Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12
Gonga94 · Stories

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

"By Babie Love 0742133100"

Basi bwana namimi nikaanza kumiliki mkwanja🤣🤣🤣nilimshukuru sana mme wangu..

Ni wachache sana walio na moyo wa kutoa🥹🥹🙌unaeza ukaolewa na mwanaume ana kila kitu lakini mbinafsi💔

Namshukuru Mungu Rouhy wangu hakuwa mbinafsi pesa ipo na anaitoaaaa...baada ya kumaliza kilichotupeleka bank tulipitia Veta Rouhy aliniambia natakiwa nijifunze kudrive💃🏼..

Hizi zitaniuwa nilijisemea tu kichwani😂😂😂nilichukua form ya Driving baada ya hapo bae akaniuliza najisikia kwenda wapi anipeleke🤣🤣

Hahahaaaa nilimwambia popote tu🙈🙈🙈 akasema sawa mke wangu mzuri😂😂😂yani haezi kuniita mke wangu kavu kavu bila kusema mrembo au mzuri💖💖..

Rouhy alinipeleka sehemu moja hivi pale pale masaki wanachoma mishikaki mitamu niajee😋😋😋 tulikula mishikaki nyieeeeee😜😜..

Mara anilishe mara aniambie anapenda ninavotafuna😍😍yani raha juu ya raha au ndo mambo ya penzi jipya hahaaaaaaa..

Baada ya kula mishikaki akaniuliza tena Do you need something maybe wig🥰🥰 na vitu vya vacation 😜😜nikamwambia yes babe🙈

Nilipelekwa tena mlimani City tukaenda kufanya shopping special for vacation💃🏼💃🏼💃🏼mme wangu alinichagulia vile vinguo fulani hivi🙈

Mnazijua buana zile nguo za chumbani zile🙈🙈 mwanaume anapenda mizagamuo yule hahahaaa... tuliendelea na shopping mida ya saa nane mom akanipigia..

Nilipokea simu nikamwambia hey mom.... akaitikia hi Maya uko sawa.... nikamwambia yes mom niko okay..

Mko wapi Rouhy hakuchoshi kweli??? Hahahaa hapana mom niko okay thanks 🥰🥰...ok muwahi basi kurudi chakula kinapoa huku🤗🤗hahaa nyie mama mkwe si ndo huyuuu🥰🥰🥰..

Ushawahi kupigiwa simu na mama mkwe akwambie chakula tayari au wewe ndo unakurupushwa uende kupika🤣🤣🤣

Nilimwambia mama hatuchelewi tunamalizia shopping hapaa🥰🥰🥰OK sweetheart take care nikamwambia thanks mom I love youuu🥹💖💖💖...

Love you too Maya 😘💓.... Rouhy aliona wivu akaninyakua simu 🤣🤣akamuuliza mama kwa hiyo mimi sifai tena mom🥹

Mbona hata huniulizii unamjali Maya peke yake😓😓 hahahaaaa mama alimbembeleza aisee wanapendana sana ile familia🥹🥹❤️..

Basi tulicheka wenyewe pale tukaagana na mama tukamalizia shopping tukarudi nyumbani🥰🥰..

Tulipokelewa home🥰🥰🥰 mizigo yetu ikapelekwa chumbani sisi tukabaki chini ukumbini tunapiga story na bibi na shangazi pamoja na Mom...

Waliuliza ni lini tumepanga kwenda vakei Rouhy akamwambia et anasubilia tu mimi niamue hahahaa jamani yani kila kitu naulizwa mim🙈

Basi bwana tuliandaliwa chakula pale tukala mmmhhh kwa ulaji huu sijui kama nitakosa kuwa na kitambi maana all the time ni vitamu tu🤣🤣🙈..

Baada ya chakula shangazi alituaga akatuambia yeye kesho anarudi kwake huko majuuu shangazi aliolewa huko nchi za nje🥰🥰na ni rich auntie kinoma..

Alituhusia pale namna ya kuitunza na kuilinda ndoa baada ya hapo akatuambia tukishatoka vacation tupite kwake tumsalimie🥰🥰

Rouhy alikubali na akamuahidi shangazi ndoa atailinda na kuitunza vile vile🥰🥰🥰basi bwana siku hiyo tena tulitoka kwenda kumtafutia shangazi zawadi za kwenda nazo majuu🥰🥰

Tulimfanyia shopping ya vitu vya kiafrica vitu asiliaaa kama mihogo...viazi vitamu😂😂😂nyanya chungu😂😂😂ni vingi sana tulinunua vikafungashwa na siku iliyofuata auntie aliondoka Tanzania rasmi...

Tulibaki wapweke sana🥹🥹 shangazi alikuwa changamsha kambi mtu fulani hivi very charming 🥰🥰💖💖💖💖..

Zilipita kama siku tatu hivi tukiwa tunajiandaa na safari yetu ya Paris kwa ajili ya kwenda kuenjoy zetu honeymoon 🥰🥰🥰..

Safari ilikamilika hatimaye mimi na Rouhy tuliondoka zetu Tanzania kuelekea Paris huko ufaransa🥰🥰ndiko nilikochagua kwenda kufurahia utamu wa ndoa...

Baada ya kufika Paris tulipokelewa kwenye hotel tulokuwa tumefanya Booking 👌🙌 tulikuta maandalizi ya kufa mtu...

Chumba kimepambwa maua ya kuvutia yani kinashawishi tu minyanduano😂pale chumbani tulikuta Wine za kutosha🍷🍷 🙈🙈

Rouhy for the fast time akanishawishi ninywe wine nyieeee kilichotokea baada ya kulewa ni aibu😂😂🙌

Itaendeleaaaa...

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 20 Aug 2025 09:14
🔥🔥🔥
profile
majario 20 Aug 2025 10:35
Asante namba yangu 0768304821
profile
mjukuu 20 Aug 2025 14:45
Asante nimeipata
profile
majario 20 Aug 2025 08:44
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13 muda wake leo saa 2 au 3 usiku usikose
profile
mjukuu 20 Aug 2025 09:12
Naisubiri sana hiyo sehemu ya 13 kwa hamu sana pia naomba namba zako nikuchangie vocha kaka
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘12


"By Babie Love 0742133100"

Basi bwana namimi nikaanza kumiliki mkwanja🤣🤣🤣nilimshukuru sana mme wangu..

Ni wachache sana walio na moyo wa kutoa🥹🥹🙌unaeza ukaolewa na mwanaume ana kila kitu lakini mbinafsi💔

Namshukuru Mungu Rouhy wangu hakuwa mbinafsi pesa ipo na anaitoaaaa...baada ya kumaliza kilichotupeleka bank tulipitia Veta Rouhy aliniambia natakiwa nijifunze kudrive💃🏼..

Hizi zitaniuwa nilijisemea tu kichwani😂😂😂nilichukua form ya Driving baada ya hapo bae akaniuliza najisikia kwenda wapi anipeleke🤣🤣

Hahahaaaa nilimwambia popote tu🙈🙈🙈 akasema sawa mke wangu mzuri😂😂😂yani haezi kuniita mke wangu kavu kavu bila kusema mrembo au mzuri💖💖..

Rouhy alinipeleka sehemu moja hivi pale pale masaki wanachoma mishikaki mitamu niajee😋😋😋 tulikula mishikaki nyieeeeee😜😜..

Mara anilishe mara aniambie anapenda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/i-love-you-dady-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi i-love-you-dady
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
 I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘17 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘11 "By Babie Love
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘19 "By Babie Love 0742133100"
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘09
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘20 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY💘❤️💘15
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘18 "By Babie Love 0742133100"
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
I LOVE YOU DADY💘❤️💘16
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘07
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘13
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘08
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘14
 I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘06
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘04
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

912
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

518
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

446
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

430
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

352
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

294
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

276
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

214
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

185
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.37K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest