Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
Gonga94 · Stories

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

"By Babie Love 0742133100"

Wakati maongezi yanaendelea tulikuwa mbele on the stage tunacheza mziki taratibu🙈🙈lait watu wangejua ninachoulizwa pale on the stage hahahaa wangenionea huruma..

Kadri muda ulivyozidi kwenda watu Wakazidi kuwa wengi pale stejini Rouhy alipoona watu wamekuwa wengi...

Akaniambia tuchomoke pale ukumbini twende zetu ndani tukapumzike😩😩...nyieeee nilitamani nikatae🙈🙈

Rouhy alinishika mkono tukaenda zetu chumbani🙈 tumefika huko mlango ukafungwa hahahaaa nilikuwa natetemeka kama niko machinjioni😩..

Jamaa alinibeba akanilaza kitandani then akaanza kunivua gauni niloivaa kwani nilikubali😴😴nilimsubua mpaka akaichana😔😔

Alivuta kuanzia kwenye zipu juu akatatua mpaka chini🙌😔😔aliitoa akaiweka pembeni nikabaki na kichupi tu😔😔..

Nilianza kulia nyiee nikawa namuomba Daddy usinifanyee nitaumiaaa🥹😭 Rouhy aliniambia ye hawezi kuniumiza kwa sababu ananipenda..

Alivua nguo zake akabaki uchi nilipouona ule mguu wa mtoto nikajidai nimezimia 😟😟😟 Rouhy aliogopa😂😂😂

Akajua kweli nimezimia alianza kunipepea akawa ananibembeleza babe amka mke wangu promise you sitokufanyia hivo😰

Alipoona siamki aliamua kwenda kuvaa nguo baada ya hapo nikaona anatoa nguo akaja kunivalisha😂amemaliza kunivalisha nguo nikaamka🤣🤣

Akanikumbatia akasema Asante Mungu 😴😴 babe how do you feel are you okay???. Nikamwambia yes Daddy I'm okay now but naogopaa🥹

Rouhy alijilaza kitandani akanilaza kifuani then akaniambia I know hujanizoea thas why unaogopa right???

Nikamwambia ndiyo Daddy naomba unipe muda nikuzoee we need time even tufanye check up ya vvu before sex..

Rouhy alinikubalia tulisali zetu baada ya hapo akaniambia hata kama sitaki anifanye chochote at least nilale na nguo nyepesi au bila nguo aliahidi hatonijigiji atavumilia😴

Nilikuwa na kinguo cha kulalia mama alininunulia chepesi kinachora umbile lote la mwili🙈🙈nilikivaa hiko lakini vile tu nilikuwa uchi😴😴..

Rouhy alivaa bukta tukaingia kulala alinilaza kifuani kwake akanikumbata kama katoto🙈🙈kumbe kuolewa ndo unakumbatiwa utamu hivo na hamsemi🥰🥰..

Kadri muda ulivyozidi kusonga hali ya Rouhy ikawa inabadilika maskini alisumbuka usiku mzima dudu haitaki kulala😰😰nilimuonea huruma🙈

Asubuhi kulipokucha tuliamka mapema kusalimia then tukarudi chumbani🥰🥰🥰..

Tuliandaliwa breakfast tukala baada ya hapo Rouhy akaniambia tutoke twende hospital kwa ajili ya chekapu🥰🥰

Tulijiandaa zetu pale nikatupia my wenu nilikuwa naishi kijijini lakini nilikuwa na mitoko tena mitoko ya maana🥰🥰🥰

Kwetu mimi ndo mtoto pekee wa kike na ni last born wazazi wangu walikuwa wananipenda mnooo kila nilikokitaka nilikuwa napewa..

Basi nimetupia pale Rouhy akazidi kudata muda wote ni kunisifia tu🥰🥰🥰tumetoka nje familia bado ilikuwepo wacha wanisifieee🙈🙈..

Bibi yake Rouhy alipoona tunaenda kupanda gari tutoke akashangaa safari ya wapi😧😧😧..

Rouhy akamwambia bibi tunaenda hospital... heeee bibi akashangaa hospitali????

Akamuuliza Rouhy ulimzidishia mtoto wa watu maji😳😳😳ulishindwa kubakiza ule kidogo kidogo nyieee niliona aibu😂

Hapohapo sijakaa sawa shangazi akadakia nendeni muwahi mje mnipe mashuka nifue nataka nijue kama yaliyomo yamo.....hahahaaaa Itaendeleaaaaaa...

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06


"By Babie Love 0742133100"

Wakati maongezi yanaendelea tulikuwa mbele on the stage tunacheza mziki taratibu🙈🙈lait watu wangejua ninachoulizwa pale on the stage hahahaa wangenionea huruma..

Kadri muda ulivyozidi kwenda watu Wakazidi kuwa wengi pale stejini Rouhy alipoona watu wamekuwa wengi...

Akaniambia tuchomoke pale ukumbini twende zetu ndani tukapumzike😩😩...nyieeee nilitamani nikatae🙈🙈

Rouhy alinishika mkono tukaenda zetu chumbani🙈 tumefika huko mlango ukafungwa hahahaaa nilikuwa natetemeka kama niko machinjioni😩..

Jamaa alinibeba akanilaza kitandani then akaanza kunivua gauni niloivaa kwani nilikubali😴😴nilimsubua mpaka akaichana😔😔

Alivuta kuanzia kwenye zipu juu akatatua mpaka chini🙌😔😔aliitoa akaiweka pembeni nikabaki na kichupi tu😔😔..

Nilianza kulia nyiee nikawa namuomba Daddy usinifanyee nitaumiaaa🥹😭 Rouhy aliniambia ye hawezi kuniumiza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
 I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

912
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

518
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

446
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

430
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

350
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

294
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

274
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

214
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

185
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.37K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest