badala yake alisimama na kuelekea chumbani. Rola alibaki akimuangalia asijue shida ni nini? Hakuona sababu ya kuendeleaa kubaki pale yeye mwenyewe hivyo na yeye akaamua kumfata huko huko.
"Hii tabia imeanza lini Hussein??"

"Kwani unataka kujua nini wewe??"

"Nataka kujua una mwanamke mwingine tofauti na mimi??"

"Ndiyo ninae!" Hussein alijibu lile swali na kumuangalia Rola ambaye alikua kama vile amepigwa na shoti ya umeme kwasababu alijikuta anakosa nguvu na kubaki ameganda kama sanamu la posta.

Hussein hakutaka kuongea tena baada ya kumuona Rola kama kashtuka, alichokifanya ni kupanda kitandan na kulala.

Rola alijikuta akitoa machozi na kubaki akijiambia kwamba huwenda zile zilikua ni hasira tu ndio maana amemjibu vile. Usingizi kwake siku hii haukuwa mzuri kama ilivyokua kawaida kwake, alikumbuka maisha yake na Hussein kipindi cha nyuma yalivyokua lakini hakuweza kuamini kama alichokisema Hussein alikua anamaanisha.

Ni siku nyingine tena katika jumba la Rola, Rola hakuwa sawa hata kidogo. Haya yote nilisimuliwa na mwenyewe. Ko anasems alikua ni mtu mwenye mawazo sana kutokana na kumfikiria Hussein kwa muda mrefu. Siku hii akiwa amekaa katika kiti chake, simu yake iliita lakini namba ilikua ni ngeni na alivyoiangalia ni kama alikua anaijua hivyo akapokea na kisha sauti ya kike ikasikika..

"Haloo.."

"We mwanamke umempa nini mume wangu??" Aliuliza swali mwanamke aliyekua anaongea na Rola swali ambalo lilimfanya Rola kukumbuka kuwa huyu mtu alikua ameshampigia tena na kudai kwamba Hussein ni mume wake.

"Dada samahan, sikujui hunijui naomba kaa na huyo mume wako muongee na akwambie kila kitu kwasababu hakuna ninachokijuaa kuhusu yeye."

"Unajifanya jeuri si ndio?? Sasa nakupa siku mbili tu uachane na Hussein vinginevyo nitakufanya kitu kibaya sana ambacho kitakua kinakupa kumbukumbu mbaya kila ukikikumbuka." Alizungumza mwanamke yule na kukata sim yake.

Rola alibaki njia panda, je amskilize huyo mwanamke au aendelee na mambo yake?? Lakini amepewa siku mbili tu za kuachana na Hussein na asipoachana nae kuna kitu kitamkuta na yeye hayupo tayari kwa chochote sio kumuacha Hussein wala kupatwa na kitu kibaya. Aliwaza sana lakini mawazo yake yaliishia kwenye sim yake ambayo ilikua inaita na mpigaji nilikuwa ni Mimi, Rahim. Hapa aliwaza mara mbili mbili apokee au asipokee, alijifikiria lakini mwisho aliona kupokea ndio jambo sahihi..

"Rola."

"Nakusikia"

"Habari yako?"

"Salama nikusaidie nini?"

"Aaah.. hapana nilitaka tu kukujulia hali, mnaendeleaje hapo nyumbani?"

"Hayakuhusu Rahim, fanya yako!!"

"Lakini ni.."

"Nimesema hayakuhusu Rahim fanya yako full stop!!" Alinijibu kwa hasira sana lakini sikuwa na namna ikabidi niwe mpole kwasababu kihere here changu cha kumtafuta mwanamke ninayempenda ndio kimeniponza.

Rola alikua ni mtu mwenye mawazo na hasira kwa wakati mmoja na kama ungethubutu kumsemesha kwa siku hii basi ungekutana na matusi yasiyoelezeka.

Rola alinisimulia kwamba; Majira ya jioni, Hussein alirudi nyumbani lakini alikuwa na haraka sana kana kwamba kuna sehemu alikua anataka kwenda. Alikua bize sana kitu ambacho kikampa Rola wasi wasi na kuamua kuuliza.

"Hussein nina mazungumzo na wewe, unataka kwenda wapi??"

"Kuna sehemu nawahi, hayo mazungumzo tutazungumza hata kesho kama ikiwezekana."

"Unaenda wapi?"

"Nimekwambia kuna sehemu nawahi."

"Wapi?"

"Sitaki maswali yako Rola, elewa kuna sehemu nawahi basi!"

"Hauendi popote mpaka nijue hatima yangu mimi na huyo mwanamke wako!"

"Unataka kujua nini sasa na tayari nilishakwambia kwamba nina mwanamke mwingine?"

"Ndio unapokwenda sasa hivi sio?"

"Nipishe nipite bwana nachelewa..!"

"Nimesema hakuna kwenda Hussein!"

Zilikuwa ni kelele ambazo hazikua na mantiki yoyote kwasababu Rola hakutaka Hussein atoke lakini Hussein alitaka kutoka. Kelele zile ziliendelea mpaka wakatoana nje ya chumba chao huku wakizidi kurumbana na Hussein alikua akimsukuma Rola amuachie huku Rola anamvuta Hussein abaki kwahiyo. Ikawa ni vuta nikuvute ambayo mwisho wa siku ilisababisha ajali kwani katika vutana vutana ile Hussein alimsukuma Rola na kwa bahati mbaya aliseleleka kutoka kule juu ghorofani hadi chini, Hussein aliona ndio njia sahihi ya yeye kutoka kwa wakati ule kwasababu kulikua na wafanyakazi hivyo aliamini watamsaidia Rola.

Rola alianguka vibaya na kujiumiza sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo kichwani. Zile kelele zilimshtua sana mfanyakazi hivyo alitoka kuangaliaa sebleni na kukuta Rola akiwa ametuliaa tuli huku akivuja damu puani. Alipiga kelele akiomba msaada, akatoka hadi nje akaomba mlinzi amsaidie wampeleke hospital kwani hali yake ilikuwa mbaya sana. ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

UNTOLD STORY
Baada ya Rola kumuuliza Hussein lile swali, Hussein hakuwa tayari kujibu na badala yake alisimama na kuelekea chumbani. Rola alibaki akimuangalia asijue shida ni nini? Hakuona sababu ya kuendeleaa kubaki pale yeye mwenyewe hivyo na yeye akaamua kumfata huko huko.
"Hii tabia imeanza lini Hussein??"

"Kwani unataka kujua nini wewe??"

"Nataka kujua una mwanamke mwingine tofauti na mimi??"

"Ndiyo ninae!" Hussein alijibu lile swali...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/do-you-love-me-10-s2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi do-you-love-me
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME 03 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 18 (S2)
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 05
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 07 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME 06 (S2)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME..... S2 (16)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME 17 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 04 (02)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 09 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 15 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 11 (S2)
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 08
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 13
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 14 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
DO YOU LOVE ME 12 (S2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

636
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

508
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

203
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

144
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

124
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

117
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

81
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

81
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest