Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
753 views
VYOTE NDANI GONGA94
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
"By Babie Love 0742133100"
Basi bwana mimi na Rouhy tuliondoka kuelekea hospital kwa ajili ya kufanya chekapu tujue afya kabla ya kukulana jamani hahahaa afya muhimu..
Tulienda kwenye hospital fulani hapa jijini Dar es salaam tukachukuliwa vipimo kibao ikiwemo virusi vya ukimwi🥰🥰
Katoto cha watu nilikuwa safi hata UTI tu sikuwa nayo 😂😂😂 hata mme wangu hakuwa na tatizo lolote la kiafya ni jambo la kumshukuru Mungu...
Tulipita mlimani City my wenu nikafanyiwa shopping nikanunuliwa na simu 😂😂mjue sijawahi kumiliki simu tangu nizaliwe ndo nilikuja kuimiliki baada ya kuolewa..
Kipindi hicho ndo zimetoka iPhone 12😂😂😂nikainunuliwa promax allooh kumbe kuwa na mme ndo utamu hivi🙈..
Nilinunuliwa na nguo tamu tamu viatu mikoba naye honey wangu akachukua nguo na viatu tukapita sehemu wanauza maua humo humo mlimani City bae akaninunulia nikajikuta tu naanza kumpenda na moyo wote❤️❤️
Kabla hatujaondoka kurudi nyumbani bae akaniambia tupite kwenye ice cream 🍦 ♥️ akaninunulia ice cream.... then tukaondoka kurudi nyumbani..
Wakati tuko kwenye gari akawa anadrive mkono mmoja kanishikilia dah💖😟nilijikuta naanza kumuwazia na moyoni nikawa najiambia...
Rouhy anaonekana ni mwanaume na nusu I think of loving him with all my heart 💖💖💖...
Niliendelea kula ice cream yangu badae nikawaza kumlambisha na yeye🙈🙈tulifika sehemu ya mataa tukasimama🥰🥰
nikamsogezea bae ice cream mdomoni akainyonya then akaninyonya namm mdomoni💋💋nilisikia utamu nikaziba macho kwa aibu🙈🙈alinikiss na kuondoa gari..
Tulikwenda mpaka nyumbani tukaanza kupima nguo zetu tulizonunua mara bibi akaja kutugongea ...
Tulimfungulia akaingia pale chumbani... Rouhy aliniambia huyo ni bibi yake mzaa baba wanaishi naye pale nyumbani...
Aliniambia pia baba yake alifariki kwa ajali ya gari miaka kadhaa iliyopita...
Rouhy ni mtoto pekee kwao amezaliwa peke yake...
baada ya bibi kuingia pale chumbani alikaa kitandani...
Then akatuuliza kitanda mbona hakijavurugika mlifanya kweli😳😳😳au lnaogopana??.khaa🙈
Yani nilivyo na aibu nilitamani kujificha bibi hata haogopi😂😂🙌 Rouhy alicheka tu akamwambia bibi sitomfanyia huku nitaenda kumfanyia huko mbali mpaka azoee😂😂
Heee mbali wapi nasisi tunataka kwanza tuone kama yaliyomo yamo tuongeze mahari😳😳
Bibi aliendelea kukazia😂😂 Rouhy akamwambia basi bibi leo nitaonja kesho utapata majibu😂😂😂 bibi alipiga vigelegele akasema hapo sawa..
Tunataka kujua na wewe kama jogoo anapanda mtungi tuendelee na mambo mengine khaaaaaaaa😂😂
Itaendeleaaaaaa
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just...
Mother India (1957) is not just a film, it’s an emotion for Indian cinema lovers. Directed by Mehboob Khan, the movie starred Nargis in one of the most powerful performances ever seen on screen, along with Sunil Dutt, Rajendra Kumar and Raaj Kumar
. It was actually a remake of Khan’s earlier film Aurat (1940), but Mother India became much bigger in scale and impact....
Basi bwana mimi na Rouhy tuliondoka kuelekea hospital kwa ajili ya kufanya chekapu tujue afya kabla ya kukulana jamani hahahaa afya muhimu..
Tulienda kwenye hospital fulani hapa jijini Dar es salaam tukachukuliwa vipimo kibao ikiwemo virusi vya ukimwi🥰🥰
Katoto cha watu nilikuwa safi hata UTI tu sikuwa nayo 😂😂😂 hata mme wangu hakuwa na tatizo lolote la kiafya ni jambo la kumshukuru Mungu...
Tulipita mlimani City my wenu nikafanyiwa shopping nikanunuliwa na simu 😂😂mjue sijawahi kumiliki simu tangu nizaliwe ndo nilikuja kuimiliki baada ya kuolewa..
Kipindi hicho ndo zimetoka iPhone 12😂😂😂nikainunuliwa promax allooh kumbe kuwa na mme ndo utamu hivi🙈..
Nilinunuliwa...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-07
Maoni