KAKA ME DADA YAKO 15
Nikiwa pale nimejificha nikawa nasikiwa
Miguu kama kuna mtu ananyata
Mmh uoga sasa moyoni nasema mungu
Nisaidie nimzalie kaka yangu mika
Huyu mtoto
Alafu nilipe kisasi kwa madam
Kile kishindo kilizidi kunikalibia weeeee
Niliogopa nikawaza ninani huyu
Nikabana mdomo nisitoe sauti lakini
Pale pale tochi kali ilinimlika
Usoni daaaa nimeisha๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ
Songa nayoo ๐ ๐๐๐
Sikujua ninani anenimlika nimechoka sana
Lakini nilijua tayari nimekamatwa tu
Lakini haikuwa kumbe alikuwa police jamii
Yule kijana alienipokea mabatini
Kipindi nimekuja mwanza
Wwe jenn unafanya nini hapa mbona uko kwenye hii hali
Wewe nani nilimuuliza ili ajitambulishe
Mimi ni mathayo wa mabatini niliekupokea
Ahaaaa mathayo
Kwanini uko hapa au unetumwa kunikamata
Hapana jenn mimi ni police jamii
Niko katika mzunguko kwenye hili police
..wewe mathayo unawezaje kufanya kazi
Peke yako kwenye police kama hili
La kutisha
Aaaa siko peke yangu
Bali tuko wengi
Ila nimewachenga wenzangu
Baada kusikia unalia pale mko na kaka yako
Akapigwa lisasi niko hapa kukusaidia
Mathayo alinishika mkono tukaanza kukimbia sasa
Hadi kwenye mto sikujua ni mto wawapi
Maana ilikuwa usiku
Upande wa pilly na madam suzy
๐
Madam alimwambia pily usione niko hapa
Aliharibu maisha yangu ni baba yako
Na baba yake jenn
Walinitendea ubaya hakika nilihapia
Lazima nilipe kisasi
Nilitengeneza mbinu yangu kila mtu
Asijue kama bado nawafatilia .
Lakini leo nimewapata wewe na jenn
Sasa ntawauwa kwa mikono yangu
Pilly alichoka
Madam kwani baba alikufanyia nini
Na kwanini
Mmmh madam aliguna sikia pilly
Sina mda wakukuelezea kwa sasa
Kesho ntakupa data kamili
Wewe kimara muwekeni hyu pilly kwenye chumba cha mateso
Kesho ntamuua mchana baada ya kumpa habari za baba yake
Pilly alifungiwa ndani
Upande wa jenn
๐๐
Tukiwa mtoni na mathayo
Tuliendelea kutembea
Huku mathayo akisema
Mungu akutie nguvu uvuke majaribu
Haya daaah jamani
Tulifika kwenye geto la mathayo
Karibu tena jenn
Mathayo anaongea hayo yote mimi nawaza kulipa kisasi tu
Sina lingine
Jenn lala kesho tutaongea zaidi Maana saizi umechoka
Oky
Mathayo alikuwa na chumba kimoja tu
Kwahyo aliomba nilale kitandani yeye chini
Nilifikilia mbona hii siyo nzuri
Nilimwambia njoo tu tulale
Wala usijali
Mathayo alikuja kulala kitandani
Lakini alikuwa na uoga sana
Hakuna na amani moyoni
Usiku kwa kuwa nilizoea kutombw@
Kila mara basi nilijikuta natamani
Nit๐ชmbwe hadi hakili inikae sawa
Nilijalibu kupeleka mkono wangu kwenye rungu
La mathayo mmmh alisituka
Yes wangu mmmh
Sikuishia hapo nililudia tena mda huu nilikuta
Rungu ya mathayo iko nje tu
Wewe mwili ulisisi mka
Nikasahau yote
Nikaona nuru tena nilishika kwa ujasiri huku
Nasema moyoni
Bwana kama ananyonga anyinge tu
Siwezi kujizuia
Nilishika rungu ndefuu ya mathayo
Weee mathayo aliluka
Weeeeeee toka shetani shindwa kwa jina la Yesu aliinuka mathayo nakukaa huku analia
Akisema eemungu niepushe mwanao na hili pepo
Lakini mathayo alisahau kama pesi yake imechanika
Na alienda kukaa bila suluali hapo ndio nikaiona rungu sasa mate yalinitoka
Nikajisemea leo mrokole utanipa
Labda siyo jenn
Itaendelea 16
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi


Maoni